Hivi ndivyo wanawake wanavyojiharibia bahati ya kuolewa

Hivi ndivyo wanawake wanavyojiharibia bahati ya kuolewa

Hakuna kitu nisichopenda kuchati na mwanamke akaanza vile viji maneno jomoni,bax,tantee!etc

Hivi kweli unadhani mwanaume anayejitambua anaweza kuoa aina hii ya kiama!

Mjirekebishe wengine sisi tupo serious kama ratiba za ndege hatupendi mzaha mzaha
Nachukia sana huu ujinga wa aina hii
 
Hakuna kitu nisichopenda kuchati na mwanamke akaanza vile viji maneno jomoni,bax,tantee!etc

Hivi kweli unadhani mwanaume anayejitambua anaweza kuoa aina hii ya kiama!

Mjirekebishe wengine sisi tupo serious kama ratiba za ndege hatupendi mzaha mzaha
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mi hua najidai sijaelewa hasa anapo kuwa na shida yeye
 
brother hiyo mbona ni issue ndogo sana ndugu yangu, na tena inarekebishika kabisa ukimwambia? kuna mambo ambayo serius wanafanya kiasi hupati kuridhia kumweka ndani kama mkeo.
 
brother hiyo mbona ni issue ndogo sana ndugu yangu, na tena inarekebishika kabisa ukimwambia? kuna mambo ambayo serius wanafanya kiasi hupati kuridhia kumweka ndani kama mkeo.
We jamaa agiza balimi atalipa mtoa uzi
 
Kwa wanaopenda kutumia hivyo vifupisho au aina hiyo ya uandishi ni wakati wa kubadilika. Wengi wa wachangiaji wameonekana kukereka na huo uandishi. Labda waliokuwa wanaandika hawakujua kuwa ni kero kwa watu. Sasa ni wakati wa kubadilika.
 
Asilimia kubwa wanabadilika mfano wengine wakifika chuo au labda kabahatika kutoka kijijini kwenda kuishi mjini,utakuta mwanzo hakuwa hivyo ila ile hali ya kujiona wamepiga hatua ndio shida inapoanzia
 
Hakuna kitu nisichopenda kuchati na mwanamke akaanza vile viji maneno jomoni,bax,tantee!etc

Hivi kweli unadhani mwanaume anayejitambua anaweza kuoa aina hii ya kiama!

Mjirekebishe wengine sisi tupo serious kama ratiba za ndege hatupendi mzaha mzaha
Naona uko third year first semester,,,
Unakarbia kuoa,,,
 
Back
Top Bottom