Hivi ni Kukosa akili au ndo Utandawazi?

UMUGHAKA

JF-Expert Member
Sep 1, 2021
2,157
10,718
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!

Hivi sasa kumeibuka wimbi la Vijana na wanaume kuvaa Chupi ambazo wao wanaziita "VINJUNGA"

Hivi Vinjunga inapaswa uelewe mara zote zinakuwa hazizidiani sana na Boxer,yaani wewe fikiria mtu anavaa Kinjunga na anatembea bila wasiwasi mjini kote huko!

Ni kwamba huu uvaaji wa kipumbavu ni Usasa au ndiyo Utandawazi wa kisasa?,Hivi mwanaume au Kijana mwenye akili timamu unawezaje kuvaa Boxer na ukakatiza mitaani?,Kwanini kama unataka nguo fupi usinunue Bukta ukavaa?

Au uenda kuna biashara nyingine zinaendelea huko Mijini mimi niliyeko huku Tarime sielewi?

Unakuta mtu mzima kabisa mwenye familia yake na yeye anakatizq mitaani amevaa Kinjunga bila hata aibu!

Asieee hii mbona ni hatari!Mmetoka kwenye mitepesho hivi sasa mmeamia kwenye Vinjunga!

Kuna mmoja juzi moja nimemuona amekivaa kinjunga hadi nikaona aibu,Kwanza alikuwa kijana mwenye wowowo kama demu na alikuwa na mapaja makubwa kama mwanamke na amefuga Mandevu kama Rick Ross!,Yeye anatembea hana habari kabisa hadi kina mama watu wazima wanamwangalia namna alivyo fungasha wowowo!

Hii ni hatari sana!
 
Anyway hayanihusu lakini
20231124_151359.jpg
 
ETI UNA VAA KINGUO KIFUPI, HALAFU UNAKATIZA MBELE YA WANAUME BILA AIBU.!!
BANDIKENI NA BEI ZENU ELEKEZI TUWE TUNAJUA MZIGO UNATOA KWA BEI GANI.

KIJANA UMENONA TAKO KAMA HUYU, ALAFU UNALETA ZA KULETA.
SISI WENYE MADUNGU TUPO TUTAWAINAMISHA KAMA DADA ZENU.
 

Attachments

  • Capture.PNG
    Capture.PNG
    54.8 KB · Views: 3
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!

Hivi sasa kumeibuka wimbi la Vijana na wanaume kuvaa Chupi ambazo wao wanaziita "VINJUNGA"

Hivi Vinjunga inapaswa uelewe mara zote zinakuwa hazizidiani sana na Boxer,yaani wewe fikiria mtu anavaa Kinjunga na anatembea bila wasiwasi mjini kote huko!

Ni kwamba huu uvaaji wa kipumbavu ni Usasa au ndiyo Utandawazi wa kisasa?,Hivi mwanaume au Kijana mwenye akili timamu unawezaje kuvaa Boxer na ukakatiza mitaani?,Kwanini kama unataka nguo fupi usinunue Bukta ukavaa?

Au uenda kuna biashara nyingine zinaendelea huko Mijini mimi niliyeko huku Tarime sielewi?

Unakuta mtu mzima kabisa mwenye familia yake na yeye anakatizq mitaani amevaa Kinjunga bila hata aibu!

Asieee hii mbona ni hatari!Mmetoka kwenye mitepesho hivi sasa mmeamia kwenye Vinjunga!

Kuna mmoja juzi moja nimemuona amekivaa kinjunga hadi nikaona aibu,Kwanza alikuwa kijana mwenye wowowo kama demu na alikuwa na mapaja makubwa kama mwanamke na amefuga Mandevu kama Rick Ross!,Yeye anatembea hana habari kabisa hadi kina mama watu wazima wanamwangalia namna alivyo fungasha wowowo!

Hii ni hatari sana!
Vijana wengi wa Dar Diara katoka golini.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom