BabaC
Member
- May 21, 2013
- 94
- 60
Brother tokea asubuhi nilikua sijacheka ila kusema ukweli nimecheka kwa nguvu hapa kila mtu akashangaa eti unasema upo serious kama ratiba za ndege hatupendi mzaha mzaha hahahaha sasa brother mbona kuna ndege zingine zimejaa mizaha mizaha hazina hata ratiba za kueleweka zimejaa cancellation kibao bora hata ungetaja shirika la ndege ambalo halina mizahaHakuna kitu nisichopenda kuchati na mwanamke akaanza vile viji maneno jomoni,bax,tantee!etc
Hivi kweli unadhani mwanaume anayejitambua anaweza kuoa aina hii ya kiama!
Mjirekebishe wengine sisi tupo serious kama ratiba za ndege hatupendi mzaha mzaha