Hivi, uislamu uliwahi kuleta nini?

Hivi, uislamu uliwahi kuleta nini?

Pumbavu Yani wagunduzi wa kizungu waumize kichwa sifa uzipeleke Kwa waarabu.
Ina maana hujui hata kusoma au ndio veta imeshawaharibu, acha kukariri soma kuhusu history of medical science, algebra and alogarithm ujue nani aliyegundua hivi vitu siyo unakariri tu
hata hiyo the famois covid vaccine kutoka pfizer waaagunduzi ni waislamu kutoka uturuki ni mtu na mke wake, kusoma hamsomi mnabaki kukariri tu
 
Mshenzi ni mtu yoyote ambaye hajastaharabika, kwahiyo mshenzi kimsingi sio tusi!!!
Kwahiyo wale wote waliupokea walijikubali ni washenzi
Na wale waliokataa kama kina Mkwawa na Mirambo walikuwa wanajielewa kuwa wao sio washenzi
 
Kwani kabla ya ujio wa Islam Africa ilikuwa haifanyi business ?


Tafuta kitabu cha Walter Rodney "Africa development before 7 century
Ukisema Afrika utawachanganya watu,maana Misri ilikuwa emendelea hata kabla Ibrahimu hajazaliwa,yaani hawa Waisraeli walikuwa bado hawajaumbwa,ebu tujikite na Tanzania kwanza
 
Walikuja kupiga marufuku biashara ya Utumwa katika Mwambao wa Afrika ya masharilki
Kanisa ndio likiongoza kufanya biashara ya utumwa. Ukitaka uthibitisho nenda zanzibar kanisa la mkunazini utaona
 
Naombeni tutumie lugha ya stara,neno stara ni kiarabu,halafu Lugha ya mbinguni itakuwa kiarabu,kuna watu watabisha
 
Wamegundua Internet unayotumia kuwasiliana na magaidi wanzako na kuagiza tende,kanzu,baraghashia na tasbihi online..
Wakiristo chuki zenu dhidi ya uislam ndio kunawafanya watoto wenu waingie ktk uislam kwa kuwafata waume na wake wa kiislam.
 
Kanisa ndio likiongoza kufanya biashara ya utumwa. Ukitaka uthibitisho nenda zanzibar kanisa la mkunazini utaona
Kanisa lilijengwa sehemu iliyokuwa ni soko la Binadamu wa Kiafrika, acha upotoshaji.
 
Pumbavu Yani wagunduzi wa kizungu waumize kichwa sifa uzipeleke Kwa waarabu.

Haya soma hapa wajerumani wakielezea vitu mbali mbali walivyochukua na kujifunza kutoka kwa waislamu ,
 
uislamu upo karibia miaka 1000 pwani yetu na sehemu nyinginezo, hivi kipi haswa kimeletwa na uislamu kwa maana ya civilization na maendeleo ya jamii? hata tu mazao labda kuna zao gani ambalo lililetwa na uiaslamu hapa kwetu ?
Pilao/Pilau, kobazi nk
 
Unajua ukitaka kukielewa kitu weka chuki pembeni,mfano ni mdogo tu,Dubai ilikuwa na maisha duni sana,na kalibu asilimia 100 ni Waisilamu,walipogundua mafuta ndipo inchi ikapiga hatua kubwa kiuchumi,na siyo kwamba waliacha kuwafundisha watoto zao madrasa kama unavyosema, mpaka leo wanafundishwa elimu ya Dini.
Baada ya kuona mafuta yamebakisha miaka michache kuisha wameanzisha biashara ya utalii kupitia faida ya mafuta, hao ni Waisilamu pure
Nakuja kwako sasa,sisi tuna madini chungu nzima gramu moja ya dhahabu bei yake ni kubwa kuliko pipa la mafuta na tuna madini mengi mchanganyiko lakini mpaka leo sisi maskini,hiyo elimu yako ya mzungu unayoisema imetusaidia nini?
Ulipomuingiza Nyerere kwenye kufanya vibaya kwa shule za Zanzibar ndo nimetaka kujua, ni kivipi Nyerere umuhusishe wakati kinachowafelisha wanafunzi wa zenji kipo wazi? Maelezo yako bado hujaweka wazi, mapinduzi na Nyerere, ni kwa vipi iwe kikwazo kwa elimu ya zenji?
 
