Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 34,961
- 80,197
Tafuta kaka mwingine maana mimi wa damu nimekushindwaWeee thubutu!! Mipango ya pesa usijeacha kunishirikisha tafadhali.
Tafuta kaka mwingine maana mimi wa damu nimekushindwaWeee thubutu!! Mipango ya pesa usijeacha kunishirikisha tafadhali.
Kaka ninao wengi tu ukiwemo na wewe. Undugu huwa haufi kaka yangu, we hangaika tu ila bado utabaki kuwa kaka yangu.Tafuta kaka mwingine maana mimi wa damu nimekushindwa
Ndio uwe unaniwazia mema sasa. Wewe mimi nikipendwa unanuna sister. Unataka upendwe wewe auKaka ninao wengi tu ukiwemo na wewe. Undugu huwa haufi kaka yangu, we hangaika tu ila bado utabaki kuwa kaka yangu.
Lini nilinuna!! Hapo unapendwa au balaa!! Ulipopendwa ulipaharibu mwenyewe, huku kwingine unachemka tuNdio uwe unaniwazia mema sasa. Wewe mimi nikipendwa unanuna sister. Unataka upendwe wewe au

Lini nilinuna!! Hapo unapendwa au balaa!! Ulipopendwa ulipaharibu mwenyewe, huku kwingine unachemka tu![]()
Ona sasa!! Mmasai ushakuwa mzaramo!!Nasambazaa upendo...
Subiria moto uzime uniepue basi.

Teh teh ushafika na huku
Bob unazingua.. Labd unaokutan nao wte n cheap, hujakutan na weny misimamo yaoKama hujaelewa nilichoandika hapo huwezi kuelewa.
Sawa.Bob unazingua.. Labd unaokutan nao wte n cheap, hujakutan na weny misimamo yao
Mkuu comment yako ni fupi lakini ina meseji kubwa sana ndani yake. Binafsi imenigusa sana comment yako.Ubaya wa mapenzi yanawatesa wasio na hatia
Da umenikumbusha long time sana kuna dem alikua anajifanya superstar sana kwa sababu alikua kisu enzi izo nipo form two nimerud home likizo nikamtokea akanitolea nje nikakausha yeye skuli ikagoma mim nikaendelea tukaja kukutana mwaka Jana nimeshakua somebody akajilengesha kwa hasira nikamla kwa sku NNE mfurulizo afu nikamkimbia but iliniuma sana miaka ile aliponikataa maana nilikua namkubali sanaNikiwa sekondari man............hatuna simu miaka ile basi nikajituma kuandika kibarua changu,manzi ya motoooo miksa ya kibondei na pemba hiv na anaonekana familia bora flani.mimi kauzu tu mganga njaa,wikiendi kabla sijaenda tiz ndo nikasebenze mtumbani nipate ela mbili tatu.
barua ilijibiwa kwanza kwenye toilet pepa,ina matusi mapya ambayo sikuwah yasikia kabla ya siku hiyo,afu ikiwa na signature za mademu kama saba hivi ambao tunafahamiana kabisa,nikaletewa class na yeye mwenyewe.
Nilipata aibuuuuu siwezi simulia.nikajikaza tu,mwaka uliofuata tuko umisseta,nikapiga game kali mno,jioni yake tunatoka kula nikammbato rafiki yake(alikua karibu ghafla baada ya ile tukio),yule manzi alihama shule.
mekutana nae Mlimani City last year kapururuka urembo wote *****,anasema 'unajua Rub we ndo ulipaswa baba yao kina Hajra(mwanae)'......tulkacheka tu.ila ni abu usipime!
Ndio ukweli wenyewe huu! Ni muhimu kuwa makini sana kwenye hizi zama za dot.comMkuu comment yako ni fupi lakini ina meseji kubwa sana ndani yake. Binafsi imenigusa sana comment yako.
Hivi mkuu yule demu wa JF mlioshindwana alikuwa anatumia ID gani tena vile?🙂🙂🙂Sawa.
Till jf do us apartHahaa Boss usiogope kumtaja
Heaven was sent for me
That's my Baby
One n' Only-Heaven Sent
Hii kazi unaiwezaPole mkuu,ni yule wa JF amekutosa ambae ID yake inaanza na herufi "H" halafu inaishia na herufi "t"?🙂🙂🙂
Mkuu yule demu wa JF mlioshindwana alikuwa anatumia ID gani tena vile?🙂🙂🙂