Hivi pesa inapatikana wapi?

Hivi pesa inapatikana wapi?

Pesa nyingi bila shaka zinapatikana kwenye biashara zote halamu.
Pia serikalini kuna pesa nyingi sana ambazo ni kodi zetu wananchi na viongozi wa serikalini wanazifuja.
Epuka utapeli wa kwamba pesa zinatolewa kwa muujiza fulani, kwamba kuna jini linaweza kukupatia pesa huo ni utapeli.
Pesa ni kitu halisi, siyo kitu cha kiimani.
Kwahiyo pesa zote zinatoka BOT na siyo kwamba kuna mzimu fulani unaweza kuzalisha na kukupatia pesa.
kuna member humu anaitwa UMUGHAKA ashawahi kutoa ushuhuda kwamba kuna jini lilikua linamletea hela room kwake
 
Book: The school of money by Olamide Emmanuel

"Money hides in people"
"Money hides in problem"
"Money hides hides in gifts and talents"
"Money hides in opportunities"
"Money hides in products and services"
"Money hides in ideas"
"Money hides in vision"
"Money hides in work"
"Money hides in seed"
Tafadhali share soft copy ya hcho ktabu hapa. nimekitafuta online cjakipata
 
Mkuu ninajiona kabisa kwa nilipofikia ninahitaji kupambania na simba. Tena mwenye njaa ili nipate pesa.
Kama kwako kuna simba niunganishe naye mkuu.

Mkuu usichukulie poa kuna mambo yanahitaji ujasiri sana ule wa kumuua simba ukiona anakuja livelive, hapa wengi huwa wanatoka mbiooo😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom