griffin2
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 694
- 837
Mm demu nikimtongoza leo hii hii lazima nimpate
Vicheche wenzio hao mwayego.
Mm demu nikimtongoza leo hii hii lazima nimpate
Wakuu,
Nina swali ambalo linanisumbua sana, najiuliza ni kwanini wale wasichana wa (wa ukweli} wenye mapenzi ya dhati wanaringa sana?
Kwa mfano unapomtokea lazima akuzungushezungushe ukimtumia ujumbe anamaliza dakika kumi ndo anajibu, ukichati nae usiku anaacha anadai alipitiwa na usingizi, tofauti na wasichana vingurukizi (voda fasta) hawa unatongoza siku hyohyo na kupata jibu.
Lakini wale wenye mapenzi ya uaminifu anaweza hata kumaliza mwezi ajakupa jibu ni mizunguko tu.
Sasa najiuliza je, dalili mojawapo ya mwanamke mwaminifu ni
KUKUZUNGUSHA kwa mda mrefu?
Na je, anapokua anakuzungusha anakua anatafuta nini?
[HASHTAG]#nawasilisha[/HASHTAG]!
Kama wewe unavyoniringia mimi,lakini Nyani Ngabu umemzimikia nae anaringa kama wewe,ngoja na mimi nianze kukurigia,na ukinitumia sms najibu baada ya wiki.Ukiona anaringa jua bado hajavutika kwako
Umenena bestUkiona anaringa jua bado hajavutika kwako
Miss blossom unatuumiza wengine tunashindwa kujizuia tukiona hayo maembe pori.Labda hujui kutosha maneno
Mwanamke mwenye mapenzi ya dhati na anayejielewa ana haki ya kujiamini. Kwa ubora na upekee, Anastahili kuringa. Kwa sababu ana hadhi nzuri na ana sifa nzuri ambazo mwanaume mwenye akili na mipango atajitahidi kumpata kwa sababu ameona its a nectar in a lotus.
Its us, gentlemen tujitume kuwa wasikivu na kuonyesha upendo wa kweli na nia. Atakuelewa tu akiona una nia na malengo mazuri.
Very trueukizungushwa ujue anacompare btn you na wa background
Ha haa hebu anza nioneKama wewe unavyoniringia mimi,lakini Nyani Ngabu umemzimikia nae anaringa kama wewe,ngoja na mimi nianze kukurigia,na ukinitumia sms najibu baada ya wiki.
Unajua siwezi ndio maana unaniambia"hebu anza nione"basi mimi sisemi kitu ila ujue naenda Bagamoyo kesho.Ha haa hebu anza nione
Haya takusindikiza basiUnajua siwezi ndio maana unaniambia"hebu anza nione"basi mimi sisemi kitu ila ujue naenda Bagamoyo kesho.