Hivi unaweza kumbaka mkeo?

Hivi unaweza kumbaka mkeo?

Ki uhalisia, si sahihi kwa mwanaume kuishi na mwanamke mmoja. Kitabia, tupo kama wanyama, angalia mfano wa dume moja la simba linakuwa na majike mangapi..!? Au ukitaka kufuga kuku, ratio yake ipoje. Yaani Majike ni wangapi na madume ni mangapi
Ni sahihi mwanamke mmoja kuingiliwa na wanaume wengi tofauti tofauti kwa siku moja?
 
Kwani mtu akisema Leo sipo vizury we unakamata na kumwingilia kwa nguvu huyu si mkeo mtu akiwa hayupo sawa si unaweza kujua au ni kutumia nguvu tu
Dogo, spear kakuchana ukweli. Mwanamke anayekupenda kwa dhati, hawezi kukwambia kachoka, au akakuomba pesa kizembe, anajua unaweza kumuacha
Kwani mtu akisema Leo sipo vizury we unakamata na kumwingilia kwa nguvu huyu si mkeo mtu akiwa hayupo sawa si unaweza kujua au ni kutumia nguvu tu
 
Juzi kati hapo kuna sister moja tulisoma naye alicheki kuomba ushauri kuwa mume wake amekuwa akimbaka.

Kiukweli nilishangaa, mume anawezaje kumbaka mke wake, inakuwaje? Nilimuuliza kwa mshangao.

Akasema kuna kipindi anakuwa labda anaumwa au anajisikia vibaya, mume wake akimtaka na akimwambia hapana, basi mume huyo huwa anamkamata kwa nguvu na kumwingilia kwa nguvu na kwa ukatili wa hali ya juu.

Sasa mke kachoka, anataka kumshitaki mume wake. Wazo lake la kwanza, la pili anawaza kuachana naye, na anasema anashindwa kuamua which is which.

Jamii itamwonaje au wazazi wake atawaambiaje kuwa mume wake huwa anambaka? Everything is confusing.
Mwambie kumshitaki ni kumuacha pia.
 
Kwani mtu akisema Leo sipo vizury we unakamata na kumwingilia kwa nguvu huyu si mkeo mtu akiwa hayupo sawa si unaweza kujua au ni kutumia nguvu tu

mbona kama tayari upo upande wa mwanamke?.....umeshamsikiliza huyo mume wake na yeye maelezo yake visa anavyofanyiwa mkp anafikia kufanya maamuzi hayo? hakuna mwanaume mwenye akili timamu ambaye mke wake anayempenda huwa anampa yote kila akihitaji...leo aseme anaumwa mwanaume ambake...hakuna!!
 
mbona kama tayari upo upande wa mwanamke?.....umeshamsikiliza huyo mume wake na yeye maelezo yake visa anavyofanyiwa mkp anafikia kufanya maamuzi hayo? hakuna mwanaume mwenye akili timamu ambaye mke wake anayempenda huwa anampa yote kila akihitaji...leo aseme anaumwa mwanaume ambake...hakuna!!
Sipo upande wowote.nipo katika sielewi ndo unipe madini si unajua kil uchwao tunajifunza
 
Mie nazungumzia ubakaji katika ndoa means unatumia nguvu violence hujali lolote

ndio na mimi nimekuambia what if unajua kabisa kuna jamaa huwa anamgonga mke wako lkn mke wako anakuambia ni rafiki tu, alafu anakunyima mzigo kwa sababu kibao.....siku moja ukajua kabisa huyu katoka kuliwa, unamgusa anakuambia anaumwa...utaacha kumchania chupi?
 
Kama hajisikii aipake mafuta alafu amwachie jamaa yake ahamgaike nayooo, mwisho akimwaga apanguse nanii yake alale

Mimi wakwangu akizingua nikinyonya nyonyo kidogo tu anaanza kunisumbua yeye kuwa niichomeke ilalemo huko😄😄
Ukombozi wa taifa hili apewe nani kwa aina hii ya vijana 😀😀#nothing per
 
Kama hajisikii aipake mafuta alafu amwachie jamaa yake ahamgaike nayooo, mwisho akimwaga apanguse nanii yake alale

Mimi wakwangu akizingua nikinyonya nyonyo kidogo tu anaanza kunisumbua yeye kuwa niichomeke ilalemo huko😄😄
Ukombozi wa taifa hili apewe nani kwa aina hii ya vijana 😀😀#nothing personal
ndio na mimi nimekuambia what if unajua kabisa kuna jamaa huwa anamgonga mke wako lkn mke wako anakuambia ni rafiki tu, alafu anakunyima mzigo kwa sababu kibao.....siku moja ukajua kabisa huyu katoka kuliwa, unamgusa anakuambia anaumwa...utaacha kumchania chupi?
😃😃😃😃 dah aiser mkuu 😀😀😀
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom