Hivi, uislamu uliwahi kuleta nini?

Hivi, uislamu uliwahi kuleta nini?

Wacha weeeeeeeeh.... Ustaarabu wa vigodoro, ushoga, umaskini,ujinga, kubeba mabusha, uvivu, unywaji kahawa siku nzima.... Angalia maeneo yaliyojawa na waislamu hata Dar.ni maeneo ya watu waswahili maskini. Temeke, Buguruni kwa mnyamani, tandale,mbagala,vingunguti,mburahati. Asilimia 80 plus kumejaa waislamu.
naongezea mkuu,mwambie aende TANGA,TABORA,MTWARA,KILWA,MAFIA na PANGANI,akajionee mamboooooooooooooooz!!!!
 
Allah ushawahi kumuona akiongea
Kinachokufanya uamini huyo allah asiyeonekana ndiye kaongea ni nini?
Na wewe unayemsema ndiye kaongea kwenye Qur’an ushawahi kumuona akiongea na kinachokufanya uamini kuwa yeye huyo usiyewahi kumuona ndiye kaongea ni nini?
 
Na wewe unayemsema ndiye kaongea kwenye Qur’an ushawahi kumuona akiongea na kinachokufanya uamini kuwa yeye huyo usiyewahi kumuona ndiye kaongea ni nini?
Historia inaonyesha kuwa alikuwepo mtu anaitwa Mohamad bin Abdullah(wewe unamuita mtume)
Alienda pangoni alivyorudi akasema kakutana na mtu aliyemueleza yote aliyoabdika kwenye quran...
Tatizo ni kuwa hakuna mtu aliyekuwepo wakati anakutana na huyo mtu.
Uwezekano kuwa kajitungia hayo maneno ni 100%.
 
Mimi ni atheist mtu nisiyeamini katika dini wala Mungu.

Na kwa sababu hii, labda ninaweza kuwa mtu mzuri sana wa kujibu swali hili bila kasumba ya kutetea dini.

Uislamu umeleta mengi mazuri na mabaya, lakini moja kubwa zuri Uislamu umeleta utamaduni wa kusoma na kuandika.

Kuna watu wengi wa Afrika Mashariki walijua kusoma na kuandika kwa kupitia Uislamu. Watu walifikia muda mpaka kuandika Kiswahili kwa maandishi ya Kiarabu.

Hivyo, kujibu swali lako, Uislamu ulileta utamaduni wa kusoma na kuandika huku kwetu ambako hatukuwa na utamaduni wa maandishi.
Sikupenda kuchangia uzi hu kwasababu za kidini na pia kwasababu humu ndani hua unaweza kuhisi hisi tu kwamba huyu ni dini fulani au dhehebu fulani, nimeonelea nidandie kwako kwasababu kwanza huna conflict of interest ya dini kupitia uzi hu and hence you may be free (though bado naamini this is too theoretical kwamba huamini chochote kuhusu dini hizi 2 ) and hence naweza kuandika chochote na usikasirike.
Mwandishi kasema Uislam una 1000 years hapa kwetu? I think hi sio sahihi, Uislam umeingia miaka ya 1800 so how ifike hiyo 1000 years? Labda alimaananisha duniani but not Tanzania or even east Africa.
Kidogo nisaidie kaka, kwamba Uislam ndio umeleta mwamko wa kusoma na kuandika? Hili sidhani kama ni kweli, nimeishi kwenye Uislam hadi nikiwa na miaka 23 ndipo niliamua mwenyewe kuingia kwenye Ukristo, hadi mwaka 1987 nikiwa nasoma madrasa, sikuwahi kumwona mwalimu akitufundisha kuandika, alikua anatufundisha kusoma Koruani, miaka hiyo hiyo ya 80 nadhani ndipo zilipoanza kuja juzuu zenye tafsiri ya Kiswahili so tukaanza kujua hasa tafsiri ya nini ya kile tunacho jifunza. Unless unishawishi kuliamini hili la kujifunza kuandika. Kwangu mimi naona historia ya kusoma na kuandika ipo upande wa Ukristo zaidi kuliko Uislam cause hata majengo ya ilimu yanaibeba zaidi historia hiyo kwao kuliko Uislam. Kuna mmoja hapo juu kazungumzia lugha ya Kiswahili kwamba imeletwa na Uislamu? 😆 seriously 😐? Sijui vitabu tulivo soma; nikiwa form 1 or form 2, mwalimu wa Kiswahili alitufundisha kwamba, Waarabu walivo fika pwani ya Africa mashariki, waliwakuta wenyeji nao wakaanza kuwaita Sahel yaani Waswahili, na lugha yao kua ni Kisahel, from sahel (according to Arabs ) ndio ikaja Kiswahili na Waswahili so kusema eti Uislam ulileta lugha ya Kiswahili to my opinion sidhani kama ni sahihi, lugha ilikutwa but labda kuna maneno yaliongezwa kama zilivyo lugha zingine zote duniani except Kiyunani. Maneno kama LAA meaning HAPANA, ni ya kiarabu but maneno kama SHULE ni ya Kijeruman but tunayatumia kwenye Kiswahili chetu. Kusema kwamba Uislamu ulileta Kiswahili then wenyeji waliowakuta, walikua wanaongea lugha gani? Again, same Arabs wamepita maeneo mengi including Beira ya Msumbiji, visiwa vya Moroni or even Uarabuni kwenyewe, kwanini huko kote hakuna Kiswahili except Tanzania na Mombasa?
 
