They know darlinLet's just go public Bae
everyone should know
that your mine...
Katika ubora wako......Mkuu yule demu wa JF mlioshindwana alikuwa anatumia ID gani tena vile?🙂🙂🙂
Love you more than that swtsI will love you everyday.
Mimi nafuga kuku tu mkuu...mbuzi na ng'ombe nawaona kwa jirani tu.Bwana RRONDO
anapeleka kuku bandani vyema
hajasema mbuzi na ng'ombe
anawapeleka vipi...
Hii itanifanya nione nyama chungu.Boss jaribu ufugaji wa
mbuzi na ng'ombe wa kienyeji
wana usumbufu na gharama
ila nyama yao ni zaidi ya kuku
Du ila kuku wako demu ndo unata awe wako.wengine sisi hatuna uvumilivu mtu akikutosa tu unajua hajakupenda.ila nimetoswa sana adi nkimtongoza demu nafanya kama nacheza gem nkitoswa nazima afu naanza tenaMimi style yangu yangu ya kutongoza siwezi kutoswa kwa aina yoyote. Ni kama unamuongoza kuku kwenye banda lake.....anaweza kufika karibu na banda asiingie mlangoni akakimbilia jalalani kupekua sasa hapo unaweza kumfuata umuongoze tena aingie bandani au umuache alale nje aliwe ns mapakashume.
Ukitumia style hii hayakukuti hayo.

Hehe tangu enzi za candlelit dinner uwanjani+ mvua lol. Wewe tena, you are a hater mbona

Bwana RRONDO
anapeleka kuku bandani vyema
hajasema mbuzi na ng'ombe
anawapeleka vipi...
