Hivi, uislamu uliwahi kuleta nini?

Hivi, uislamu uliwahi kuleta nini?

Uislam ndio ulianza kudai uhuru tanzania,

Nyerere ktk hotuba,zake anakwambia yeye ndio mkristu wa kwanza kukaribishwa tanu, kwa maana kabla ya nyelele waislam walikuwa ktk harakati za,kudai uhuru,

Baadae wakamkaribisha nyerere ,

Wakamuamini na kumpa nguvu na kupambana nae,

Ukienda kuangalia majina ya wapigania uhuru utakuta mijana ya waislam ni meeeengi sana.

Baada ya uhuru uislam ulikandamizwa sana tanzania na ndio maana mpka leo unaona uislam wa tz kama hauko na umoja fualani,


Kuna kasumba kuubwa sana ipo ndani yake,

Fikili ukristo kuna madhehebu zaid ya 4 na yooote yamesajiliwa lkn uislam hawakubali wasijili dhehebu lingine wanasema bakwata inatosha,
 
Uislamu Upo Karibia Miaka 1000 Pwani yetu na sehemu nyinginezo, hivi kipi haswa kimeletwa na uislamu kwa maana ya civilization na maendeleo ya jamii?

Hata tu mazao labda kuna zao gani ambalo lililetwa na uiaslamu hapa kwetu?
Zao la haluwa, mdalasini na tende. Bila kusahau urojo.
 
kivipi? uislamu umeanza karne ya 7 baada ya Kristo, yaani miaka 700 baadaye Yesu Kristo kuishi ndiyo uislamu ukaanzishwa wakati huo kulikuwa na Biblia takatifu tayari, sasa iweje uislamu uwe ulileta kalamu na karatasi na kusoma na kuandika? Karne ya 1 baada ya Kristo uislamu haukuwepo, ulianzishwa miaka 700 baadaye wakati tayari kulikuwa na civilizations nyingi tu, usichanganye uarabu na uislamu, ingawaje vinafanana lkn ni tofauti …
Wewe umeuliza uislamu umeleta Nini hapa pwani au nchini kwetu.
Ukristo hapa hauna zaidi ya miaka 150 wakati uislamu uko Afrika mashariki na magharibi zaidi ya miaka elfu.
Wakati wamisionary wanafika hapa watu walikua wanawasiluana kwa maandishi kwa kutumia herufi za kiarabu kuandika kiswahili.
Lugha unayotumia ni Moja ya matokeo ya kufika uislamu hapa.
Hebu google "golden age of Islam" uone nondo hapo.
Hii Dunia uvumbuzi na maendeleo yaliletwa na mataifa mbali mbali katika nyakati tofauti na kuendezwa pia na mataifa mbali mbali.
Muhimu jiulize koo yako Nini imechangia hapa duniani ?
 
Ni nzuri ili tuweza kuwaelimisha wengine,kuna inchi zilikuwa na Ustarabu mpaka wakoloni wenyewe walishanga,kuna Nyumba wanajua Mzungu na ukristo ndivyo vilivyoleta ustarabu, umeshawahi kusikia historia ya Misri? Mungu mwenyewe anamwambia nabii Ibrahimu,usikae bure tembeatembea ukaone wenzako walivyostarabika,anafika Misri na kukutana na bonge la mji likiwa na kila kitu,mpaka wakamya'nganya mke wake Sala?
Sasa kipindi cha Ibrahim kulikuwa na Uislam?
 
View attachment 3287187
Unamjua huyu Mwarabu Muislam Mohammed Said Al Murjabi?!

Unawajua wazungu wakristo walionunua watumwa zanzibar?

Niambie majina ya WAZUNGU walioasisi biashara ya UTUMWA katika AFRIKA YA MASHARIKI?!

It was all business, nothing personal........

1743286793343.png
 
Uislamu Upo Karibia Miaka 1000 Pwani yetu na sehemu nyinginezo, hivi kipi haswa kimeletwa na uislamu kwa maana ya civilization na maendeleo ya jamii?

