Hivi umeshawahi kutoswa wewe?

Hivi umeshawahi kutoswa wewe?

Raimundo..sisi wanaume tuna
changamoto sana...

ila hiyo ya "tafuta pesa"
uliamua kua possitive
sana ili usirudi nyuma..

Ukiwa na pesa unavaa vizuri, unashika simu kali, umepaki gari zuri, unanukia vizuri.

Unapoomba namba ya simu kwa mdada ambaye umemkubali ni straight unaipata, tena wakati unaiomba unakuwa umeshatoa simu unataka kuandika, akiona ni flagship smartphone (latest) anataja haraka sana.

Halafu unatumia kumshitukiza, siyo unaanza kuongea ongea, unajifanya una haraka hivyo unataka umtafute siku nyingine.
 
Ukiwa na pesa unavaa vizuri, unashika simu kali, umepaki gari zuri, unanukia vizuri.

Unapoomba namba ya simu kwa mdada ambaye umemkubali ni straight unaipata, tena wakati unaiomba unakuwa umeshatoa simu unataka kuandika, akiona ni flagship smartphone (latest) anataja haraka sana.

Halafu unatumia kumshitukiza, siyo unaanza kuongea ongea, unajifanya una haraka hivyo unataka umtafute siku nyingine.

sasa kuna wale wa
"One in a million"
anaweza kukujibu
bila kujali hayo yote

ushakutana na zile
unasalimia tu unaulizwa
"Hey do i know you?"
 
sasa kuna wale wa
"One in a million"
anaweza kukujibu
bila kujali hayo yote

ushakutana na zile
unasalimia tu unaulizwa
"Hey do i know you?"

Ukijibiwa hivyo ujue huo ni mziki, wakati mwingine inabidi uufyate tu tena unaondoka bila hata kugeuka.

Ila pia inatokea kama mmiliki wa hiyo project yuko stable au dada mwenyewe anajielewa.
 
Bro, aseeh usiombwe kuchambwa halafu ukute mtoto ni mkali kakuzidi viwango. Miezi sita unaweza usitongoze kuogopa historia kujirudia
Mkuu, si huwa wanasema HISTORY REPEATS ITSELF.
 
Ukiwa na pesa unavaa vizuri, unashika simu kali, umepaki gari zuri, unanukia vizuri.

Unapoomba namba ya simu kwa mdada ambaye umemkubali ni straight unaipata, tena wakati unaiomba unakuwa umeshatoa simu unataka kuandika, akiona ni flagship smartphone (latest) anataja haraka sana.

Halafu unatumia kumshitukiza, siyo unaanza kuongea ongea, unajifanya una haraka hivyo unataka umtafute siku nyingine.
Nzuri hio, nitaitumia soon
 
Back
Top Bottom