KARANJA 007
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 5,990
- 2,521
Utasababisha tupate mfazaiko mamii,yaani natamani ningeyanyonya aah tamuuu.Vumilia tu.
Utasababisha tupate mfazaiko mamii,yaani natamani ningeyanyonya aah tamuuu.Vumilia tu.
Si hisabati tu, kama wa kwanza anachukua siku 28 kutoa jibu, basi kila baada ya siku tongoza mwingine, apo tunatafuta probality of event P(e}. Atakama watatoa ndio 1/4 tu, iyo ni sawa na 28/4=7, 28 wameji-shotlist adi wakabakia 7, sasa kama mwanaumr unahaki ya ku-shotlist ili wapungue, au uliamushe dude na timu yako mpya. 🤣Wakuu,
Nina swali ambalo linanisumbua sana, najiuliza ni kwanini wale wasichana wa (wa ukweli} wenye mapenzi ya dhati wanaringa sana?
Kwa mfano unapomtokea lazima akuzungushezungushe ukimtumia ujumbe anamaliza dakika kumi ndo anajibu, ukichati nae usiku anaacha anadai alipitiwa na usingizi, tofauti na wasichana vingurukizi (voda fasta) hawa unatongoza siku hyohyo na kupata jibu.
Lakini wale wenye mapenzi ya uaminifu anaweza hata kumaliza mwezi ajakupa jibu ni mizunguko tu.
Sasa najiuliza je, dalili mojawapo ya mwanamke mwaminifu ni
KUKUZUNGUSHA kwa mda mrefu?
Na je, anapokua anakuzungusha anakua anatafuta nini?
[HASHTAG]#nawasilisha[/HASHTAG]!
NaamUkiona anaringa jua bado hajavutika kwako
The best fish swims near the bottom, it's difficult to getWakuu,
Nina swali ambalo linanisumbua sana, najiuliza ni kwanini wale wasichana wa (wa ukweli} wenye mapenzi ya dhati wanaringa sana?
Kwa mfano unapomtokea lazima akuzungushezungushe ukimtumia ujumbe anamaliza dakika kumi ndo anajibu, ukichati nae usiku anaacha anadai alipitiwa na usingizi, tofauti na wasichana vingurukizi (voda fasta) hawa unatongoza siku hyohyo na kupata jibu.
Lakini wale wenye mapenzi ya uaminifu anaweza hata kumaliza mwezi ajakupa jibu ni mizunguko tu.
Sasa najiuliza je, dalili mojawapo ya mwanamke mwaminifu ni
KUKUZUNGUSHA kwa mda mrefu?
Na je, anapokua anakuzungusha anakua anatafuta nini?
[HASHTAG]#nawasilisha[/HASHTAG]!