Una ushahidi upi kuwa alimaanisha ni waarabu wenzieWatu wote alimaanisha waarabu wenzie
Sasa mtu atawaongelea vipi waafrika wakati hakuwahi kufika na hajui kama wapoUna ushahidi upi kuwa alimaanisha ni waarabu wenzie
Na ugaidiUislam umeleta ujinga.
Nani kakwambia kuwa hayo ni maneno ya mtu.Sasa mtu atawaongelea vipi waafrika wakati hakuwahi kufika na hajui kama wapo
Kuongea na huyo nikama kuchoka maji ndani ya bahari kutia kwenye chupa ukitegemea ikauke, Ibrahim hata kutairi MUNGU alimwambia afanye hivyo Kwa nyumba yake yote na ndipo alipomwambia aitwe Ibrahimkabla ya Muhamad karne ya 7 (baada ya Kristo) kulikuwa hakuna muislamu hata mmoja, labda kama waliitwa jina lingine lkn siyo waislamu, uislamu ulianzishwa na Muhamad miaka 600 baada ya Yesu …
Kama Waislamu wanajipendekeza basi na wakristo pia watakuwa wanajipendekezaYaani wana vichwa vigumu kama mawe yakusagia sijui kwanini wanapenda kujipendekeza wakati bible imeandika Ibrahim - YESU KRISTO vizazi 42, huo Uislam ulikuwa wapi! Nikuwaacha nakuwasamehe, tuwaombee tu siku moja mafunuliwe
Hivi ulishawahi ona Wakristo wanahangaika korani ? Muda wautoe wapi sasa ikiwa kwenye bible hakuna Neno korani Wala Mudi !Kama Waislamu wanajipendekeza basi na wakristo pia watakuwa wanajipendekeza
Kaka sasa mbona unatuchanganya mbona huyoo mtume wa waislamu alikuwa hajuii kusoma wala kuandkaMimi ni atheist mtu nisiyeamini katika dini wala Mungu.
Na kwa sababu hii, labda ninaweza kuwa mtu mzuri sana wa kujibu swali hili bila kasumba ya kutetea dini.
Uislamu umeleta mengi mazuri na mabaya, lakini moja kubwa zuri Uislamu umeleta utamaduni wa kusoma na kuandika.
Kuna watu wengi wa Afrika Mashariki walijua kusoma na kuandika kwa kupitia Uislamu. Watu walifikia muda mpaka kuandika Kiswahili kwa maandishi ya Kiarabu.
Hivyo, kujibu swali lako, Uislamu ulileta utamaduni wa kusoma na kuandika huku kwetu ambako hatukuwa na utamaduni wa maandishi.
haina sehem itamtaja mudi hata mojaaHivi ulishawahi ona Wakristo wanahangaika korani ? Muda wautoe wapi sasa ikiwa kwenye bible hakuna Neno korani Wala Mudi !
Embu twambie yule anayeibukaga mlienda kurusha mawe huwa ni nani mpaka mnakanyagana na kuuana kama kumbikumbi?
Na wafuasi wake hawawezi kuwa na kipaumbele Cha elimu maana mzizi wake ndivyo ilivyo 😂Kaka sasa mbona unatuchanganya mbona huyoo mtume wa waislamu alikuwa hajuii kusoma wala kuandka
Iyoo watu wa kwanza kuandika ni WaislamuMimi ni atheist mtu nisiyeamini katika dini wala Mungu.
Na kwa sababu hii, labda ninaweza kuwa mtu mzuri sana wa kujibu swali hili bila kasumba ya kutetea dini.
Uislamu umeleta mengi mazuri na mabaya, lakini moja kubwa zuri Uislamu umeleta utamaduni wa kusoma na kuandika.
Kuna watu wengi wa Afrika Mashariki walijua kusoma na kuandika kwa kupitia Uislamu. Watu walifikia muda mpaka kuandika Kiswahili kwa maandishi ya Kiarabu.
Hivyo, kujibu swali lako, Uislamu ulileta utamaduni wa kusoma na kuandika huku kwetu ambako hatukuwa na utamaduni wa maandishi.
Ndio nashindwaaa kwa mujibu wa hiyoo quruan mtume alikuwa mbumbumbuu hajuii kusoma wala kuandikaNa wafuasi wake hawawezi kuwa na kipaumbele Cha elimu maana mzizi wake ndivyo ilivyo 😂
Sasa kama hamhangaiki na sisi kwa nini kila muda mnafungua nyuzi za kutuponda? Kama sio tunawakosesha raha nini!Hivi ulishawahi ona Wakristo wanahangaika korani ? Muda wautoe wapi sasa ikiwa kwenye bible hakuna Neno korani Wala Mudi !
Embu twambie yule anayeibukaga mlienda kurusha mawe huwa ni nani mpaka mnakanyagana na kuuana kama kumbikumbi?
Sasa kutwa kuhangaika na Ukristo niniBibilia hain
haina sehem itamtaja mudi hata mojaa
Dini la uongo na wewe mtume alikuwa mtu mwongo tuu mbumbumbuSasa kutwa kuhangaika na Ukristo nini