Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,107
Hakuna kitu nisichopenda kuchati na mwanamke akaanza vile viji maneno jomoni,bax,tantee!etc
Hivi kweli unadhani mwanaume anayejitambua anaweza kuoa aina hii ya kiama!
Mjirekebishe wengine sisi tupo serious kama ratiba za ndege hatupendi mzaha mzaha
Hivi kweli unadhani mwanaume anayejitambua anaweza kuoa aina hii ya kiama!
Mjirekebishe wengine sisi tupo serious kama ratiba za ndege hatupendi mzaha mzaha