Hivi ndivyo wanawake wanavyojiharibia bahati ya kuolewa

Hivi ndivyo wanawake wanavyojiharibia bahati ya kuolewa

Usifosi kila mtu awe hivi wengine watakuwa vile so jaribu kuwa relaxed kutokana na mazingira, halafu kama kweli wewe ni mwanaume ambaye upo serious hukuwa na sababu yeyote ya kuanza kulalama huku mtandaoni kuhusi topiki za wanawake, f....u...c...k... o.... f....f.... na wewe kwa upande mwingine jielewe kila mtu na maisha yake sio kila kitu kuwafuatilia wanawake.... !!

 
Hakuna kitu nisichopenda kuchati na mwanamke akaanza vile viji maneno jomoni,bax,tantee!etc

Hivi kweli unadhani mwanaume anayejitambua anaweza kuoa aina hii ya kiama!

Mjirekebishe wengine sisi tupo serious kama ratiba za ndege hatupendi mzaha mzaha


Acha kujidanganya, usifikiri Wanawake na wao wana shida ya kuolewa zaidi ya wewe ulivyo na shida ya kuoa!
 
Umefanya vizuri mkuu!mm huwa nakasirika hadi natamani nimpige makofi kama yupo karibu, ni maneno ya kijinga tena wengi wao ni kutoka vyuo vikuu!ss sijui ndio wanasomea hayo maneno huko!
sasa na wewe mbona huna tofauti na wao
mm badala ya mimi
ss badala ya sasa. walewale!
 
Hakuna kitu nisichopenda kuchati na mwanamke akaanza vile viji maneno jomoni,bax,tantee!etc

Hivi kweli unadhani mwanaume anayejitambua anaweza kuoa aina hii ya kiama!

Mjirekebishe wengine sisi tupo serious kama ratiba za ndege hatupendi mzaha mzaha
Nimecheka sana mpaka watoto wamenishangaa kwanini ninacheka sana leo, Imebidi niwadanganye nimefurahi wamefanya vizuri Term hii
 
Hakuna kitu nisichopenda kuchati na mwanamke akaanza vile viji maneno jomoni,bax,tantee!etc

Hivi kweli unadhani mwanaume anayejitambua anaweza kuoa aina hii ya kiama!

Mjirekebishe wengine sisi tupo serious kama ratiba za ndege hatupendi mzaha mzaha
Hata mimi sipendi ila kwa Mwanaume Muoaji huwezi kuacha kumuoa mwanamke kisa anaandika hivyo.

Ukifanya hivyo hata wewe tutakuita Mvulana tu

Kwani unaoa maneno au Mke?

Kwani kumfanya aache kuandika hivyo inagharimu nini zaidi ya kumuambia tu hupendi?

Hiyo si sababu nzito ya kutokumuoa mwanamke.


Wabillah Tawfiq,
 
Nilitaka kureply kwa mtu eti tantee nikawaza nikaona ni upuuzii na ujinga nikasema mie tena si wa kuandika upupu huu maana kama sikuweza zamani why now na utu uzima huu. Ni ujinga na kuiga iga kila kitu ndo watanzania wengi tunavimudu
 
Back
Top Bottom