Hivi, uislamu uliwahi kuleta nini?

Hivi, uislamu uliwahi kuleta nini?

Sasa kama hamhangaiki na sisi kwa nini kila muda mnafungua nyuzi za kutuponda? Kama sio tunawakosesha raha nini!
Unasema tunajipendekeza kwa manabii waliopita nyinyi hamjipendekezi?
Kawaponda nani wakati mnafungua wenyewe
 
Uislamu Upo Karibia Miaka 1000 Pwani yetu na sehemu nyinginezo, hivi kipi haswa kimeletwa na uislamu kwa maana ya civilization na maendeleo ya jamii?

Hata tu mazao labda kuna zao gani ambalo lililetwa na uiaslamu hapa kwetu?
Dah
Just google or ask Deepseek
 
Uislamu Upo Karibia Miaka 1000 Pwani yetu na sehemu nyinginezo, hivi kipi haswa kimeletwa na uislamu kwa maana ya civilization na maendeleo ya jamii?

Hata tu mazao labda kuna zao gani ambalo lililetwa na uiaslamu hapa kwetu?
Mam mitano tena
 
Kaka sasa mbona unatuchanganya mbona huyoo mtume wa waislamu alikuwa hajuii kusoma wala kuandka
Logical non sequitur fallacy.

Kwanza sema tunaambiwa mtume alikuwa hajui kusoma wala kuandika, hakuna anayeweza kuhakikisha hilo leo.

Zaidi, mtume hata ikiwa hakujua kusoma wala kuandika, hilo halina uhusiano wowote na Uislamu kueneza ujuzi wa kusoma na kuandika Africa.

Kwa sababu ni wazi kuwa waliomfuatia waliandika Quran ikafika mpaka kwetu, watu wakaisoma.

Hata Kiswahili watu walianza kukiandika kwa maandishi ya Kiarabu.

Au hilo nalo utabisha?
 
Kwani ni lazima liwepo

Walikuwa wanawauza wapi? Mfano wabongo walipelekwa wapi?

somalia, irani, india, zanzibar, saudi arabia, visiwa vya indian ocean kama shelisheli, btw irani kuna watu weusi wenye asili ya zanzibar lkn hawana nafasi nimeshakutana na dada mmoja ktk irani mweusi tiii ni descendant wa utumwa ktk zanzibar na bagamoyo, india wako wengi tu wanaishi mwituni mpaka leo hii, somalia walibaguliwa na wasomali mpaka un ikaingilia kati wakarudishwa tanzagiza baadhi wamesettle tanga soma khs bantu somali lkn hapa tanzagiza akina bashe, rostamu & co. ni mawaziri na siajabu hata ndiyo wanaoamua nani aishi nani asiishi ndani ya tanzagiza hiyo ni mada nyingine hata hivyo …
 
Uislamu Upo Karibia Miaka 1000 Pwani yetu na sehemu nyinginezo, hivi kipi haswa kimeletwa na uislamu kwa maana ya civilization na maendeleo ya jamii?

Hata tu mazao labda kuna zao gani ambalo lililetwa na uiaslamu hapa kwetu?
ABAYA
 
Mie naukubali uislam kwa kutuletea utamaduni wa kutawaza kwa kutumia maji, ile staili ya kizungu kutumia tishu sio!!.
Hata hivyo umeletq pia mengi ya hovyo ikiwemo kuendekeza elimu ahera na kuitupa elimu ya duniani na ndio maana jamii nyingi ya pwani kwenye uislam mwingi kuna umasikini zaidi tofauti na sehemu zenye uislam kidogo.
 
Uislamu Upo Karibia Miaka 1000 Pwani yetu na sehemu nyinginezo, hivi kipi haswa kimeletwa na uislamu kwa maana ya civilization na maendeleo ya jamii?

Hata tu mazao labda kuna zao gani ambalo lililetwa na uiaslamu hapa kwetu?
Tende
 
Back
Top Bottom