Sikupenda kuchangia uzi hu kwasababu za kidini na pia kwasababu humu ndani hua unaweza kuhisi hisi tu kwamba huyu ni dini fulani au dhehebu fulani, nimeonelea nidandie kwako kwasababu kwanza huna conflict of interest ya dini kupitia uzi hu and hence you may be free (though bado naamini this is too theoretical kwamba huamini chochote kuhusu dini hizi 2 ) and hence naweza kuandika chochote na usikasirike.
Mwandishi kasema Uislam una 1000 years hapa kwetu? I think hi sio sahihi, Uislam umeingia miaka ya 1800 so how ifike hiyo 1000 years? Labda alimaananisha duniani but not Tanzania or even east Africa.
Kidogo nisaidie kaka, kwamba Uislam ndio umeleta mwamko wa kusoma na kuandika? Hili sidhani kama ni kweli, nimeishi kwenye Uislam hadi nikiwa na miaka 23 ndipo niliamua mwenyewe kuingia kwenye Ukristo, hadi mwaka 1987 nikiwa nasoma madrasa, sikuwahi kumwona mwalimu akitufundisha kuandika, alikua anatufundisha kusoma Kuruani, miaka hiyo hiyo ya 80 nadhani ndipo zilipoanza kuja juzuu zenye tafsiri ya Kiswahili so tukaanza kujua hasa tafsiri ya nini ya kile tunacho jifunza. Unless unishawishi kuliamini hili la kujifunza kuandika. Kwangu mimi naona historia ya kusoma na kuandika ipo upande wa Ukristo zaidi kuliko Uislam cause hata majengo ya ilimu yanaibeba zaidi historia hiyo kwao kuliko Uislam. Kuna mmoja hapo juu kazungumzia lugha ya Kiswahili kwamba imeletwa na Uislamu? 😆 seriously 😐? Sijui vitabu tulivo soma, nikiwa form 1 or form 2, mwalimu wa Kiswahili alitufundisha kwamba, Waarabu walivo fika pwani ya Africa mashariki, wakiwakuta wenyeji nao wakaanza kuwaita Sahel yaani Waswahili, na lugha yao kua ni Kisahel, from sahel (according to Arabs ) ndio ikaja Kiswahili na Waswahili so kusema eti Uislam ulileta lugha ya Kiswahili to my opinion sidhani kama ni sahihi, lugha ilikutwa but labda kuna maneno yaliongezwa kama zilivyo lugha zingine zote duniani except Kiyunani. Maneno kama Laa meaning HAPANA, ni ya kiarabu but maneno kama SHULE ni ya Kijeruman but tunayatumia kwenye Kiswahili chetu.
Per Meta AI.

Islam reached East Africa as early as the 8th century, brought by Muslim refugees fleeing persecution in the Arabian Peninsula ¹ ². The religion spread through trade routes, intellectual debates, and military conquests. In fact, one of the earliest mosques in Islam was built in Somalia, and the Muslims in East Africa had already established their places of worship before the Hijrah to Madinah ¹.

The Islamic faith gained momentum in East Africa during the 10th century, particularly with the start of the Almoravid dynasty movement on the Senegal River ³. The religion continued to spread throughout the region, influenced by trade and cultural exchange with the Middle East.

Some notable milestones in the spread of Islam in East Africa include:

  • The Kanem Empire's conversion to Islam in the 11th century, which extended Islamic influence into Sudan ³.
  • The establishment of Islamic trade routes across the Sahara Desert, the Nile Valley, and maritime routes from Arabia to East Africa ⁴.
 
Vitu vingi sana kuanzia hesabu hadi medical science ,vifaa vingi unavyoviona leo mahospitalini alivumbua mtu anaitwa zahrawi ambaye vitabu vyake hadi leo bado wazungu wanatumia kufundishia ulaya
Algebra etc vyote hivyo walileta muslim scholars
Mtu akisikia furani ametokea nchi furani anajua ni Muislam.. Hilo jina tu ni sio la kiarabu ni la asili ya Persia kwa sasa ni Iran and Iran miaka ming alikuwa ni Wapagani na walikuwa na Mungu wao.. Uislam umeleta uozo tu na vichekesho.. Jua kuzama kwenye Matope, Ndege waangani hawaanguki kwa sababu Allah anawazuia wasianguke
 
Historia inaonyesha kuwa alikuwepo mtu anaitwa Mohamad bin Abdullah(wewe unamuita mtume)
Alienda pangoni alivyorudi akasema kakutana na mtu aliyemueleza yote aliyoabdika kwenye quran...
Tatizo ni kuwa hakuna mtu aliyekuwepo wakati anakutana na huyo mtu.
Uwezekano kuwa kajitungia hayo maneno ni 100%.
Kweli
 
