Hivi pesa inapatikana wapi?

Hivi pesa inapatikana wapi?

Naomba nijibiwe hili swali kwa weledi bila kejeli wala mzaha

Hakuna mtu hapendi pesa wadau na kila siku watu hujituma kutafuta pesa sasa pesa huwa inapatikana wapi?

Naomba nieleweke nikisema pesa simaanishi vipesa vya kula namaanisha pesa nyingi

Karibuni
Kuna mchungaji mmoja wa Kenya nilimsikia akisema
“Money is a reward after solving somebody problems”

Mkuu PESA zipo kwa watu
Nijuhudi yako kuzifanya zitoke kwao zije kwako

Wewe ukiwa na buku na unanjaa basi ujue mama ntilie alishatathmini kuna watu wana changamoto ya njaa ndio akapika chakula
Na wewe kwa njaa yako unampelekea buku lako anakua kasolve changamoto yako ya njaa na kaingiza PESA

Chungulia mahali ulipo jamii inachangamoto ya mahitaji gani kisha geuza fursa kutatua changamoto hizo watatoa hela zao na kukupa
 
Kuna mchungaji mmoja wa Kenya nilimsikia akisema
“Money is a reward after solving somebody problems”

Mkuu PESA zipo kwa watu
Nijuhudi yako kuzifanya zitoke kwao zije kwako

Wewe ukiwa na buku na unanjaa basi ujue mama ntilie alishatathmini kuna watu wana changamoto ya njaa ndio akapika chakula
Na wewe kwa njaa yako unampelekea buku lako anakua kasolve changamoto yako ya njaa na kaingiza PESA

Chungulia mahali ulipo jamii inachangamoto ya mahitaji gani kisha geuza fursa kutatua changamoto hizo watatoa hela zao na kukupa
Hizo hataki anataka maburungutu ya pesa, huyu mpeni konesksheni kwa wakinga huko, au kule jogoo anakula punje, hizi za mifukoni kwa watu hataki
 
Nataka kuelekea nyakafuru mkuu namimi nikajaribu bahati yangu
mm sio tajiri mkuu ila kama ningepeewa option ya kwamba fuata njia hii kua tajiri ningepima vitu vichache kwanza, kama icho kitu kinanibisi nifanye kazi kila sku hakuna kipindi ntakuja kutulia ela zitaingia zenyewe basi sichukui

hivo basi ni vema ukaongeza thamani unachofanya uutajiri ukikukuta poa, uspokukuta pia fresh hakuna tuzo ya mtesekaji bora
 
Hivyo vipesa navishika sana na kuwekeza ila hakuna ninachoambulia, lile gofu ni matokeo ya faida ndogo

Vipi mkuu hujamalizana na mzabzab tubadilishane na gofu langu kwa mbususu
Gofu lako lipo wapi, mzabzab tumeshindwana huko vikindu mi sitaki
 
Hivyo vipesa navishika sana na kuwekeza ila hakuna ninachoambulia, lile gofu ni matokeo ya faida ndogo

Vipi mkuu hujamalizana na mzabzab tubadilishane na gofu langu kwa mbususu
Unaonaje uumpe gofu lako na mie nimpe kiwanja changu tugonge 3some
 
Kuna mchungaji mmoja wa Kenya nilimsikia akisema
“Money is a reward after solving somebody problems”

Mkuu PESA zipo kwa watu
Nijuhudi yako kuzifanya zitoke kwao zije kwako

Wewe ukiwa na buku na unanjaa basi ujue mama ntilie alishatathmini kuna watu wana changamoto ya njaa ndio akapika chakula
Na wewe kwa njaa yako unampelekea buku lako anakua kasolve changamoto yako ya njaa na kaingiza PESA

Chungulia mahali ulipo jamii inachangamoto ya mahitaji gani kisha geuza fursa kutatua changamoto hizo watatoa hela zao na kukupa
Ili nipate $1bilion natakiwa niwe na watu wangapi wa kunipa buku buku
 
Ili nipate $1bilion natakiwa niwe na watu wangapi wa kunipa buku buku
Pesa zina kanuni zake ili uzipate
Na kanuni hizo ndio zitafanya upate hela kiasi gani

