Papaa Gx
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 11,533
- 18,730
Yaani huna ata aibu, hujui mm ni nan yakoAchana na Huyo asikusumbue akili
Yaani huna ata aibu, hujui mm ni nan yakoAchana na Huyo asikusumbue akili
Naona sio rijali,.haahaHahaaa. Unahisi ni katoto.
Acha umbea na ww
goodNilitaka kureply kwa mtu eti tantee nikawaza nikaona ni upuuzii na ujinga nikasema mie tena si wa kuandika upupu huu maana kama sikuweza zamani why now na utu uzima huu. Ni ujinga na kuiga iga kila kitu ndo watanzania wengi tunavimudu
Upo Josegood
Mxiuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu.Ndio namfundisha tena huku pm
Bro tunaibiwa kabisa tunaonaMxiuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu.
Nitakubonda
hao sio wanawake ni watoto wa shule like wise kuna mivulana inaandika xaxa kabixa walahi nikute text kama hizi kwa phone yangu uome mungu tu niwe sijamix k vant na don nyati utaipasua simu yakoHakuna kitu nisichopenda kuchati na mwanamke akaanza vile viji maneno jomoni,bax,tantee!etc
Hivi kweli unadhani mwanaume anayejitambua anaweza kuoa aina hii ya kiama!
Mjirekebishe wengine sisi tupo serious kama ratiba za ndege hatupendi mzaha mzaha
Nipo aseeh CajojoUpo Jose
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] busu hilo vipiiiiMxiuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu.
Nitakubonda
Karibu aiseeNipo aseeh Cajojo
Tujitahidi kurekebishana na kukosoana hadi wote tuwe kwenye mstari sahihiKuna wengine wanaandika "hu" Badala ya "u" Mfano, "humeenda" Badala ya "umeenda"
Pamoja sanaKaribu aisee