Kama hujui/huna majibu si ukaushe tu kuliko kujidharirisha hivi.Mkuu wa majeshi, mkuu wa mkoa, mkuu wa kaya mkuundugu, mkuu wa wilaya, mkuu wa genge nk. Wewe mdo utaona uko wapi
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiniite Mkuu, maana sijui ni Mkuu wa nini.Kuna thread humu tafuta utapata maana mkuu
Kwani kila mtu ni mkuu wa kaya???Mkuu wa kaya
Jf Kila mtu Ni mkuu isipokuwa wewe tuuKwani kila mtu ni mkuu wa kaya???
Heshima💪hata mimi sijui mkuu
Wakuu wa nini?Jf Kila mtu Ni mkuu isipokuwa wewe tuu
Hahah, na wale wengine ni Wakuu wa kuchakatwa papuchi🤔
Usijidharirishe bna, sio jambo jema.Hatar mkuu fayaaa Subir uletewe ukimwi tena nikimuambia Leo nina genye fanya utaratibu faster anakuja kukupanda Ushauri wangu beba kilainishi usiumie
Sent by IPhone