cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,325
Hawa mafisadi walitesa mno kwa wizi acha wanyooshwe hafu walijifanya miungu watu hawagusiki kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kabisaa wanasema ukimcheki Ruge na Singasinga walivyonyooka+ zile ndevu+kanzu zao unaweza kudhani ni wale manabii wa enzi za yesu.
Ninachokiona UDA inarudi serikalini kwa 100% kama ambavyo yule Zakaria wa Mwz aliwekwa ndani na mkewe mpk akarudisha yale Maghorofa+mali nyingine za chama cha ushirika Mwz.
Hii ni good Move.
Sent using Jamii Forums mobile app