Hivi Mengi ni Team Lowassa?

Hivi Mengi ni Team Lowassa?

Mkuu ni sheria ya maisha tu, mwenye nguvu atakula.
Hao unaowaita 'mafisadi' ndio waliochora mkakati miaka 10 iliyopita na wakashinda kwa baraka zenu wenyewe. Sasa washindwe nini sasa?
 
Taja huyo mtu unaleta mada za mafumbo ngumu watu kukuelewa.

Halafu unakumbuka ule uzi wako ulisema unawapa mwezi ACT-Wazalendo itasambaratika muda mbona umepita.

Teh teh teh
 
Kuna bwana mmoja mjanja mjanja sana na anapenda kutumia vyombo vyake vya matangazo ikiwa ni pamoja na TV,Radio na magazeti.

Ni mjanja sana wa kukimbilia media pindi anapobanwa kwa hoja.

Ni mnafiki kwelikweli na ametumia makundi ya kijamii yenye shida kujijengea umaarufu asiostahili.

Amejidai ni mwenye nguvu ya media yenye uwezo wa kuangusha serikali!

Amewalaghai hata chadema kwa kujidai kurusha mikutano yao.


Ni mlaghai mno na mjanja sana wa kufuata upepo.

Ninachomuhurumia ni kwamba mwaka huu amaingia pabaya(wrong turn)

Kosa la kujiunga na kambi ya kifisadi ni kosa atakalojutia maishani kwani kwa mara ya kwanza ATASHINDWA na hapo ndio itakuwa kikomo cha UNAFIKI wake.


Bado majuma kama mawili tu kitaeleweka.

Duh Mkuu naona utamaliza mwaka vibaya,
Duniani kote madon huwa hawashindwi kitu, kiustaarabu tu ni kama unacheza ngoma usiyoijua.....
Na Kwa uhakika dhahiri kabisa huitaji kuwa great thinker kujua kuwa unamzungumzia Mengi,
Hakuna asiefaham nguvu ya Mengi kwa Ushawishi wa Umma, tumekuwa nae toka enzi na enzi,Fisadi unaemuona ni mmoja tu kwa kuwa umeambiwa hivyo, na pengine ukiambiwa tofauti utaamini hivyo, CCM ni chaka la mijizi hakuna mwenye unafuu, ndio maana wengi wenye busara wanaangalia game kwa mbali.

Turudi kwenye uhalisia,
Nitajie tajiri yeyote hapa Tanzania anaeweza kutetea wanyonge, iwe kuhadaa au whatever kama unavyotaka kusema zaid ya Mengi
Nitajie tajiri yeyote mwenye ujasiri wa kusema kampuni fulani hazilipi kodi
Nitajie tajiri yeyote tena mwanachama wa CCM anaweza kutoa nafasi kwa vyama vya upinzani kuonyesha uwezo wao...

You must be too ill informed to understand the name of the game, let alone the game.
I'm out.
 
Taja huyo mtu unaleta mada za mafumbo ngumu watu kukuelewa.

Halafu unakumbuka ule uzi wako ulisema unawapa mwezi ACT-Wazalendo itasambaratika muda mbona umepita.

Teh teh teh

Mkuu urudie ule uzi uhakikishe niliyosema halafu mtazame zitto yuko wapi kwa sasa na ACT yake.
 
Duh Mkuu naona utamaliza mwaka vibaya,
Duniani kote madon huwa hawashindwi kitu, kiustaarabu tu ni kama unacheza ngoma usiyoijua.....
Na Kwa uhakika dhahiri kabisa huitaji kuwa great thinker kujua kuwa unamzungumzia Mengi,
Hakuna asiefaham nguvu ya Mengi kwa Ushawishi wa Umma, tumekuwa nae toka enzi na enzi,Fisadi unaemuona ni mmoja tu kwa kuwa umeambiwa hivyo, na pengine ukiambiwa tofauti utaamini hivyo, CCM ni chaka la mijizi hakuna mwenye unafuu, ndio maana wengi wenye busara wanaangalia game kwa mbali.

Turudi kwenye uhalisia,
Nitajie tajiri yeyote hapa Tanzania anaeweza kutetea wanyonge, iwe kuhadaa au whatever kama unavyotaka kusema zaid ya Mengi
Nitajie tajiri yeyote mwenye ujasiri wa kusema kampuni fulani hazilipi kodi
Nitajie tajiri yeyote tena mwanachama wa CCM anaweza kutoa nafasi kwa vyama vya upinzani kuonyesha uwezo wao...

You must be too ill informed to understand the name of the game, let alone the game.
I'm out.

Mkuu unaikumbuka story ya PABLO ESCOBAR ??
 
Kwa kweli hata mimi Mengi kanishangaza sana,katika watia nia wote yeye ni Lowasa tu,mpaka amempiga marufuku Mkinga kwenye media zake kisa anamsema sana Lowasa.kama unampenda sana Lowasa itisha mdahalo na Lipumba tuone
 
Mkuu unaikumbuka story ya PABLO ESCOBAR ??

N/A to Reginald Mengi, anavowindwa na maadui wa biashara zake na umaarufu wake, wangekuwa washampoteza zamani sana
Refer issue ya kutaka kumbambikia mtoto wake drugs airport......
Japo yote yanawezekana, lakini Mengi angekuwa ashanaswa zamani sana..... ana maadui elfu ni kidogo,

Big name and wealthy attracts fake friends and true enemy.
 
N/A to Reginald Mengi, anavowindwa na maadui wa biashara zake na umaarufu wake, wangekuwa washampoteza zamani sana
Refer issue ya kutaka kumbambikia mtoto wake drugs airport......
Japo yote yanawezekana, lakini Mengi angekuwa ashanaswa zamani sana..... ana maadui elfu ni kidogo,

Big name and wealthy attracts fake friends and true enemy.

Ungeisoma kwanza hadith ya Pablo....kwa ufupi alikuwa ni drug dealer mwema sana kwa jamii na tishio kwa serikali na aliwindwa sana na serikali yake na USA na hatimaye alipatikana.
Alikuwa kipenzi cha wananchi na mtoa misaada sana kwa jamii.
 
Mengi ameingia pabaya

Mkuu unaweza ukawa upo sahihi, lakini kwa watu wenye calibre ya Mengi hawakawii kubadilika kulingana na upepo,

Wanajua sana wana choki fanya hasa wakiangalia interest zao, ukilinganisha na hawa wa piga kelele wenzetu huku mtaani,

They choose their cards wisely and still they know the game well than the rest of us.
 
Mkuu unaweza ukawa upo sahihi, lakini kwa watu wenye calibre ya Mengi hawakawii kubadilika kulingana na upepo,

Wanajua sana wana choki fanya hasa wakiangalia interest zao, ukilinganisha na hawa wa piga kelele wenzetu huku mtaani,

They choose their cards wisely and still they know the game well than the rest of us.

Mwaka huu kachemka..hata kama alitishwa
 
Kuna bwana mmoja mjanja mjanja sana na anapenda kutumia vyombo vyake vya matangazo ikiwa ni pamoja na TV,Radio na magazeti.

Ni mjanja sana wa kukimbilia media pindi anapobanwa kwa hoja.

Ni mnafiki kwelikweli na ametumia makundi ya kijamii yenye shida kujijengea umaarufu asiostahili.

Amejidai ni mwenye nguvu ya media yenye uwezo wa kuangusha serikali!

Amewalaghai hata chadema kwa kujidai kurusha mikutano yao.


Ni mlaghai mno na mjanja sana wa kufuata upepo.

Ninachomuhurumia ni kwamba mwaka huu amaingia pabaya(wrong turn)

Kosa la kujiunga na kambi ya kifisadi ni kosa atakalojutia maishani kwani kwa mara ya kwanza ATASHINDWA na hapo ndio itakuwa kikomo cha UNAFIKI wake.


Bado majuma kama mawili tu kitaeleweka.
He is very smart na very powerful mkuu, usije kushangaa thread yako inafutwa humu kwa sababu ya nguvu yake tu ya kifedha na ushawishi aliyo nayo.
Ila kikubwa ni kwamba umefika mda jamii ya watanzania imeshamgundua kuwa yeye ni nani na ana rangi gani na imeanza kuzielewa na kuzijua fitna zote anazohusika nazo. Nafikiri kama ndo KARMA nayoisemaga PASCO ndo inamrudia sasa.
 
Ungeisoma kwanza hadith ya Pablo....kwa ufupi alikuwa ni drug dealer mwema sana kwa jamii na tishio kwa serikali na aliwindwa sana na serikali yake na USA na hatimaye alipatikana.
Alikuwa kipenzi cha wananchi na mtoa misaada sana kwa jamii.
Ya Pablo naijua sana, and you know what, he dies at 44.
Haichukui muda mrefu hata kidogo kumjua criminal hasa kwa Taifa la wapenda majungu kama TANZANIA, story yake ingekuwa ilishaleak siku nyingi mno....
Pablo na Mengi wapi na wapi
 
Kuna bwana mmoja mjanja mjanja sana na anapenda kutumia vyombo vyake vya matangazo ikiwa ni pamoja na TV,Radio na magazeti.

