Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,090
- 165,243
Kwakweli hataki kusikia vijisent vya kununua ist anataka mahela 🙌🙌Matajiri wa jf hao utawaweza.
Kwakweli hataki kusikia vijisent vya kununua ist anataka mahela 🙌🙌Matajiri wa jf hao utawaweza.
Tuonane basi namie, mi jasiri niliekubuhu 😁Kumpa hizo code mpaka nionane nae live, kuna vijana wengi wanatamaa ya mafanikio lakini hawajajitoa kufikia level hizo wanaishia kusumbua tu watu..
Kuna watu wamewahi pelekwa hadi majini kwenye kina kirefu kupima ujasiri walio nao lakini waliishia kufeli sehemu ndogo kama hizo kwa kukosa ujasiri..... Na pesa nyingi zinakaa kwa watu majasiri sana!
Mkuu usichukulie poa kuna mambo yanahitaji ujasiri sana ule wa kumuua simba ukiona anakuja livelive, hapa wengi huwa wanatoka mbiooo😂😂😂😂Tuonane basi namie, mi jasiri niliekubuhu 😁
Naua mkuu niamini 😂Mkuu usichukulie poa kuna mambo yanahitaji ujasiri sana ule wa kumuua simba ukiona anakuja livelive, hapa wengi huwa wanatoka mbiooo😂😂😂😂
Definitely yesBook: The school of money by Olamide Emmanuel
"Money hides in people"
"Money hides in problem"
"Money hides hides in gifts and talents"
"Money hides in opportunities"
"Money hides in products and services"
"Money hides in ideas"
"Money hides in vision"
"Money hides in work"
"Money hides in seed"
😂 😂 😂 😂Naua mkuu niamini 😂
Kazanazo jibu sahihi hili hapasolve people problems....people have money
😃😃😃Njoo tuuze sembe 😎 kiongozi uhakika tutaishi floor ya mwisho Burj khalifa 💔
Wanasema kila biashara uionayo imetoa matajiri kwa hapa Tanzania huu msemo haufanyi kazi?Nchi maskini, wanunuaji maskini, wauzaji maskini
Nchi tajiri, wanunuaji matajiri, wauzaji matajiri.
Inategemea wanauzia wapi na wanamuuzia nani. Kwa vile ni mtaani basi malipo ni ya mtaani.
Wee usije ukawa waficha sembe ndani ya mbususu 🤣🤣🤣🤣Njoo tuuze sembe 😎 kiongozi uhakika tutaishi floor ya mwisho Burj khalifa 💔
Oya leta mil6 hiyo nikupe kiwanjaKwakweli hataki kusikia vijisent vya kununua ist anataka mahela 🙌🙌
Nshakuambia tufanye barter trade, tuexchange na mbususu.....si unazipendaga mbususuOya leta mil6 hiyo nikupe kiwanja
Mkuu sasa vijisenti unavyo mbona wajifanya mwenyekiti wa mapagala au unatuchora?Ist inauzwa 5-15mil hizo ni pesa chache sana ambazo kwa mtu wa kawaida akitoka na manzi out anapiga zote na hazitoshi
Sawa....njoo tufanye barter traderNshakuambia tufanye barter trade, tuexchange na mbususu.....si unazipendaga mbususu
Kiwanja kipo wapi kina ukubwa gani
Vikindu huko si ni mashamba?? Huko mbususu hapana labda mabusu tuSawa....njoo tufanye barter trader
Sqm 800 kipo vikindu