MANGAMANGA21
JF-Expert Member
- Oct 17, 2014
- 224
- 223
Pamoja Wakuu
Nakushukuru sana mkuu kwa tafsiri hiyo nzuri, kimsingi sio kama sipendi kuitwa mkuu au silipendi neno, ila nilitaka kujua the motive behind, sasa kumbe neno Great ndio linasababisha kila member kua mkuu, nimeelewa! Halijanipwaya mkuu, endelea kuniita MkuuAhahahhah..... Mleta mada pole sana. Hapa jf ni home of great thinkers kwa hiyo hata ukitafsiri kwa kiswahili ni nyumbani au makazi ya wafikiriaji wakubwa au wakuu wa fikra.
Kama wewe unaona jina mkuu au cheo cha ukuu hakikufai ni vizuri ukaomba kuondolewa kundini au jumba la wafikiriaji wakuu.
Pia fanya uchunguzi utajua kweli hapa wakuu wanaleta hoja na mawazo makuu au makubwa na mazito... Endelea kufuragia cheo cha ukuu japo daliki zinaonyesha kinakupwelepweta au kwa kiswahili kingine ukuu unakupwaya.
Sawa mkuu ndugu yangu!mkuu kama heshima
mkuu kama kifupi cha tusi yaan 0713
kwa hyo inategemea tu unamwambia nani mkuu na content ya post ake
Habari Wakuu za mchana...
Hivi kwanini jf tunahitana Wakuu..
Asili ya neno mkuu jf ilianzia wapi?
Maelezo yamejitoshelezaHili Neno Lilianza Miaka 2011 Hapo Ndo Jamiiforums Najiunga Ilikuwa Hivi Kipindi Hicho Member Wengi Wa Jf Walikuwa Wazee/watu Wazima Sasa Ukazuka Mtindo Wakuitana `dogo` Na Kuoneshana Dharau Basi Hicho Kitendo Kikawakela Ikabidi Walizungumzie Hilo Swala Kwa Kuanzisha Uzi Kuwe Kuna Lugha Za Staha Kwakuwa Kuna Watu Wazima Humu Wengine Wazazi Wenu Basi Kwenye Uzi Huo Ndo Yakaibuka Maneno Hapo Hapo Watu Wakajibu `ndiyo Mkuu` Pamoja Mkuu `tumekusikia Mkuu` Na Maneno Mengine yakaibuka pia Kama `PAPUCHI` MBUNYE ` DUSHELELE `KITUMBUA` MTALIMBO nk unajua kwanini maneno haya yaliibuka ni kwasababu ya BAN na sheria za jf zilikuwa zinakataza kutoa lugha chafu,kutaja viungo vya mwili nk
Pamoja MkuuMaelezo yamejitosheleza
Sawa MkuuNi kuonyesha heshima kwa muhusika/wahusika katika majadiliano mbali mbali yanayoendelea humu.