ophthalmic doctor
Senior Member
- Feb 12, 2017
- 191
- 249
Utoto wa kishamba ,wanaboa kweli,wanataharibia uhalisia wa fasihi Andishi yetu
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji51] [emoji51] [emoji123]Mkuu umesahau xaxa, shemela, bae, xafi, nk. Yani nikikuta dume zima na ndevu zake linaandika upuuzi huu, natamani hata nilimwagie maji ya moto
N x kidgo mkuu matumix ya x badala y sMatumizi ya x badala ya s hata baadhi ya wanaume wanapenda kutumia huwa wananiudhi
Kuna wengine wanaandika "hu" Badala ya "u" Mfano, "humeenda" Badala ya "umeenda"Humu Jf kuna watu wanatumia neno 'mbaka' badala ya 'mpaka' wananiudhi sana.
Aisee uandishi sasa ni tatizo la kitaifa kama somo la Hisabati. Hili la "U" na "Hu" ni tatizo kubwa sana achilia mbali lile la R na L. Mbaya zaidi yanafanywa na watu ambao ni wasomi ambao ungetegemea wawe wanamatumizi sahihi ya lugha.Kuna wengine wanaandika "hu" Badala ya "u" Mfano, "humeenda" Badala ya "umeenda"
Hahaaa. Unahisi ni katoto.Hahahaha mm mwanaume akiniandikia hivyo sijibu kabisaaa msj yake.
Uliza na wewe mkuu. Sababu hata havihusiani kabisa.Hicho Ndio kipimo cha mke kumbe
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Yani hapo kuambiwa vimaneno hivyo umekuja na uzi hivi siku ukachapiwa si utaenda mahakama ya kimataifa