Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,080
- 165,194
Ya kwanza na na ya pili ichukulie kwa userious sana utapata unachokitafuta.Mambo ni mengi muda mchache
Ya kwanza na na ya pili ichukulie kwa userious sana utapata unachokitafuta.Mambo ni mengi muda mchache
Watu ni Mimi na wewe mimi mbona sina vipi wewe unazo dada Evelyn SaltYa kwanza na na ya pili ichukulie kwa userious sana utapata unachokitafuta.
Alhamdullilah za mahitaji madogo madogo nnazo ila nyingi za kufanya vitu vikubwa sina, bado nazitafutaWatu ni Mimi na wewe mimi mbona sina vipi wewe unazo dada Evelyn Salt
Kuna pesa za uchaguzi, jisogeze...Alhamdullilah za mahitaji madogo madogo nnazo ila nyingi za kufanya vitu vikubwa sina, bado nazitafuta
Aaah sizitaki mie 😁 vitu vya masimango mara mtendaji aamue uwepo mara akiamua haupo sitakiiiiKuna pesa za uchaguzi, jisogeze...
Unapewa fungu la kwenda kusambaza ili washupaze sauti mitano teno...Aaah sizitaki mie 😁 vitu vya masimango mara mtendaji aamue uwepo mara akiamua haupo sitakiiii
Kikubwa awe na mashamba makubwa ya mahindi 😜Njoo tuuze sembe 😎 kiongozi uhakika tutaishi floor ya mwisho Burj khalifa 💔
💯💯📌Kikubwa awe na mashamba makubwa ya mahindi 😜
Hiyo nipewe nagawa kidogo zilizobaki natafuta kwanza hotel nje ya mji nkapoze moyoUnapewa fungu la kwenda kusambaza ili washupaze sauti mitano teno...
Ila nyingi unabaki mazo mwenyewe...
Nilikuwa nadharau biashara ya stationery kumbe Inatoa pesa nyingiNmeanza kwa kutatua changamoto, nlienda huo mtaa una shule tatu ila hamna stationery nlihitaji copy hakuna yani stationery ipo mbali mno kwahiyo nikaweka stationery hapo.....cha kwanza hicho.
Pia hakukuwa na biashara za miamala kabisa huduma ipo mbali nikaweka pia, Naendelea na kutatua changamoto zingine pia ambazo ndio fursa zenyewe.
Umeelewa sasa nlichoandika pale juu???
Hukoseagi mzeePesa nyingi bila shaka zinapatikana kwenye biashara zote halamu.
Pia serikalini kuna pesa nyingi sana ambazo ni kodi zetu wananchi na viongozi wa serikalini wanazifuja.
Epuka utapeli wa kwamba pesa zinatolewa kwa muujiza fulani, kwamba kuna jini linaweza kukupatia pesa huo ni utapeli.
Pesa ni kitu halisi, siyo kitu cha kiimani.
Kwahiyo pesa zote zinatoka BOT na siyo kwamba kuna mzimu fulani unaweza kuzalisha na kukupatia pesa.
Ya tatu umetuingiza chaka mwamba. Umenikumbusha kitu.Kunamtu aliambiwa a-define chemistry, akasema, chemistry is chemistry...!! Ndo nikonacho kwenye namba tatu.Pesa ni product ya hivi vitu vitatu.
1.Muda
2.Watu
3. Pesa yenyewe.
Utapataje pesa kama hauna mtaji? Hata mkulima wa mahindi anahitaji mahindi(mbegu) ili apande halafu baadaye avune.Ya tatu umetuingiza chaka mwamba. Umenikumbusha kitu.Kunamtu aliambiwa a-define chemistry, akasema, chemistry is chemistry...!! Ndo nikonacho kwenye namba tatu.