Hivi Rais analindwa na vikosi vingapi vya askari?

1. Kwanza Kuna yule amevaa Sare ya JWTZ = Mpambe wa Raisi, kawaida kutoka JWTZ

2. Kuna hawa wanavaaga SUTI huwa hawana silaha zinazoonekana = TISS kikosi cha ulinzi wa Raisi (bodyguards)

3. Kuna hawa wengine wana silaha kubwa sana sijawahi ona silaha ya vile uniforms zao zina mabaka madogo madogo = with love from Rwanda

4. Kuna hawa wengine wamevaa uniforms za kama polisi FFU = Polisi kikosi cha ulinzi wa Raisi na kudhibiti umati

5 Wa mwisho ni hawa askari wa kawaida tunakimbizana nao kila siku mtaani wanavaa kofia nyekundu kichwani = FFU Kikosi cha ulinzi wa Raisi na kudhibiti umati
Propaganda hakuna na hakuna kikosi toka rwanda kinacho mlinda Magufuli
Ndani ya wale ma baka ninao watu zaidi ya wawili
Mmoja ni kaka wa damu na ni mkinga wa makete huko.
Na kuna mwingne ni skul mate Kibaha sec.

Acheni porojo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku ya mechi ya Yanga na Simba nilishangazwa na jambo moja kabla ya ujio wake. Nilikuwa sehemu moja karibu sana na VIP nikawa naona watu ambao sikuamini kama ni washangiliaji wa mpira.

Nikazidi kuchunguza ila nikaona watu wake wakiwa na umakini sana nikajisemea moyoni mmh ulinzi wa leo hapa Taifa ni balaa.

Baada ya Masaa mawili naona Rais Jukwaa kuu ndipo nikajua kumbe wale watu walikuwa VIP.

Pia, barabara zote za kuingia uwanjani siku hiyo zilikuwa zimefungwa na Break down. Wakati naingia nikashangaa hali ile kumbe yalikuwa maandalizi ya ujio wake.

Heko kwa vyombo vya usalama wa Rais mnafanya kazi kubwa sana kuhakikisha huyo raia namba moja anakuwa salama natamani siku moja niwasaidie.
 
Propaganda hakuna na hakuna kikosi toka rwanda kinacho mlinda Magufuli
Ndani ya wale ma baka ninao watu zaidi ya wawili
Mmoja ni kaka wa damu na ni mkinga wa makete huko.
Na kuna mwingne ni skul mate Kibaha sec.

Acheni porojo

Sent using Jamii Forums mobile app
Wale Mabaka mimi nilikutana na mmoja wao tangu enzi za JK ila mara nyingi walikuwa Ikulu na sare zao.

Baada ya ujio wa JPM nikawaona katika misafara ya Rais.

Watanzania wana Propaganda nyingi sana na hawajikubali.
 
Nakujibu kama ifuatavyo.

Anayevalia sare ya JWTZ ni mpambe wake kazi yake ni kumsaidia Rais kazi ndogo ndogo kama kumbebea begi, simu n.k mara nyingi utamwona akiwa nyuma ya Rais.

Wanaovalia suti ni watu wa usalama, kazi yao kubwa ni kuhakikisha Rais anakuwa salama muda wote.

Wenye silaha kubwa wanaovalia combat kama za US Army ni walinzi, kazi yao kubwa ni kuhakikisha ulinzi kwenye eneo la tukio

Askari wa FFU kazi yao kubwa ni kutuliza ghasia na Askari wanaovalia kawaida kazi yao ni kukamata waleta fujo na ghasia

Nadhani mpaka hapo nimekujibu.
Safi kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Kwanza Kuna yule amevaa Sare ya JWTZ = Mpambe wa Raisi, kawaida kutoka JWTZ

2. Kuna hawa wanavaaga SUTI huwa hawana silaha zinazoonekana = TISS kikosi cha ulinzi wa Raisi (bodyguards)

3. Kuna hawa wengine wana silaha kubwa sana sijawahi ona silaha ya vile uniforms zao zina mabaka madogo madogo = with love from Rwanda

4. Kuna hawa wengine wamevaa uniforms za kama polisi FFU = Polisi kikosi cha ulinzi wa Raisi na kudhibiti umati

5 Wa mwisho ni hawa askari wa kawaida tunakimbizana nao kila siku mtaani wanavaa kofia nyekundu kichwani = FFU Kikosi cha ulinzi wa Raisi na kudhibiti umati
Hapo kwenye with love 😅😅😅😅
 
hapo kila kikosi na kazi yake...saws na akiwa ikulu,ni mfumo

camera
geti LA kwanza kuingia ngomeni
mbwa wa doria
geti LA pili kuingia kwenye jumba
mlango mkuu
mlango wa wasaidizi
mlango wa Chief


Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Kwanza Kuna yule amevaa Sare ya JWTZ = Mpambe wa Raisi, kawaida kutoka JWTZ

2. Kuna hawa wanavaaga SUTI huwa hawana silaha zinazoonekana = TISS kikosi cha ulinzi wa Raisi (bodyguards)

3. Kuna hawa wengine wana silaha kubwa sana sijawahi ona silaha ya vile uniforms zao zina mabaka madogo madogo = with love from Rwanda

4. Kuna hawa wengine wamevaa uniforms za kama polisi FFU = Polisi kikosi cha ulinzi wa Raisi na kudhibiti umati

5 Wa mwisho ni hawa askari wa kawaida tunakimbizana nao kila siku mtaani wanavaa kofia nyekundu kichwani = FFU Kikosi cha ulinzi wa Raisi na kudhibiti umati

Sijawahi kuona Rais yeyote duniani kulindwa na askari wa nchi nyingine hilo la Rwanda siamini


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mkuu umeshasema ni rais, sasa swala la ulinzi wake unataka ufafanuliwe hapa? wabongo ni shida aiseee..

Shida wewe ndio unayo mkuu kutotaka kujifunza kitu usichojua don’t be limited to your own idea explore learn more ndio chakula cha ubongo


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kwa nchi zenye shida ya amani ila Sio Tanzania na kama una proof tuletee hapa sijawahis sikia kokote kitu kma hicho

Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkuu huo mjadala inabidi urudi kwenye threads wakati suala hili la walinzi kutoka Rwanda linajadiliwa sana humu JF.
 
Muuliza swali unatujaribu et mbona hata jina lako tu linaonyesha wewe ni .............. alafu unasumbua tu
 
Back
Top Bottom