Kuna Dada alikua ananijibu P na mimi sikuwa naelewa nikawa nahisi msg inakuja kabla hajamalizia.Hahahahaha et p badala ya poa unakuta kaka mkubwa tu et P whaat ...natembezaga block tu
Hiyo ipo kwa me na ke. Ukiona mtu anaandika hivyo ujue akili yake bado ni ya kivulana au kisichana.
na wewe ukome kutumie maneno kama 'baby', au 'mamie'! Ukiyatumia tu na yeye anajua oh kumbe mimi ni 'baby' then anaanza sasa kusema kitoto, na kama ukimwita mamie basi anaanza kukusemesha kitoto maana ww kwake tarari ni mtoto kwakwe, hivyo usilaumu saana, hata nasi pia tunachangia!Hakuna kitu nisichopenda kuchati na mwanamke akaanza vile viji maneno jomoni,bax,tantee!etc
Hivi kweli unadhani mwanaume anayejitambua anaweza kuoa aina hii ya kiama!
Mjirekebishe wengine sisi tupo serious kama ratiba za ndege hatupendi mzaha mzaha
Mi sipendii mwanaumee anayetumia neno Mie badala ya mimi....Na ukitaka nisikujibu message niandikie X badala ya S...na maneno kama vile Oya,Oyi,Mie mtu akishaweka maneno ya namna hiyo hata kama alikuwa na mada nzuri yenye mbolea kiasi gani sijibu.
Xawa mkuu[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Mi sipendii mwanaumee anayetumia neno Mie badala ya mimi....Na ukitaka nisikujibu message niandikie X badala ya S...na maneno kama vile Oya,Oyi,
"Jomoni" akimaanisha "jamani" au?Kuna mdada ambaye ni rafiki yangu wa Karibu sana ameenda chuo mwaka huu akaanza kutumia maneno ya ajabu ajabu kama jomoni nikampiga marufuku kunitamkia maneno hayo
Hakuna kitu nisichopenda kuchati na mwanamke akaanza vile viji maneno jomoni,bax,tantee!etc
Hivi kweli unadhani mwanaume anayejitambua anaweza kuoa aina hii ya kiama!
Mjirekebishe wengine sisi tupo serious kama ratiba za ndege hatupendi mzaha mzaha
Nadhani huanzishwa na watu wanaotumiwa text zenye makosa ya kiuandishi wao wakadhani ni "fasheni".Hua sielewagi hawa watu huwa wanashindwa nini kutumia S mpaka wanatumia X hua sielewi kabisa hawa watu.
[emoji23] povu limekutoka nahis na ww ni mmoja wa wanaojadiliwa hpa..Usifosi kila mtu awe hivi wengine watakuwa vile so jaribu kuwa relaxed kutokana na mazingira, halafu kama kweli wewe ni mwanaume ambaye upo serious hukuwa na sababu yeyote ya kuanza kulalama huku mtandaoni kuhusi topiki za wanawake, f....u...c...k... o.... f....f.... na wewe kwa upande mwingine jielewe kila mtu na maisha yake sio kila kitu kuwafuatilia wanawake.... !!
[emoji16] [emoji51] [emoji119] [emoji119]