Hivi Mama Janeth Magufuli amestaafu kazi katika utumishi wa umma? Kwa sasa anafanya kazi gani?

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
879
4,125
Mama yetu Janeth Magufuli alikuwa mwajiriwa WA serikali Mwalimu; baada ya Magufuli kuteuliwa kuwa mgombea Urais na baadaye Rais kazi ya ualimu ilisita japo kwenye utumishi WA umma sijui kama kuna kipengele kinachotoa ajira automatic Kwa mke wa kiongozi. Na kama kipo je ni ajira zote?

Kutokana na contradiction hiyo Ndipo swali langu linapokuja kuzaliwa, je mama Janeth amestaafu? Je, kama ajastaafu , akifika umri wa kustaafu kisheria taratibu zinakuwaje?

Lakini Kwa nafasi yake anapaswa kuwa na taasisi anayoisimamia ambayo inaweza kumsaidia kuendelea kutoa huduma Kwa jamii ya Watanzania.

Mwenye kujua procedure zipo vipi baada ya first lady ambaye ajastaafu utumishi WA umma Mme wake anapomaliza muda wake WA utawala au anaposhindwa kuendelea kuwa Rais?
 
Hajastaafu ila alienda kumsaidia kiongozi mkuu wa nchi majukumu yake. Ni sawa na mtumishi kutoka taasisi moja kwenda nyingine kutoa msaada.
NB. Hii ni assumption yangu sina ushahidi wowote kisheria
 
Popote alipo mke wa raisi na msafara wa polisi na usalama wa aina zote upo nae, sasa pata picha ndio anaingia darasani kila siku, kutakuwa na shule kweli hapo? Vp … mwalimu mkuu wa hiyo shule anatoa wapi kauli yoyote mbele yake mke wa mkuu wa nchi! Achilia mbali maafisa elimu ngazi zote anzia kata…acha mambo yawe kama yalivyo…

Obama akiwa mstaafu alimjibu comedian Trevor Noah kuwa ni kweli sisi wote kwa sasa ni raia wa kawaida, ila kiuhalisia hatuko sawa, mimi naweza shauri system moja kwa moja… ndivyo ilivyo kwa huyo mama, jiulize amekutana na raisi wako wa sasa mara ngapi na wewe umekutana nae mara ngapi tena kwa mialiko maalumu? Hata kama na wewe ni mtumishi wa umma, trust me, hamko sawa.

Kuhusu kuwa na taasisi ya kusaidia watanzania hiyo ni upigaji mwingine, juzi kawaita wanafunzi kutoka sekondari kawapa chakula na misaada, inatosha, sio uanzishe shirika ukusanye mahela, ajira zitoke kwa watu kibao sijui waasibu, madereva, mameneja na timu nzima ya watendaji kuhusiana na hela hizo hizo mwishowe wanufaika wanaambulia kuwa kwenye takwimu tu za kiofisi.

The Bottom line, her husband was very right, she never stood anywhere striving to become a state custodian, and by the way, sio kila mtu anawaza hayo mambo ya kukaa mbele ya makamera na kushobokewa.

Mume wake ndio alichagua hizo nginjanginja za wadanganyika na sio yeye…
 
Turudi Hapa...unafanya kazi ili nn?
Je mshahara na malimbikizo ya aliyekuwa mumewe c vipo! Kwan zimeenda wapi.. !Hoja nyingne zinajijibu zenyewe.
 
Ile kuondokewa na lile jinamizi tu inatosha huoni mama wa watu alivyonawiri. Kuishi na shetani nyumba moja kwa miaka thelathini si mchezo.
 
Mama yetu Janeth Magufuli alikuwa mwajiriwa WA serikali Mwalimu; baada ya Mhe. Magufuli kuteuliwa kuwa mgombea Urais na baadaye Rais kazi ya ualimu ilisita japo kwenye utumishi WA umma sijui kama kuna kipengele kinachotoa ajira automatic Kwa mke wa kiongozi. Na kama kipo je ni ajira zote?

Kutokana na contradiction hiyo Ndipo swali langu linapokuja kuzaliwa, je mama Janeth amestaafu? Je, kama ajastaafu , akifika umri wa kustaafu kisheria taratibu zinakuwaje?

Lakini Kwa nafasi yake anapaswa kuwa na taasisi anayoisimamia ambayo inaweza kumsaidia kuendelea kutoa huduma Kwa jamii ya Watanzania.

Mwenye kujua procedure zipo vipi baada ya first lady ambaye ajastaafu utumishi WA umma Mme wake anapomaliza muda wake WA utawala au anaposhindwa kuendelea kuwa Rais?
Rais anapokuwa ni mwanaume, mkewe ni First Lady, kama alikuwa anafanya kazi yoyote, anasitisha na kuanza kuhudumu kwenye jukumu lake jipya la 1st Lady.

Kwa mujibu wa jukumu hilo, ana fungu lake na anatuzwa maisha yake yote.

Ila rais anapokuwa ni Mwanamke, bado hatuna protocol for First Gentleman. Tulioitika Wito Kuhamia Burundi, Tumefarijika Sana Kumuona Former First Lady, Mama Salma Kikwete. Kumbe Rais Akiwa Mwanamke, Nchi Haina First Lady!
P
 
Back
Top Bottom