Hata tu mazao labda kuna zao gani ambalo lililetwa na uiaslamu hapa kwetu?
Umeleta chuki za watu kuita wenzao makafiri kana kwamba wao siyo.
Umeleta ujinga wa kupwakia mila za kiarabu chini ya kisingizio cha dini.
Umeleta ugaidi wa watu kuwa tayari kuua au kuawa kwa kutetea mila za watu.
Umleta uongo kuwa Makka na Madina ni miji mitukufu.
Umeleta uzinzi wa kuahidi watu pepo iliyojaa wanawake bila kusema wanawake nao watapewa wanaume wangapi. Umeleta uchawi wa majini na nyota. Sawa na dini zote za kigeni, umeleta uzembe na uvivu na kupoteza fedha za watu wetu kwenda kuhiji.
 
Umejibu vizuri na wakumbuke kuna miji mikubwa ilizariwa kutokana na Uisilamu, kama vile Kilwa ikiwa na ustalabu wa kutosha,mfano Vasco dagama alipofika Kilwa aliikuta ni Inchi ikiwa na muundo wa utawala wa selikari pamoja na hera yake,yaani kulikuwa na ustarabu wa kutosha, na ilikuwa ikifanya biashara na inchi za mbali lakini walipokuja wazungu wenye wivu kama wewe mleta maada waliiangamiza ile miji ili kufuta historia zake waweze kutuletea huu ujinga ambao unaitwa demokrasia,
Wakati mjerumani anaivamia bara kutoka zanzibar aliwakuta kina Abushiri,Milambo,Mkwawa na wengine wakiwa wanajua kuandika na kusoma kwa lugha ya kiarabu na wamestarabika na huo ustarabu ulitokana na Uisilamu,ila walioandika histori yetu waliipotosha ili ioneka walikuta watu wajinga kama wewe mleta maada,
Zanzibar ilikuwa na kila kitu mpaka na ubalozi,Treni,Shule,Vyuo, Vitabu maghorofa, hiyo sababu ya Uisilamu,lakini hapo Mzizima Daresalam yalikuwa mapori yakiwa na simba,kumbuka Sultani ndiye aliyekuja kujenga Ikulu ya Daresalam hapo magogoni badaye sanaaa,
I
Jifunze kwanza kutofautisha herufi "L" na "R" ndio ulete upupu wako hapa we kenge.
 
Nasikitika ndugu zangu waislamu.

Hakuna hata mmoja aliyeweza kujielezea kuhusu uislamu Umefanya nini.

Ina maana hii Dini haijafanya jambo lolote la Maana????
Mbona wanadai uislamu ni sayansi

Nisije nikaidharau hii dini bila sababu jielezeni uislamu umefanya nini cha maana.

Mtu walau aje na hoja 10
 
Minazi, miembe, lugha, maandishi, utamaduni wa kiarabu, majina, mavazi
Mkuu watakujibu hivyo vimeletwa na WAARABU na sio uislam😂

Ila vilivyoletwa na wazungu vimeletwa na ukristo..... what a double standard!!!
 
Nasikitika ndugu zangu waislamu.

Hakuna hata mmoja aliyeweza kujielezea kuhusu uislamu Umefanya nini.

Ina maana hii Dini haijafanya jambo lolote la Maana????
Mbona wanadai uislamu ni sayansi

Nisije nikaidharau hii dini bila sababu jielezeni uislamu umefanya nini cha maana.

Mtu walau aje na hoja 10
Mkuu ni vyema mgeanza kwanza kusema Ukristo au uhindu or whatever umeleta nini ili ipatikane aspect ya kujadili

Maana Vikitajwa vitu wanasema hivyo vimeletwa na waarabu sio uislam
 
Jifunze kwanza kutofautisha herufi "L" na "R" ndio ulete upupu wako hapa we kenge.
Nashukhuru bwana kwa kunitukana,usizani wote tumesomea Lugha ya Kiswahili,ningesema niandike kwa Lugha niliyosomea sizani hata huo upupu ungeuona, filho da puta
 
Back
Top Bottom