Hivi Rais Samia amewahi kuandika Makala au Paper ya utatuzi wa changamoto za jamii?

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,237
103,892
Nimelazimika kuuliza hii kitu, ni muhimu sana kujua. Makala nzito iliyojaa critical analysis na ikapatikana kwenye national au International journals. Paper fulani hivi ya kuzungumzia changamoto mtambuka za jamii yetu ya Kitanzania.

Mambo haya yanaakisi sana uwezo wa mtu. Nafikiri ana Degree na Masters, ziko wapo Research reports zake tuzifanyie Literature Review.

Tanzania inakabiliwa na changamoto nyingi chungu mzima. Lakini hatuoni hatuoni hata moja ikipatiwa majibu ya utatuzi. Nchi ni kama mgonjwa anayesubiri muujiza wa Baba wa Mbinguni tu.
 
Nimelazimika kuuliza hii kitu, ni muhimu sana kujua. Makala nzito iliyojaa critical analysis na ikapatikana kwenye national au International journals. Paper fulani hivi ya kuzungumzia changamoto mtambuka za jamii yetu ya Kitanzania.

Mambo haya yanaakisi sana uwezo wa mtu. Nafikiri ana Degree na Masters, ziko wapo Research reports zake tuzifanyie Literature Review.

Tanzania inakabiliwa na changamoto nyingi chungu mzima. Lakini hatuoni hatuoni hata moja ikipatiwa majibu ya utatuzi. Nchi ni kama mgonjwa anayesubiri muujiza wa Baba wa Mbinguni tu.
Ameandika Rais Samia: Miaka 30 ya Vyama Vingi - Changamoto na mustakabali kusonga mbele na sisi wa pongezi tuka gonga hapo hapo Samia ni mpango wa Mungu kwa Tanzania: Kwa hili atabarikiwa, Taifa litabarikiwa. Asante Mungu kwa Samia, Mungu mbariki Samia, Mungu ibariki Tanzania!

P
 
..aliandika makala kuhusu falsafa yake ya "4R."

..sina uhakika kama alikuwa na uelewa wa alichoandika, au aliamini kwa dhati andiko lake.

..zaidi, aliitupilia mbali falsafa ya 4R muda mchache baada ya kuchapisha makala hiyo.
Aliona siasa za Afrika zimejaa ujinga na ukizi approach kwa ideals kama mwenyewe alivyokuwa anajaribu mwanzo utaishia kujuta tu
Ndio maana sasa anarudisha na wale mafioso wa Magufuli
 
Rais Samia alivyokuwa anaanza urais alikuwa idealist fulani hivi, maridhiano, demokrasia, 4R , Rule of law n.k
Baadae akaja kuona upuuzi wa siasa za Afrika, akaamua kuwa pragmatic kama Magufuli
 
She is very smart upstairs Ila Kama ujuavyo huwezi kuweka mwanga sehemu ambayo watu hawahitaji huo mwanga nothing can happen.

Tatizo la nchi yetu ni ujinga serikali inatumia nguvu na muda wake kuwekeza katika mpira na sio maarifa.


I see darkness mama Tanzania
 
Nimelazimika kuuliza hii kitu, ni muhimu sana kujua. Makala nzito iliyojaa critical analysis na ikapatikana kwenye national au International journals. Paper fulani hivi ya kuzungumzia changamoto mtambuka za jamii yetu ya Kitanzania.

Mambo haya yanaakisi sana uwezo wa mtu. Nafikiri ana Degree na Masters, ziko wapo Research reports zake tuzifanyie Literature Review.

Tanzania inakabiliwa na changamoto nyingi chungu mzima. Lakini hatuoni hatuoni hata moja ikipatiwa majibu ya utatuzi. Nchi ni kama mgonjwa anayesubiri muujiza wa Baba wa Mbinguni tu.
Ameandika “chonde chonde na Hili mkalitazame”
 
Yale yale ya Ben Saanane, be very careful. Mamluki na Mabarakala (Chawa) wao wapo wengi sana kwenye mtamdao huu(watu wasiojulikana au wazee wa kaunda suti)

Nimelazimika kuuliza hii kitu, ni muhimu sana kujua. Makala nzito iliyojaa critical analysis na ikapatikana kwenye national au International journals. Paper fulani hivi ya kuzungumzia changamoto mtambuka za jamii yetu ya Kitanzania.

Mambo haya yanaakisi sana uwezo wa mtu. Nafikiri ana Degree na Masters, ziko wapo Research reports zake tuzifanyie Literature Review.

Tanzania inakabiliwa na changamoto nyingi chungu mzima. Lakini hatuoni hatuoni hata moja ikipatiwa majibu ya utatuzi. Nchi ni kama mgonjwa anayesubiri muujiza wa Baba wa Mbinguni tu.
 
Nimelazimika kuuliza hii kitu, ni muhimu sana kujua. Makala nzito iliyojaa critical analysis na ikapatikana kwenye national au International journals. Paper fulani hivi ya kuzungumzia changamoto mtambuka za jamii yetu ya Kitanzania.

Mambo haya yanaakisi sana uwezo wa mtu. Nafikiri ana Degree na Masters, ziko wapo Research reports zake tuzifanyie Literature Review.

Tanzania inakabiliwa na changamoto nyingi chungu mzima. Lakini hatuoni hatuoni hata moja ikipatiwa majibu ya utatuzi. Nchi ni kama mgonjwa anayesubiri muujiza wa Baba wa Mbinguni tu.
Katika marais wetu, Nyerere ndiye alikuwa kiboko. Yaani ukisikia rais msomi ndiyo yule. Hata Mkapa anaingia kwenye list. List uchwara ni Magufuli, Samia na Kikwete.
 
Aliona siasa za Afrika zimejaa ujinga na ukizi approach kwa ideals kama mwenyewe alivyokuwa anajaribu mwanzo utaishia kujuta tu
Ndio maana sasa anarudisha na wale mafioso wa Magufuli

..kama kuna ujinga kwenye siasa za Tz basi umesababishwa na Ccm kwasababu ndio wametuongoza tangu tupate uhuru.

..Ccm pia ndio walioasisi na kusimamia mabadiliko yaliyofungua milango ya mfumo wa vyama vingi.

..matatizo yetu ya kisiasa yametokana na kutokutekelezwa kwa ukamilifu kwa mapendekezo ya Tume ya Jaji Mkuu Francis Nyalali.
 
Nyerere Ndiye aliyefilisi uchumi wa nchi yetu pamoja na maandiko yake
Nyerere hakufilisi uchumi wa nchi. Nyerere alianzisha mashirika na viwanda vingi tu lakini hakujua watanzania ni wezi na wavivu wa kutupwa. Enzi za Nyerere watu waliokuwa wanasoma bure. Hospital bure. Kulikuwa mpaka na kupewa warrant wa kusafiri kwa wanafunzi na watu wengine kama wanamuziki. Kwa kifupi watu wa kawaida ndiyo walikuwa wana-enjoy keki ya Taifa. Hebu nionyeshe katika hizi nchi za sub-Sahara African countries ni nchi ipi wananchi wake walikuwa wanaishi vizuri kama Tanzania kipindi cha Nyerere! Nyerere mpaka raslimali aliziacha kwa matumizi ya baadae. Sasa hizi wanashindana kuzipiga bei.
 
Nyerere hakufilisi uchumi wa nchi. Nyerere alianzisha mashirika na viwanda vingi tu lakini hakujua watanzania ni wezi na wavivu wa kutupwa. Enzi za Nyerere watu waliokuwa wanasoma bure. Hospital bure. Kulikuwa mpaka na kupewa warrant wa kusafiri kwa wanafunzi na watu wengine kama wanamuziki. Kwa kifupi watu wa kawaida ndiyo walikuwa wana-enjoy keki ya Taifa. Hebu nionyeshe katika hizi nchi za sub-Sahara African countries ni nchi ipi wananchi wake walikuwa wanaishi vizuri kama Tanzania kipindi cha Nyerere! Nyerere mpaka raslimali aliziacha kwa matumizi ya baadae. Sasa hizi wanashindana kuzipiga bei.

..Nchi ilifilisika wakati wa awamu ya kwanza.

..baadhi ya matatizo yalisababishwa na sera za kijamaa alizoziamini Mwalimu Nyerere.

..kibaya zaidi Mwalimu alikataa ushauri wa kuchukua hatua za kurekebisha uchumi mapema.

..nashauri msome vitabu vilivyoandikwa na Edwin Mtei, na Andy Chande, mtapata picha ya nini ilisababisha uchumi wetu kuanguka miaka ya 1980.

..Kwenye kitabu cha Andy Chande anaelezea jinsi Mwalimu alivyotaifisha mali za kina Chande na kuanzisha shirika la National Milling.

..tatizo ni kwamba waliopewa kuendesha hizo mali za kina Chande / National Milling hawakuwa na uzoefu wa uendeshaji wa biashara hiyo.

..Matokeo yake shirika la umma kukawa likiendeshwa kwa hasara. Serikali ya Mwalimu iliendelea kutupa fedha ktk mashirika mengi ya aina hiyo.

..Mwalimu pia alitaifisha mashamba ya mkonge. Mkonge ilikuwa moja ya mazao yanayoingiza fedha nyingi za kigeni. Matokeo ya hatua za utaifishaji za Mwalimu Nyerere ni kuanguka kwa sekta ya mkonge.

..kulikuwa na harakati nyingi za kuyasimamisha mashirika yaliyokuwa yametaifishwa, pamoja na kuanzisha mengine mengi mapya ambayo hayakuweza kusimama yenyewe.

..Mwalimu alishauriwa atafute wabia kwa mashirika na makampuni yaliyokuwa wakifanya vibaya, lakini ushauri huo haukutekelezwa.

..Watanzania waliokuwa wakitoa ushauri, au kuunga mkono mabadiliko ya sera za uchumi waliitwa WASALITI / VIBARAKA ndani ya Ccm, na walishindwa ktk chaguzi za ndani ya chama.

..Mfumo wa uendeshaji uchumi wa Mwalimu uliwakera nchi wafadhili na taasisi zilizokuwa zikitukopesha. Matokeo yake ni wafadhili na wakopeshaji kugoma kutupa fedha mpaka pale tutakapobadili sera zetu, na namna tunavyoendesha uchumi.

..Hali hiyo ndio chanzo cha mgogoro kati ya Mwalimu Nyerere na taasisi za fedha kama IMF na WB. Mwisho wa yote Mwalimu aliamua kung'atuka na kupisha wengine waje waendesha nchi.

..Tofauti ya Mwalimu Nyerere na waliomfuatia ni kwamba yeye hakuwa fisadi aliyenufaiki ktk lindi la matatizo ya kiuchumi tuliyokuwa tukikabiliana nayo. Mwalimu aliachia madaraka akiwa hana hata pensheni ya Uraisi.
 
Back
Top Bottom