Hivi unaweza kumbaka mkeo?

Hivi unaweza kumbaka mkeo?

Sasa mke kachoka, anataka kumshitaki mume wake. Wazo lake la kwanza, la pili anawaza kuachana naye, na anasema anashindwa kuamua which is which.

Jamii itamwonaje au wazazi wake atawaambiaje kuwa mume wake huwa anambaka? Everything is confusing
Ndio ipo, inaitwa intimate partner rape/violence na ndio kesi nyingi za ubakaji kwa hapa Tz.

Kuna mmama mmoja Tanga alibakwa na mme wake hadi aka paralyse kiunoni kushuka chini. Pia takwimu za Mewata zinaonyesha ubakaji wa wanandoa unahusisha pia ulawiti ambapo 1/3 kati ya wake walioolewa wameingiliwa kwa nguvu kinyume.

So ubakaji upo ndani ya ndoa ila kwa kuwa Tanzania bado ina mfumo dume mke ukilalamika umebakwa hakuna anayekuelewa kabisa na unaonekana kama unadeka au ndoa imekushinda.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom