Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 102,675
- 126,911
OkSera ni nini haswa?? Ukisema haina sera utakuwa unakosea kwani hata kutokuwa na sera nayo hiyo ni sera yao. Sera ya viwanda sio kuvijenga viwanda bali kuelekeza watu wajenge viwanda. Sera yao kubwa ni kuumaliza upinzani, usiseme ati hawana sera.