BinSalum7
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 1,766
- 3,926
Njoo uchukue ya kuswalia Eid.Kanzu
Njoo uchukue ya kuswalia Eid.Kanzu
Zaidi ya ugaidi sidhani kama kuna kingine.Uislamu Upo Karibia Miaka 1000 Pwani yetu na sehemu nyinginezo, hivi kipi haswa kimeletwa na uislamu kwa maana ya civilization na maendeleo ya jamii?
Hata tu mazao labda kuna zao gani ambalo lililetwa na uiaslamu hapa kwetu?
Mada changamshiMada chonganishi
Hao Makafiri kwanini wasikimbilie Ujiji Kigoma walipojaa Waarabu koko na Waislam kibao!? Hao unaowaita makafiri hapa Dar hawajawafata Waislam ila walifata fursa ya kijiografia ya eneo hili ambayo hao wenyeji (waislam) hawakuitumia. Kwa maana nyingine makafiri ndo wameleta hayo maendeleo unayojivuniaUislam umeleta ustaarabu na biashara Pwani na ndio sababu Makafiri wamehamia Dar kwa wingi.
Leo makafiri wanakimbia makwao kwenda kwa waswahili kutafuta maisha
Umeleta majiniUislamu Upo Karibia Miaka 1000 Pwani yetu na sehemu nyinginezo, hivi kipi haswa kimeletwa na uislamu kwa maana ya civilization na maendeleo ya jamii?
Hata tu mazao labda kuna zao gani ambalo lililetwa na uiaslamu hapa kwetu?
Ukristo ulileta nini?..ulileta zao gani?Uislamu Upo Karibia Miaka 1000 Pwani yetu na sehemu nyinginezo, hivi kipi haswa kimeletwa na uislamu kwa maana ya civilization na maendeleo ya jamii?
Hata tu mazao labda kuna zao gani ambalo lililetwa na uiaslamu hapa kwetu?
Uislam au waislam!?Mimi ni atheist mtu nisiyeamini katika dini wala Mungu.
Na kwa sababu hii, labda ninaweza kuwa mtu mzuri sana wa kujibu swali hili bila kasumba ya kutetea dini.
Uislamu umeleta mengi mazuri na mabaya, lakini moja kubwa zuri Uislamu umeleta utamaduni wa kusoma na kuandika.
Kuna watu wengi wa Afrika Mashariki walijua kusoma na kuandika kwa kupitia Uislamu. Watu walifikia muda mpaka kuandika Kiswahili kwa maandishi ya Kiarabu.
Hivyo, kujibu swali lako, Uislamu ulileta utamaduni wa kusoma na kuandika huku kwetu ambako hatukuwa na utamaduni wa maandishi.
UislamUislam au waislam!?
Nope, waislamUislam
Nope, waislam
Ndio walichojifunzaWavaa kobaz wanakuja kukunanga jumla jumla,,,, !
🤣 🤣 Huu nao ni ujinga Ulioleta Uislam huko Yemen hawamjui huyo Zahrawi auVitu vingi sana kuanzia hesabu hadi medical science ,vifaa vingi unavyoviona leo mahospitalini alivumbua mtu anaitwa zahrawi ambaye vitabu vyake hadi leo bado wazungu wanatumia kufundishia ulaya
Algebra etc vyote hivyo walileta muslim scholars
Kama huamini nenda YouTube search kuhusu Gereza linaitwa Sydinia huko Syria yaani Watu walikuwa wanasagwa na kutupwa kwenye Kemikali... Imagine hao ni wao kwaoDunia ya magharibi inasema uislamu umeleta ugaidi duniani na kuisambaza, japo mimi siamini hilo
Usingemjibu mjinga ukilumbana nae nawe unakua mjinga yy lengo ni kutukana watu sasa mwache hawezi kukaa live wiki nzima atachoka sasa muulize hizi nyuma wanazoishi waislamu sisi tumejengewa na ukristo kwa mawazo yake ukristo ni alfa na omega mwacheni huko hukoNae Uislam ni tamaduni na njia ya identification kama ulivyo Uafrika. Uafrika mpaka dakika hii umefanya nn afrika?
Level yako ya understanding,ni ndogo mno,kukujibu wewe ni kupoteza muda, huna nia ya kuelewa na hutaelewa.🤣🤣🤣😅🤣😅🤣Labda tuongee kama tuko chekechea,inamana Waarabu walichukua maneno ya kiswahili wakapeleka uarabuni?au waswahili kutokana na waarabu kuwa mabwana zao walikopi maneno yao wakaingiza kwenye kiswahili?
Unajua unapoongea kiarabu huwezi kuongea sentensi kumi bila kutamka neno la kiswahili,ingawa kwenye kuandika ndiyo tofauti kwa mfano neno mpaka alfajiri ni kiarabu na linatamkwa hivihivi na tafsiri yake ni hiyohiyo,wakati kwa kireno utasema ate demanha,unaziona tofauti hapo?
Wewe ungekuwa mwanafunzi wangu ningekupiga nondo ya kichwa boli siyo fimbo
Kanisa lilijengwa sehemu iliyokuwa ni soko la Binadamu wa Kiafrika, acha upotoshaji.