Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,719
- 13,423
Benki.
Hawaendi kuweka, wanaenda kuchukua.Hawa wanaoenda kuweka pesa bank wao wanazitoa wapi
Kuna siku nilienda bank na kamilion kumi kangu kuweka nikakaa folen kuna mwamba mmoja alikuwa watatu mbele alibeba begi ilipofika zamu yake alikaa kama nusu saa kuhudumiwa hadi najisemea sijui niondoke maana kamilion kumi kangu nilifanya kukashika mkononi dah! It was 2018 pande za masasiHawaendi kuweka, wanaenda kuchukua.
Hongera mkuu. Kushika kamilioni kumi kako ni hatua nzuri.Kuna siku nilienda bank na kamilion kumi kangu kuweka nikakaa folen kuna mwamba mmoja alikuwa watatu mbele alibeba begi ilipofika zamu yake alikaa kama nusu saa kuhudumiwa hadi najisemea sijui niondoke maana kamilion kumi kangu nilifanya kukashika mkononi dah! It was 2018 pande za masasi
Hapana mkuu kwangu hakuna simba wala mimi sina hizo pesa za dizaini hiyo, lakini km una nia kweli connection utaipata.Mkuu ninajiona kabisa kwa nilipofikia ninahitaji kupambania na simba. Tena mwenye njaa ili nipate pesa.
Kama kwako kuna simba niunganishe naye mkuu.
Andaa m2 njoo pm nikupe michongo haramu so unataka pesaNimeenda migodini nimepiga veni na kanyero za kutosha sijapata pesa
Nimeingia porini kata miti na mbao sikupata pesa
Nimesoma hadi chuo pia olaa
Biashara ya uwakala, mitumba, viatu, viwanja, nyumba kote sijapata pesa
Oya pesa inapatina wapi mazee
Kama unataka pesa nyingi fanya biashara haramu. Ukiweza zaidi fanya ile ya kuuza binadamu usiuze binadamu sijui umenielewa.Naomba nijibiwe hili swali kwa weledi bila kejeli wala mzaha
Hakuna mtu hapendi pesa wadau na kila siku watu hujituma kutafuta pesa sasa pesa huwa inapatikana wapi?
Naomba nieleweke nikisema pesa simaanishi vipesa vya kula namaanisha pesa nyingi
Karibuni
Sio kila mtu lazima apate pesa wengne mtabaki kuwa washangiliaji wa sisi km hta kwenye mbao hukutoboa wewe ni maskini umbwa takatakaNimeenda migodini nimepiga veni na kanyero za kutosha sijapata pesa
Nimeingia porini kata miti na mbao sikupata pesa
Nimesoma hadi chuo pia olaa
Biashara ya uwakala, mitumba, viatu, viwanja, nyumba kote sijapata pesa
Oya pesa inapatina wapi mazee
Acha kupotosha umma kijanaUnataka hela za kudunduliza au hela za manyoka(majini) za kutoa ndagu ili tukupe connection???
Kama ni za kudunduliza utachelewa sana aisee kwa umri wako huo!
Sijampotosha mtu yoyote wewe amini kwenye kile unachoamini!!Acha kupotosha umma kijana
Nenda na wewe ili uwe km yeye wengne wanafanya vibiashara vidogo wanaposubili Mali zao zikue km huku kwetu iringa mafinga mtu anakuwa na ekal 40 za miti ya paina anaposubili miti ikue anakuwa anauza tuu kirabu siku ikifika anauza kila eka milion kumi mara eka 40 tial anamilion 400 akili kumkichwa watu hawaonyeshi Mali zao ili kuwahadaa watu km nyinyiSijampotosha mtu yoyote wewe amini kwenye kile unachoamini!!
Kwamba we ninan fungua code mzeeHalafu dogo ananiita mimi kichwa kigumu wakati hanijui simjui, huku mtandaoni watu tunachukuliana poa tu lakini tukisema tuweke siku ya kukutana kuna watu wataomba msamaha kama sio kutukimbia maana hawataamini watu watakao kutana nao! 😂😁
Sawa.Nenda na wewe ili uwe km yeye wengne wanafanya vibiashara vidogo wanaposubili Mali zao zikue km huku kwetu iringa mafinga mtu anakuwa na ekal 40 za miti ya paina anaposubili miti ikue anakuwa anauza tuu kirabu siku ikifika anauza kila eka milion kumi mara eka 40 tial anamilion 400 akili kumkichwa watu hawaonyeshi Mali zao ili kuwahadaa watu km nyinyi