Tunapo zungumzia hela tunazungumzia MAFANIKIO
Na kanuni ya manikio ni matokeo ya mambo matatu

1, MUDA
Muda ni wetu sote, wote tuna 24hrs per day, Ni namna utakavyo utumia muda wako

2. JUHUDI
Juhudi ni za mtu binafsi
Hapa ni juhudi zako za kupigania ndoto zako

3, KUDRA/MUNGU/BAHATI
Hii ipo nje ya uwezo wetu kama binadamu
Wengine wanaamini ni Mungu wengine ni BAHATI wengine ni KUDRA/KARMA

Mtoto wa Barekhsa huyo kudra/bahati/ Mungu ndio imempa nafasi ya kupata mahela mengi kuliko wewe mtoto wa mkuli ambaye inabidi vitu vyote vitatu inabidi vikutane ili upate mabilioni

Lakini Baba yake yeye alianza labda kushona viatu na alikua analipwa buku buku tu.... Hapa JUHUDI za kupigania ndoto ndio zina matter

Ni somo refu sana hili kulieleze
Maana hapo inabidi ufafanuzi wa MUDA, JUHUDI na KUDRA

So kujibu swali lako la kupata bilioni ni kwamba unahitaji hayo mambo matatu
Mind you that money are scary.... hatuwezi wote kuwa mabilionea kwasababu hela hazitatosha
Hapo ndio KUDRA inaamua nani atakua na mafanikio makubwa
 
Book: The school of money by Olamide Emmanuel

"Money hides in people"
"Money hides in problem"
"Money hides hides in gifts and talents"
"Money hides in opportunities"
"Money hides in products and services"
"Money hides in ideas"
"Money hides in vision"
"Money hides in work"
"Money hides in seed"
"Money hides in GOD"🙏
 
Pesa zina kanuni zake ili uzipate
Na kanuni hizo ndio zitafanya upate hela kiasi gani

Tunapo zungumzia hela tunazungumzia MAFANIKIO
Na kanuni ya manikio ni matokeo ya mambo matatu

1, MUDA
Muda ni wetu sote, wote tuna 24hrs per day, Ni namna utakavyo utumia muda wako

2. JUHUDI
Juhudi ni za mtu binafsi
Hapa ni juhudi zako za kupigania ndoto zako

3, KUDRA/MUNGU/BAHATI
Hii ipo nje ya uwezo wetu kama binadamu
Wengine wanaamini ni Mungu wengine ni BAHATI wengine ni KUDRA/KARMA

Mtoto wa Barekhsa huyo kudra/bahati/ Mungu ndio imempa nafasi ya kupata mahela mengi kuliko wewe mtoto wa mkuli ambaye inabidi vitu vyote vitatu inabidi vikutane ili upate mabilioni

Lakini Baba yake yeye alianza labda kushona viatu na alikua analipwa buku buku tu.... Hapa JUHUDI za kupigania ndoto ndio zina matter

Ni somo refu sana hili kulieleze
Maana hapo inabidi ufafanuzi wa MUDA, JUHUDI na KUDRA

So kujibu swali lako la kupata bilioni ni kwamba unahitaji hayo mambo matatu
Mind you that money are scary.... hatuwezi wote kuwa mabilionea kwasababu hela hazitatosha
Hapo ndio KUDRA inaamua nani atakua na mafanikio makubwa
Mkuu umetema madini ahsante sana

After all bado hujaonesha absolute direction wapi pakupata pesa ukiwa na muda tema nondo zingine
 
Naomba nijibiwe hili swali kwa weledi bila kejeli wala mzaha

Hakuna mtu hapendi pesa wadau na kila siku watu hujituma kutafuta pesa sasa pesa huwa inapatikana wapi?

Naomba nieleweke nikisema pesa simaanishi vipesa vya kula namaanisha pesa nyingi

Karibuni
Kuna ma bango kwenye nguzo za umeme yameandikwa 666 na namba ya simu pale chini cheki nao fasta ulete mrejesho
 
Back
Top Bottom