Ni mjanja sana wa kukimbilia media pindi anapobanwa kwa hoja.

Ni mnafiki kwelikweli na ametumia makundi ya kijamii yenye shida kujijengea umaarufu asiostahili.

Amejidai ni mwenye nguvu ya media yenye uwezo wa kuangusha serikali!

Amewalaghai hata chadema kwa kujidai kurusha mikutano yao.


Ni mlaghai mno na mjanja sana wa kufuata upepo.

Ninachomuhurumia ni kwamba mwaka huu amaingia pabaya(wrong turn)

Kosa la kujiunga na kambi ya kifisadi ni kosa atakalojutia maishani kwani kwa mara ya kwanza ATASHINDWA na hapo ndio itakuwa kikomo cha UNAFIKI wake.


Bado majuma kama mawili tu kitaeleweka.

Mkuu hebu kuwa wa kwanza kutokuwa mnafiki kwa kusema unayemsema ni Bwana Mengi! Mengi anaweza kuwa kweli ni mnafiki au ana madhaifu yake tena mengi lakini kama ni hili kwakuwa ana rusha habari za Lowasa ndio kosa basi una muonea!

Kimsingi kila leo ITV tumeshuhudia habari za Lowasa,Nyarandu,Wasira ,Magufuli ,Membe na January makamba na Mwigulu Nchemba!
Labda utuweke wazi kosa lake ni kupatana na Rostam na kukumbatiana? Ina maana ulikuwa unapenda watu kuendelea kuwa maadui? kumbe hupendi watu wa kipatana?

Halafu kama swala ni kurusha habari za Lowasa mbona Channel ten ,Clouds Tv na vituo vingine wana rusha kila leo? Mengi ana madhaifu lakini kwa hili unamuone kabisa hivi ulitaka habari za Lowasa zisirushwe? Kwanini hukwenda sasa kumzuia kuchukua fomu? Hebu tuache demokrasia ichukue mkondo!
 
Ungeisoma kwanza hadith ya Pablo....kwa ufupi alikuwa ni drug dealer mwema sana kwa jamii na tishio kwa serikali na aliwindwa sana na serikali yake na USA na hatimaye alipatikana.
Alikuwa kipenzi cha wananchi na mtoa misaada sana kwa jamii.
Kuna mwingine DUDUS wa jamaica naye mkuu
 
Taja huyo mtu unaleta mada za mafumbo ngumu watu kukuelewa.

Halafu unakumbuka ule uzi wako ulisema unawapa mwezi ACT-Wazalendo itasambaratika muda mbona umepita.

Teh teh teh

Hana tofauti na wale walioipa CHADEMA mwaka mmoja itakuwa imeshakufa.mwaka umekatika,ndio kwanza CHADEMA inazidi kuchanja mbuga na sasa inakwenda kutinga Ikulu chini ya UKAWA.
 
Mkuu hebu kuwa wa kwanza kutokuwa mnafiki kwa kusema unayemsema ni Bwana Mengi! Mengi anaweza kuwa kweli ni mnafiki au ana madhaifu yake tena mengi lakini kama ni hili kwakuwa ana rusha habari za Lowasa ndio kosa basi una muonea!

Kimsingi kila leo ITV tumeshuhudia habari za Lowasa,Nyarandu,Wasira ,Magufuli ,Membe na January makamba na Mwigulu Nchemba!
Labda utuweke wazi kosa lake ni kupatana na Rostam na kukumbatiana? Ina maana ulikuwa unapenda watu kuendelea kuwa maadui? kumbe hupendi watu wa kipatana?

Halafu kama swala ni kurusha habari za Lowasa mbona Channel ten ,Clouds Tv na vituo vingine wana rusha kila leo? Mengi ana madhaifu lakini kwa hili unamuone kabisa hivi ulitaka habari za Lowasa zisirushwe? Kwanini hukwenda sasa kumzuia kuchukua fomu? Hebu tuache demokrasia ichukue mkondo!

Kama leo ni mara ya kwanza ungesema anaonewa lakini hii tabia inajirudia!

Ndio maana nikasema mwaka huu kajichanganya na itamcost.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom