Hivi umeshawahi kutoswa wewe?

Hivi umeshawahi kutoswa wewe?

Unawaita wanawake wenzio me mfanye nini uzi wa wanaume huu... jileteni mtongozwee
Nini wew achakunizugaa huyo mnae peana maneno ya chumbani nimwanamme???
 
Kuku ni wewe ngoja wenye Mali zao wanakuja tulia hivyo hivyo km unanyolewa nikawaiteee
Kumbe Daby mali yetu. Sie kwetu hatukatazwi kushare ila hakikisha unakua the biggest share holder. Wanaume kwanza wachache mwache bby awasaudie wengine.
 
Kumbe Daby mali yetu. Sie kwetu hatukatazwi kushare ila hakikisha unakua the biggest share holder. Wanaume kwanza wachache mwache bby awasaudie wengine.
Teh teh teh........mbn umeishiwa poziii....... ngoja nikae kmy maana huyu babu yng huyu namjua hakawii kunipa laana.....
 
Mimi style yangu yangu ya kutongoza siwezi kutoswa kwa aina yoyote. Ni kama unamuongoza kuku kwenye banda lake.....anaweza kufika karibu na banda asiingie mlangoni akakimbilia jalalani kupekua sasa hapo unaweza kumfuata umuongoze tena aingie bandani au umuache alale nje aliwe ns mapakashume.

Ukitumia style hii hayakukuti hayo.
Niambie Hiyo Style mkuu niitumie
 
Wakuu nauliza umeshawahi kutoswa wewe Mwanaume au Mwanamke?

Sio kukataliwa ile ya kistaarabu kwamba umechelewa au sitaki mahusiano.

Kukataliwa kwa matusi, maneno machafu mpaka ukifika kwako unavua nguo zote unajiangalia kwenye kioo ni wapi pana shida?

Kuna watu wana maneno machafu sana huku duniani kama hujawahi kutoswa kwa dhihaka, dharau na kunyanyaswa tafuta wa kukupa hii dawa utapiga hatua kubwa ya kutatazama mahusiano kwa namna ya pekee sana.

mi wangu alibebwa mbele yangu tena na ma best wangu,kazama ndani ya escudo/vitara nikabaki natoa macho tu,nililia kwa vibration aisee,japokuwa tulikutana baada ya miaka kumi na zaidi nikabandua na nikasepa vile vile
 
Si vizuri kumijibu mtu vibaya,,,,, lkn kunawatu ving'ang'anizi haelewi hata uongee kifaransa sasa mtu km huyo unafikiri utamfanyajee......yes mm nilishawahi kumtusi mtu.....
umemuachia kumbukumbu
mbaya sana...
 
Kutukanwa kwenye utongozaji, inategemea na saikolojia yako umeijengaje katika masuala hayo.
Kwa upande wangu, kutukanwa na kudhihakiwa, hunipa nguvu za ajabu kama za simba dume kuelekea mafanikio ya kumpata "mlengwa"
Kwangu mwanamke mtukanaji machachari na domokaya, humchukulia kama ni mwanamke mwenye mikwara isiyo na pingamizi lolote. Si mgumu kiviile, ambaye pia si "maharage ya mbeya".
Akinitukana, huyo kajiongezea alama muhimu za kuwa mpz wangu. Huyo ni lazima nimpate kwa gharama zozote, mbinu zozote uzijuazo ulimwenguni, ntazitumia hata kwa kufikishana mahakamani ilimradi tu nimnase.
Mwanamke anitukane kisa kumtongoza! Elewa huyo lazima kaenda na maji ninamaanisha "kaliwa".
Ninayasema haya kwa kujiamini sana.

Hahaha
unamfikisha mpaka
kwa mkazi kisutu..
 
Back
Top Bottom