Wakati nyerere anapigania uhuru aliungana na wazee wa kiislamu kule tanga watu walifunga na kuswali na nyerere alifunga pia na dua nzito ilifanywa na waislam
 
Vijana wa sasa hivi mna maswali magumu sana.
 
Kwa kifupi niseme uislamu ni dini ambayo imeleta mafunzo ambayo yamekuwa na tija kubwa kwa maisha ya binadamu..
Mtume swallallaahu alaihi wasallam alisema: "KATIKA MAZURI YALIYOPO NDANI YA UISLAMU NI MTU KUACHA LISILOMHUSU."
Pia uislamu ulishawishi sana watu wake kuwa na tabia nzuri ..na katika kukazia hili, Mtume swallallaahu alaihi wasallam alisema: "HAKUMPA MZAZI MTOTO WAKE ZAWADI ILIYO BORA KUSHINDA TABIA NJEMA "
Uislamu pia ukaja kufundisha watu kuepuka uvivu na kuamka mapema.. waislamu wamefunzwa baada ya ibada ya asubuhi wasilale tena bali waamke kufanya shughuli zao za siku kisha ndo wapumzike na hili linashauriwa pia na wanasaikolojia wengi.
Ahsante.
 
Ulipomuingiza Nyerere kwenye kufanya vibaya kwa shule za Zanzibar ndo nimetaka kujua, ni kivipi Nyerere umuhusishe wakati kinachowafelisha wanafunzi wa zenji kipo wazi? Maelezo yako bado hujaweka wazi, mapinduzi na Nyerere, ni kwa vipi iwe kikwazo kwa elimu ya zenji?
Unajua nyie vijana wa sasa hivi histori hamzijui vizuri sababu mnazisoma,tofauti na aliyeziona au akasimuliwa na walioziona,mara nyingi za kuandika hasa za inchi za kiafrica huwa wanaandika ili kuwapendezesha watawala walioko madarakani,kwa wakati huo
Karume alidanganywa na Nyerere akaingia kingi kufanya mapinduzi,basi hapo ndiyo ikawa mwisho wa ukuaji wa Zanzibar na ikasimama na kuanza kurudi nyuma,baada ya miaka kazaa, alipotaka kujitoa kwenye muungano akauwawa ,mpaka leo Zanzibar inaamuliwa mambo yake kutoka bara
Point yangu wakati inajiamulia mambo yake ilikuwa mbali sana kielimu,unawakuta wasomi kama Muhamedi babu,na wengi tu,
 
Unajua nyie vijana wa sasa hivi histori hamzijui vizuri sababu mnazisoma,tofauti na aliyeziona au akasimuliwa na walioziona,mara nyingi za kuandika hasa za inchi za kiafrica huwa wanaandika ili kuwapendezesha watawala walioko madarakani,kwa wakati huo
Karume alidanganywa na Nyerere akaingia kingi kufanya mapinduzi,basi hapo ndiyo ikawa mwisho wa ukuaji wa Zanzibar na ikasimama na kuanza kurudi nyuma,baada ya miaka kazaa, alipotaka kujitoa kwenye muungano akauwawa ,mpaka leo Zanzibar inaamuliwa mambo yake kutoka bara
Point yangu wakati inajiamulia mambo yake ilikuwa mbali sana kielimu,unawakuta wasomi kama Muhamedi babu,na wengi tu,
Mzee mbona huweki wazi unaogopa nini! Mi nipo zenji hapa nikiongeaga na wenyewe huwa wanasema eti Baraza la mitihani huwa linawafelisha kimakusudi watoto wao, vipi unaungana nao kwenye dhana hiyo? Mi naona vitoto vidogo vinashinda madrasa we unafikiri vitaweza kubattle na vitoto vya huko vinavyoshinda shuleni!?

We naona unaruka ruka tu, mapinduzi na Nyerere wanahusika vipi kushuka kwa elimu ya zenji?
 
Back
Top Bottom