Hivi ndivyo wanawake wanavyojiharibia bahati ya kuolewa

Hivi ndivyo wanawake wanavyojiharibia bahati ya kuolewa

Yaani uahirishe kumuoa mtu kisa tu ameandika jomoni, tantee jamani wanaume hamkosi sababu
 
Kuna mdada ambaye ni rafiki yangu wa Karibu sana ameenda chuo mwaka huu akaanza kutumia maneno ya ajabu ajabu kama jomoni nikampiga marufuku kunitamkia maneno hayo
Mimi kuna rafiki yangu miaka kama miwili iliyopita nilimwambia sitaki hizo xx alinitolea maneno ya kejeli sana eti mi mshamba nikamwambia sawa ila ukikua utaacha sasa hivi anaandika vizuri sijui yapi tena yalimkuta
 
Sipendi kabisa mtu aniandikie sijui xaxa, bax, takuja, pendexa, lv u, mamb, na mafinyofinyo mengine..


Nikiona text ina mafinyofinyo kama hayo huwa hata siangaiki kusoma. Utaishia kuniona na dharau kumbe sipendi use*ge
Seriously mtu anakuandikia et mamb...ndo anakusalimia hivyo au dd badala ya dada aisee unatamani umblokie mbali
 
Hata mimi sipendi ila kwa Mwanaume Muoaji huwezi kuacha kumuoa mwanamke kisa anaandika hivyo.

Ukifanya hivyo hata wewe tutakuita Mvulana tu

Kwani unaoa maneno au Mke?

Kwani kumfanya aache kuandika hivyo inagharimu nini zaidi ya kumuambia tu hupendi?

Hiyo si sababu nzito ya kutokumuoa mwanamke.


Wabillah Tawfiq,
Afadhali umwambie wewe mwenzie
 
Babyto,tantee,poua,bax,jomon,k(ok),wangu alafu anayesema mi me na mengine mengi huwa nauona huo ni uchuro
 
Back
Top Bottom