Hivi ni kwanini wasichana makini wanaringa?

Hivi ni kwanini wasichana makini wanaringa?

Kama sio kilaza najua ilikuchukua wiki kusoma a..e..I..o..u... Sasa na degree unataka uchukue wiki kumaliza mkuu?
 
Wakuu,

Nina swali ambalo linanisumbua sana, najiuliza ni kwanini wale wasichana wa (wa ukweli} wenye mapenzi ya dhati wanaringa sana?

Kwa mfano unapomtokea lazima akuzungushezungushe ukimtumia ujumbe anamaliza dakika kumi ndo anajibu, ukichati nae usiku anaacha anadai alipitiwa na usingizi, tofauti na wasichana vingurukizi (voda fasta) hawa unatongoza siku hyohyo na kupata jibu.

Lakini wale wenye mapenzi ya uaminifu anaweza hata kumaliza mwezi ajakupa jibu ni mizunguko tu.

Sasa najiuliza je, dalili mojawapo ya mwanamke mwaminifu ni

KUKUZUNGUSHA kwa mda mrefu?

Na je, anapokua anakuzungusha anakua anatafuta nini?

[HASHTAG]#nawasilisha[/HASHTAG]!
Mkuu usimsemee mwanamke/ msichana kuhusu uaminifu. Utajutia maneno yako. Aliye mwaminifu anajijua yeye mwenyewe. Uaminifu ni ziro siku hizi. Utaumiaaaaaa.
 
Wakuu,

Nina swali ambalo linanisumbua sana, najiuliza ni kwanini wale wasichana wa (wa ukweli} wenye mapenzi ya dhati wanaringa sana?

Kwa mfano unapomtokea lazima akuzungushezungushe ukimtumia ujumbe anamaliza dakika kumi ndo anajibu, ukichati nae usiku anaacha anadai alipitiwa na usingizi, tofauti na wasichana vingurukizi (voda fasta) hawa unatongoza siku hyohyo na kupata jibu.

Lakini wale wenye mapenzi ya uaminifu anaweza hata kumaliza mwezi ajakupa jibu ni mizunguko tu.

Sasa najiuliza je, dalili mojawapo ya mwanamke mwaminifu ni

KUKUZUNGUSHA kwa mda mrefu?

Na je, anapokua anakuzungusha anakua anatafuta nini?

[HASHTAG]#nawasilisha[/HASHTAG]!
anakuzungusha kwasababu yuko makini alafu wewe utakua unaleta wasiwasi
 
Wakuu,

Nina swali ambalo linanisumbua sana, najiuliza ni kwanini wale wasichana wa (wa ukweli} wenye mapenzi ya dhati wanaringa sana?

Kwa mfano unapomtokea lazima akuzungushezungushe ukimtumia ujumbe anamaliza dakika kumi ndo anajibu, ukichati nae usiku anaacha anadai alipitiwa na usingizi, tofauti na wasichana vingurukizi (voda fasta) hawa unatongoza siku hyohyo na kupata jibu.

Lakini wale wenye mapenzi ya uaminifu anaweza hata kumaliza mwezi ajakupa jibu ni mizunguko tu.

Sasa najiuliza je, dalili mojawapo ya mwanamke mwaminifu ni

KUKUZUNGUSHA kwa mda mrefu?

Na je, anapokua anakuzungusha anakua anatafuta nini?

[HASHTAG]#nawasilisha[/HASHTAG]!
kizazi hiki hakina msichana wa kuringa,ukiona unaringiwa ujue unatafakariwa kupewa mzigo
 
Kwanini asikuringie kaka ilhali wakati anakuscan mwili alikumbana na sarafu kibao,noti chakavu za jero jero,ka buku 2 na kamsimbazi kamoja ka kulinda heshima!Next time usisubiri akuringie AKIONYESHA DALILI TU kwamba ataringa MPOTEZEE.
 
Ukitongoza lazma usumbuliwe,hizo zlkuwa njia za zaman sna,kuanzia miaka ya 2000s watu hawatongoz labda kama wataka zungushwa zungushwa.
 
Wakuu,

Nina swali ambalo linanisumbua sana, najiuliza ni kwanini wale wasichana wa (wa ukweli} wenye mapenzi ya dhati wanaringa sana?

Kwa mfano unapomtokea lazima akuzungushezungushe ukimtumia ujumbe anamaliza dakika kumi ndo anajibu, ukichati nae usiku anaacha anadai alipitiwa na usingizi, tofauti na wasichana vingurukizi (voda fasta) hawa unatongoza siku hyohyo na kupata jibu.

Lakini wale wenye mapenzi ya uaminifu anaweza hata kumaliza mwezi ajakupa jibu ni mizunguko tu.

Sasa najiuliza je, dalili mojawapo ya mwanamke mwaminifu ni

KUKUZUNGUSHA kwa mda mrefu?

Na je, anapokua anakuzungusha anakua anatafuta nini?

[HASHTAG]#nawasilisha[/HASHTAG]!
Pengine hakuna kitu kina mu interest toka kwako.....we kuwa generous peleka zawadi nzuri nzuri...mualike outing sehemu za ukweli...mfuate kwake na gari ya ukweli sio baby walker...mpigie simu badala ya kutuma msg za whatsapp za kuchatchat...lakini most importantly don't fake fanya hayo kama una uwezo...akiendelea kuku ignore kama hivyo..njoo uniambie hapa nikupe njia nyingine...
 
Ukiona hivyo ujue atakuwa anachunguza kama una mshiko wa kueleweka au la andaa fwenza ya kutosha km hujala mzigo nenda kaogee maji ya bahari.
 
wengi
Wakuu,

Nina swali ambalo linanisumbua sana, najiuliza ni kwanini wale wasichana wa (wa ukweli} wenye mapenzi ya dhati wanaringa sana?

Kwa mfano unapomtokea lazima akuzungushezungushe ukimtumia ujumbe anamaliza dakika kumi ndo anajibu, ukichati nae usiku anaacha anadai alipitiwa na usingizi, tofauti na wasichana vingurukizi (voda fasta) hawa unatongoza siku hyohyo na kupata jibu.

Lakini wale wenye mapenzi ya uaminifu anaweza hata kumaliza mwezi ajakupa jibu ni mizunguko tu.

Sasa najiuliza je, dalili mojawapo ya mwanamke mwaminifu ni

KUKUZUNGUSHA kwa mda mrefu?

Na je, anapokua anakuzungusha anakua anatafuta nini?

[HASHTAG]#nawasilisha[/HASHTAG]!
ne hadi wakuchambue na wenzake kwanza kama unafaa akuangalie kwanza tabia kwa mdaa na ni kisiri siri.
au wengine hutafuta njia mbadala ya kuku dabo disha ili akiwa na wewe ajue atakupanga vipi. ila wengine huwa wana subiri ibane kwanza ili akija kwako umuone mpya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom