Hata hiyo ndege bila algebra na aligorithm,isingekuwepo.Kuanzia
1.Computer Science
2.Engineering
3.Economics
4 Nk
Vyote vinategemea ugunduzi wa Mwamba huyu Mohammed Musa Al khawarithim.
Na dunia nzima,wanasoma Algebra(kitabu chake alkiita Al jabri),na lazima pia usome Algorithim.
Ukitumia chochote kilichotengenezwa,kinatokana na Algebra,algorithim,ni Mwamba huyu,Muislam Mohammed Musa Al khawarithim.Huyu pia ndio aliyegundua namba 1 2 3 4 5 6 7 8 9,na ndio kokote duniani zinaitwa arabic numbers,japo waarabu pia wana namba zao nyingine na wana alphabet yao,ambazo ndio alphabet za kiislamu,wanazofundishwa madrasa(school au sule kwa kijerumani).
Hapa tukitumia Ingormation technology,bila ugunduzi wake,tusingrkuwa na jf wala whatsapp wala facebook wala online business wala simu.
Hii itakuumiza moyo,kuona muislamu ndio amegundua Algebra(jina la kitabu chake al jabri,kwa kilatini wameandika algebra) na algorithim(jina lake la ukoo Al khawarithim,imeandikwa kwa kilatini)