jje's
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 10,886
- 16,585
kuna vitu zingine inabidi nicheke tu sina namna.Halafu wanaozungusha hawa hata sio watamu
hiv mkuu ulishakutana nao au imagination tu?
kuna vitu zingine inabidi nicheke tu sina namna.Halafu wanaozungusha hawa hata sio watamu
Hata wiki haijaisha ndo nimeingiza kwa mmoja wa dizaini hiyo,kanisumbua tangu mwaka jana may.kuna vitu zingine inabidi nicheke tu sina namna.
hiv mkuu ulishakutana nao au imagination tu?
Yaan hata sitakaa niwaamin kbsa. Na wewe ulikuwa unamfatilia mwaka mzima ilikuwa ni application ya kazi? Hata km ni kaz mie ningeachana nayo. Pole zako. Namwonea huruma bi dada. Uzr wangu mie siko huko akhuuuu nshampata wangu wa kumoyoHata wiki haijaisha ndo nimeingiza kwa mmoja wa dizaini hiyo,kanisumbua tangu mwaka jana may.
Kuingiza hivi aaaaaaargh hamna lolote,hana utamu,baridi,analia machozi mpuuzi sitaki tena.
Nimemfuatilia sn,hadi nilikata tamaa but mpaka nikamvua kw mbinde.Yaan hata sitakaa niwaamin kbsa. Na wewe ulikuwa unamfatilia mwaka mzima ilikuwa ni application ya kazi? Hata km ni kaz mie ningeachana nayo. Pole zako. Namwonea huruma bi dada. Uzr wangu mie siko huko akhuuuu nshampata wangu wa kumoyo
Kwenye avanter au? [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Nimemfuatilia sn,hadi nilikata tamaa but mpaka nikamvua kw mbinde.
jje's halafu unaonekana beautiful ww.
Hapana in real sense kabisaKwenye avanter au? [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Sijui nikupende?au utanisumbua kama hawa wanaosumbua?Kwenye avanter au? [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Thanks though. How do u measure Mkuu nam nianze kufuatilia.Hapana in real sense kabisa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] acha uwongo ww..mbona wa kawaidah..hapa tunazungumzia watoto wakali kwel
Asante for ur concern ninae wangu.Sijui nikupende?au utanisumbua kama hawa wanaosumbua?
Unaonesha tuThanks though. How do u measure Mkuu nam nianze kufuatilia.
Asante uko krb na kweliUnaonesha tu
Lazima mzuri tu,me najua nafsi inaniongozaAsante uko krb na kweli
Hakuna kipimio cha kujua anamapenzi ya kweli kama anakuigizi tu?Wakuu,
Nina swali ambalo linanisumbua sana, najiuliza ni kwanini wale wasichana wa (wa ukweli} wenye mapenzi ya dhati wanaringa sana?
Kwa mfano unapomtokea lazima akuzungushezungushe ukimtumia ujumbe anamaliza dakika kumi ndo anajibu, ukichati nae usiku anaacha anadai alipitiwa na usingizi, tofauti na wasichana vingurukizi (voda fasta) hawa unatongoza siku hyohyo na kupata jibu.
Lakini wale wenye mapenzi ya uaminifu anaweza hata kumaliza mwezi ajakupa jibu ni mizunguko tu.
Sasa najiuliza je, dalili mojawapo ya mwanamke mwaminifu ni
KUKUZUNGUSHA kwa mda mrefu?
Na je, anapokua anakuzungusha anakua anatafuta nini?
[HASHTAG]#nawasilisha[/HASHTAG]!
Vumilia tu.Miss blossom unatuumiza wengine tunashindwa kujizuia tukiona hayo maembe pori.