Hivi pesa inapatikana wapi?

Hivi pesa inapatikana wapi?

Hawaendi kuweka, wanaenda kuchukua.
Kuna siku nilienda bank na kamilion kumi kangu kuweka nikakaa folen kuna mwamba mmoja alikuwa watatu mbele alibeba begi ilipofika zamu yake alikaa kama nusu saa kuhudumiwa hadi najisemea sijui niondoke maana kamilion kumi kangu nilifanya kukashika mkononi dah! It was 2018 pande za masasi
 
1000059194.jpg
 
Kuna siku nilienda bank na kamilion kumi kangu kuweka nikakaa folen kuna mwamba mmoja alikuwa watatu mbele alibeba begi ilipofika zamu yake alikaa kama nusu saa kuhudumiwa hadi najisemea sijui niondoke maana kamilion kumi kangu nilifanya kukashika mkononi dah! It was 2018 pande za masasi
Hongera mkuu. Kushika kamilioni kumi kako ni hatua nzuri.
 
Mkuu ninajiona kabisa kwa nilipofikia ninahitaji kupambania na simba. Tena mwenye njaa ili nipate pesa.
Kama kwako kuna simba niunganishe naye mkuu.
Hapana mkuu kwangu hakuna simba wala mimi sina hizo pesa za dizaini hiyo, lakini km una nia kweli connection utaipata.
 
Njoo pm n
Nimeenda migodini nimepiga veni na kanyero za kutosha sijapata pesa

Nimeingia porini kata miti na mbao sikupata pesa

Nimesoma hadi chuo pia olaa

Biashara ya uwakala, mitumba, viatu, viwanja, nyumba kote sijapata pesa

Oya pesa inapatina wapi mazee
Andaa m2 njoo pm nikupe michongo haramu so unataka pesa
 
Naomba nijibiwe hili swali kwa weledi bila kejeli wala mzaha

Hakuna mtu hapendi pesa wadau na kila siku watu hujituma kutafuta pesa sasa pesa huwa inapatikana wapi?

Naomba nieleweke nikisema pesa simaanishi vipesa vya kula namaanisha pesa nyingi

Karibuni
Kama unataka pesa nyingi fanya biashara haramu. Ukiweza zaidi fanya ile ya kuuza binadamu usiuze binadamu sijui umenielewa.
 
Nimeenda migodini nimepiga veni na kanyero za kutosha sijapata pesa

Nimeingia porini kata miti na mbao sikupata pesa

Nimesoma hadi chuo pia olaa

Biashara ya uwakala, mitumba, viatu, viwanja, nyumba kote sijapata pesa

Oya pesa inapatina wapi mazee
Sio kila mtu lazima apate pesa wengne mtabaki kuwa washangiliaji wa sisi km hta kwenye mbao hukutoboa wewe ni maskini umbwa takataka
 
Sijampotosha mtu yoyote wewe amini kwenye kile unachoamini!!
Nenda na wewe ili uwe km yeye wengne wanafanya vibiashara vidogo wanaposubili Mali zao zikue km huku kwetu iringa mafinga mtu anakuwa na ekal 40 za miti ya paina anaposubili miti ikue anakuwa anauza tuu kirabu siku ikifika anauza kila eka milion kumi mara eka 40 tial anamilion 400 akili kumkichwa watu hawaonyeshi Mali zao ili kuwahadaa watu km nyinyi
 
Halafu dogo ananiita mimi kichwa kigumu wakati hanijui simjui, huku mtandaoni watu tunachukuliana poa tu lakini tukisema tuweke siku ya kukutana kuna watu wataomba msamaha kama sio kutukimbia maana hawataamini watu watakao kutana nao! 😂😁
Kwamba we ninan fungua code mzee
 

Attachments

Nenda na wewe ili uwe km yeye wengne wanafanya vibiashara vidogo wanaposubili Mali zao zikue km huku kwetu iringa mafinga mtu anakuwa na ekal 40 za miti ya paina anaposubili miti ikue anakuwa anauza tuu kirabu siku ikifika anauza kila eka milion kumi mara eka 40 tial anamilion 400 akili kumkichwa watu hawaonyeshi Mali zao ili kuwahadaa watu km nyinyi
Sawa.
 
Back
Top Bottom