Hivi umeshawahi kutoswa wewe?

Hivi umeshawahi kutoswa wewe?

Na kuna raia ni sijui wanaoga na maji gani, sio ma jb ni wako kawaida ila hawatongozi wao ndio wanatongozwa au ndio ile demu anajileta mara jamaa kapiga tena ni effortlessly kabisa.
My twin ako na iyo kismat
 
Pole mkuu,ni yule wa JF amekutosa ambae ID yake inaanza na herufi "H" halafu inaishia na herufi "t"?🙂🙂🙂
 
Wakuu nauliza umeshawahi kutoswa wewe Mwanaume au Mwanamke?

Sio kukataliwa ile ya kistaarabu kwamba umechelewa au sitaki mahusiano.

Kukataliwa kwa matusi, maneno machafu mpaka ukifika kwako unavua nguo zote unajiangalia kwenye kioo ni wapi pana shida?

Kuna watu wana maneno machafu sana huku duniani kama hujawahi kutoswa kwa dhihaka, dharau na kunyanyaswa tafuta wa kukupa hii dawa utapiga hatua kubwa ya kutatazama mahusiano kwa namna ya pekee sana.

Nikiwa sekondari man............hatuna simu miaka ile basi nikajituma kuandika kibarua changu,manzi ya motoooo miksa ya kibondei na pemba hiv na anaonekana familia bora flani.mimi kauzu tu mganga njaa,wikiendi kabla sijaenda tiz ndo nikasebenze mtumbani nipate ela mbili tatu.
barua ilijibiwa kwanza kwenye toilet pepa,ina matusi mapya ambayo sikuwah yasikia kabla ya siku hiyo,afu ikiwa na signature za mademu kama saba hivi ambao tunafahamiana kabisa,nikaletewa class na yeye mwenyewe.
Nilipata aibuuuuu siwezi simulia.nikajikaza tu,mwaka uliofuata tuko umisseta,nikapiga game kali mno,jioni yake tunatoka kula nikammbato rafiki yake(alikua karibu ghafla baada ya ile tukio),yule manzi alihama shule.
mekutana nae Mlimani City last year kapururuka urembo wote *****,anasema 'unajua Rub we ndo ulipaswa baba yao kina Hajra(mwanae)'......tulkacheka tu.ila ni abu usipime!
 
Back
Top Bottom