Kweli kabsa, hata ukinusa halufu ya bia utaihisa kutapika,Mhuuuu ya kweli haya? Nsije poteza pesa zangu za bia bure kwa kutaka kuipa taraka pombe in a wrong way. Na pombe ikihisi unataka kuiacha hahahaha utaisom namba, mpaka binti mlokole anaweza kukupa ofa
Kweli kabsa, hata ukinusa halufu ya bia utaihisa kutapika,
Maziwa na bia maadui wakubwa
Wazee wenzangu (mabibi na mabwana),
Natumaini mko wazima kabisa.
Mimi ni mwanaume, na nafikisha miaka 30 this year.
Unajua kwenye maisha kuna mambo mengi tunafanya kwa kukusudia yawe mazuri au mabaya, ila mara nyingi tunajutia yale mabaya.
Najuta sana kuwa addicted na Bia, na ninaona kabisa ni adui yangu ila haipiti siku bila kuuweka, this hurts me sana.
Kuna aliyeweza kuacha bia kabisa na aliwezaje?. Natamani niache, chaah! this too much.
NB: Ushauri wa kukaa mbali na vishawishi au mbali na washkaji nishajaribu na haujafaa, maana kiu ya bia hatari sana. mimi niliacha kunywa bia kabisa! mkojo wa punda ulinisaidia xana ni dawa nzuriii ya kuacha pombe.
Mimi nimeacha mwaka wa 4 huu na nilikuwa mlevi mbwa! Chamsingi ni kumpa Yesu maisha yako ila hivi hvi huwezHuwezi kuacha labda ufe! Nina uhakika na nikisemacho
Basi hongera zako kama imewezekana sababu ni moja wapo ya maajabu.Mimi nimeacha mwaka wa 4 huu na nilikuwa mlevi mbwa! Chamsingi ni kumpa Yesu maisha yako ila hivi hvi huwez
Wazee wenzangu (mabibi na mabwana),
Natumaini mko wazima kabisa.
Mimi ni mwanaume, na nafikisha miaka 30 this year.
Unajua kwenye maisha kuna mambo mengi tunafanya kwa kukusudia yawe mazuri au mabaya, ila mara nyingi tunajutia yale mabaya.
Najuta sana kuwa addicted na Bia, na ninaona kabisa ni adui yangu ila haipiti siku bila kuuweka, this hurts me sana.
Kuna aliyeweza kuacha bia kabisa na aliwezaje?. Natamani niache, chaah! this too much.
NB: Ushauri wa kukaa mbali na vishawishi au mbali na washkaji nishajaribu na haujafaa, maana kiu ya bia hatari sana. Hata ukikaa mwenyewe utaitafuta.
Wazee wenzangu (mabibi na mabwana),
Natumaini mko wazima kabisa.
Mimi ni mwanaume, na nafikisha miaka 30 this year.
Unajua kwenye maisha kuna mambo mengi tunafanya kwa kukusudia yawe mazuri au mabaya, ila mara nyingi tunajutia yale mabaya.
Najuta sana kuwa addicted na Bia, na ninaona kabisa ni adui yangu ila haipiti siku bila kuuweka, this hurts me sana.
Kuna aliyeweza kuacha bia kabisa na aliwezaje?. Natamani niache, chaah! this too much.
MRC Tanzania
Je! Una tatizo la utumiaji wa pombe au mihadarati
Je! mtoto au mwenza wako ana tatizo la ulevi na utumiaji wa mihadarati
Kwa huduma ya usaidizi wa kuachana na utumiaji wa pombe na dawa nyingine za kulevya unaweza kujaza form ya maombi kupitia link hapa chini
*KIGAMBONI SOBER HOUSE* Tuko kwa ajili ya kukusaidia wewe, Mwenza wako, Mtoto au ndugu yako
Piga simu *+255 742 550 551*
au *+255 655 056 382*
*Bofya hapa*👇🏽
KIGAMBONI SOBER HOUSE
NB: Ushauri wa kukaa mbali na vishawishi au mbali na washkaji nishajaribu na haujafaa, maana kiu ya bia hatari sana. Hata ukikaa mwenyewe utaitafuta.
Be positive.... Kuna watu wamefanikiwa kuacha kabsa pombe na sigara....Huwezi kuacha labda ufe! Nina uhakika na nikisemacho