stakehigh
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 19,480
- 15,333
kila mtu ana bahati yake hakuna namna utafuata kama mtaala ukapata pesaHao wenye bahati watuambie wamezipata wapi
kila mtu ana bahati yake hakuna namna utafuata kama mtaala ukapata pesaHao wenye bahati watuambie wamezipata wapi
Kuna mmoja hapo juu kasema alipata bahati ya kuwaona watu wakificha dhahabu akaenda kupima akapata 32mil za madafukila mtu ana bahati yake hakuna namna utafuata kama mtaala ukapata pesa
ndo utajiri uko ivoKuna mmoja hapo juu kasema alipata bahati ya kuwaona watu wakificha dhahabu akaenda kupima akapata 32mil za madafu
At least katuambia pesa amezipata wapi japo ni kwa bahati
Nakazia hapo, huko ninawafahamu wataalamu kadhaa akiwemo Mwakipande na Mseketwa wamesifika sana pande hizo😁Aaaaah sa pesa za hivyo si aende huko kwa wazee wa kikinga mbona hata hapa jf atatugawia
Sa jamaa anazunguuuukaaa anatuchosha bure na pesa nyingi pesa nyingi.Nakazia hapo, huko ninawafahamu wataalamu kadhaa akiwemo Mwakipande na Mseketwa wamesifika sana pande hizo😁
Akilini mwako....Naomba nijibiwe hili swali kwa weledi bila kejeli wala mzaha
Hakuna mtu hapendi pesa wadau na kila siku watu hujituma kutafuta pesa sasa pesa huwa inapatikana wapi?
Naomba nieleweke nikisema pesa simaanishi vipesa vya kula namaanisha pesa nyingi
Karibuni
NgonoBiashara halamu ni kama zipi mkuu
Hizo milioni 20 hadi 50 sio pesa ya kuongea kwa watu..... Wengi wameshika hizo hela wakiwa vijana wadogo around 20s na ninawafahamu sana.Wengi wana pesa za madafu milion 20 au 50 za bongo kushuka chini
😀😀😀😀 akikupa huo mtego naomba unitagHebu tupe mitego mkuu mbona yakwetu hainasi
Kumpa hizo code mpaka nionane nae live, kuna vijana wengi wanatamaa ya mafanikio lakini hawajajitoa kufikia level hizo wanaishia kusumbua tu watu..Sa jamaa anazunguuuukaaa anatuchosha bure na pesa nyingi pesa nyingi.
hapa tupo watu wa levo tofauti tofauti kiasi kwamba kuna mtu tsh elf kumi ndo pesa nyingi, kuna mtu laki ndo nyingi, kuna mtu milion ndo nyingi kumbe ye anataka ile mihela ya kumwaga. Mpe koneksheni ya wataalamu 😁 apate mihela mingi
Matajiri wa jf hao utawaweza.Mmmh bro kwaheri bana acha nikalime maharage mie, mi kwangu milioni ni rundo.....hilo rundo lako silielewi kwaheri
Pesa huita pesaPalipowekwa PESA nyingi ndipo hupatikana PESA nyingi, acha ndoto za alinacha za kuweka sh 200 unataka uvune elfu 10
Nchi maskini, wanunuaji maskini, wauzaji maskiniMkuu hivi wauza papuchi wanapata pesa kweli? Mbona huku mtaani wana hali mbaya sana hadi wanakosa soko