Vitu vingi sana kuanzia hesabu hadi medical science ,vifaa vingi unavyoviona leo mahospitalini alivumbua mtu anaitwa zahrawi ambaye vitabu vyake hadi leo bado wazungu wanatumia kufundishia ulaya
Algebra etc vyote hivyo walileta muslim scholars
Kwa nyakati hizi inasaidia nini! Ndiyo Yale badala yakusonga mbele unalalamika nilinyang'anywa nini umesimama wenzio wanasonga mbele
 
Uislamu Upo Karibia Miaka 1000 Pwani yetu na sehemu nyinginezo, hivi kipi haswa kimeletwa na uislamu kwa maana ya civilization na maendeleo ya jamii?

Hata tu mazao labda kuna zao gani ambalo lililetwa na uiaslamu hapa kwetu?
Tende na halua
 
Uislamu Upo Karibia Miaka 1000 Pwani yetu na sehemu nyinginezo, hivi kipi haswa kimeletwa na uislamu kwa maana ya civilization na maendeleo ya jamii?

Hata tu mazao labda kuna zao gani ambalo lililetwa na uiaslamu hapa kwetu?
UGAIDI, MAUAJI YA WATOTO NA WATU WASIO NA HATIA!PIA IMELETA ROHO YA UBINAFSI DUNIANI
 
Uislamu Upo Karibia Miaka 1000 Pwani yetu na sehemu nyinginezo, hivi kipi haswa kimeletwa na uislamu kwa maana ya civilization na maendeleo ya jamii?

Hata tu mazao labda kuna zao gani ambalo lililetwa na uiaslamu hapa kwetu?
Uislam umeleta majini aina zote, jini makata, jini maimuna,jini zainab, jini mahaba,uislam umeleta ugaidi ,kuchinjana ,kutekana, ushoga na kufilana,kucheza uchi matako wazi, kuoa vitoto vidogo ,uislam umeleta vigodoro kanga moko n.k,kwakweli yapo mengi sana yaliyo letwa na uislam. Na hayo yote utayakuta uislamuni na mikoa iliyo jaa waislamu
 
Uislam umeleta majini aina zote, jini makata, jini maimuna,jini zainab, jini mahaba,uislam umeleta ugaidi ,kuchinjana ,kutekana, ushoga na kufilana,kucheza uchi matako wazi, kuoa vitoto vidogo ,uislam umeleta vigodoro kanga moko n.k,kwakweli yapo mengi sana yaliyo letwa na uislam. Na hayo yote utayakuta uislamuni na mikoa iliyo jaa waislamu
Kasome historia ya wapigania uhuru wa Tanzania 99% ni waislamu mwalimu nyerere alipopata uhuru akawageuka halafu anasema alikuwa anakemea udini wakati mdini wa kwanza Tanzania ni mwalimu nyerere nenda kasome historia ya babu yake dully syksy huyu msanii nimejua watu wengi hawasomi historia za nchi zao kwa mfano kitabu cha NELSON Mandela "LONG WALK TO FREEDOM " kimeelezea mambo mengi ya kuteswa kwa waafrika lakini leo hii mtu anajinyonga Manchester United na arsenal ikifungwa ni shida sana.
 
UGAIDI, MAUAJI YA WATOTO NA WATU WASIO NA HATIA!PIA IMELETA ROHO YA UBINAFSI DUNIANI
Uislam una mchango mkubwa kwenye uhuru wa tanganyika au jamii forum wengi ni generation Z
 
Uislamu Upo Karibia Miaka 1000 Pwani yetu na sehemu nyinginezo, hivi kipi haswa kimeletwa na uislamu kwa maana ya civilization na maendeleo ya jamii?

Hata tu mazao labda kuna zao gani ambalo lililetwa na uiaslamu hapa kwetu?
Mke mmoja anadumaza akili.
Wewe hapo inaonesha una mke mmoja.
 
Mke mmoja anadumaza akili.
Wewe hapo inaonesha una mke mmoja.

uko sahihi na bado siyo rahisi, changamoto ni nyingi, bado nina mengi ya kujifunza na kuboresha ili kuleta furaha na amani hivyo siwezi imagine kuwa na zaidi ya mmoja sijui wafanyao hivyo wanawezaje kuwa na mwenza zaidi ya mmoja, kwani huyo mmoja tu siyo rahisi sembuse 2 wengine wana mpaka 4, sijui wanafanyaje …
 
Kitu kingine kibaya kilicholetwa na Uislamu ni siasa kali msimamo mkali ambao huishia kwenye ugaidi na hii phenomenon ni ya hivi karibuni.

Lakini Uislamu umeleta mazuri mengi tu katika Pwani hii ya Swahili Coast.

Tusiogope kuyasema yote.

kwahiyo Lissu nae ni gaidi?
 
Back
Top Bottom