Hivi lengo hasa la kufunga NDOA ni nini?

Quinton Canosa

JF-Expert Member
Nov 2, 2012
1,212
1,197
Habari za jumapili wanajamii forums

Kwa muda sasa nimekuwa nikijiuliza hivi lengo kubwa la kufunga ndoa ni nini.Kinachonipelekea kujiuliza hayo maswali ni kutokana na kutoona tofauti kati ya waliofunga ndoa na wasiofunga ndoa.Ukiangalia kiundani wanandoa wengi wanachepuka balaa ni wazinzi wa kutupwa kama wale tu wasifunga ndoa.

Kile kiapo cha mpaka kifo kitutenganishe kwa sasa kimekuwa ni uongo maana watu wakidumu kwa miaka zaidi ya 3 aisee ni kumshukuru MUNGU.

Wengi sio wavumilivu kwenye hizo ndoa,uongo mwingi sana yaani mimi binafsi sijaona faida hasa ya kufunga ndoa,labda maarifa yangu ni madogo NAOMBENI MNISAIDIE FAIDA HASA ZA KUFUNGA NDOA AMBAO HAWAFUNGA WANAZIKOSA
Ahsanteni
 
Habari za jumapili wanajamii forums
Kwa muda sasa nimekuwa nikijiuliza hivi lengo kubwa la kufunga ndoa ni nini.Kinachonipelekea kujiuliza hayo maswali ni kutokana na kutoona tofauti kati ya waliofunga ndoa na wasiofunga ndoa.Ukiangalia kiundani wanandoa wengi wanachepuka balaa ni wazinzi wa kutupwa kama wale tu wasifunga ndoa.Kile kiapo cha mpaka kifo kitutenganishe kwa sasa kimekuwa ni uongo maana watu wakidumu kwa miaka zaidi ya 3 aisee ni kumshukuru MUNGU.
Wengi sio wavumilivu kwenye hizo ndoa,uongo mwingi sana yaani mimi binafsi sijaona faida hasa ya kufunga ndoa,labda maarifa yangu ni madogo NAOMBENI MNISAIDIE FAIDA HASA ZA KUFUNGA NDOA AMBAO HAWAFUNGA WANAZIKOSA
Ahsanteni
Kufunga ndoa ni kumpata mwenza wako wa maisha ambaye mtachangiana vuguvugu zote za maisha kwa pamoja.
Kusudi la ndoa nijuavyo mimi na nilizoziona ni 3 kama sio 4,na hizo hizo ndio faida pia.
1)Kupata mwenza wa uhakika ambaye atakua chini yako ama milki yako atakayekupatia utulivu wa kimwili/kihisia na kiakili.
2)Mwenza wa kushirikiana naye kimaisha katika nyanja za kijamii,kiuchumi na kihisia.
3)Kuendeleza ukoo ama chimbuko lako ama kumpata mrithi au utambulisho wako kirasmi.
Unapokua na mke/mume walau kuna garantii ama uhakika kuwa una mtu wako,tofauti ukiwa na demu au bwana uhakika ni mdogo maana hakuna urasmi wowote,pia huwezi kumpata kila muda utakao wewe.
Mke/mume kujitoa kwako ni KUKUBWA kuliko demu/bwana.
Ukiwa na mume/mke jua una mfuasi ambaye yuko tayari ama radhi kusimama na wewe kwa lolote ama popote.

Hayo yanayotokea ni kwa sababu mtu hakumpata aliyemstahili ama anayemstahili,ila amini ndugu ukimpata anayestahili mtadumu sana.
Japo CHANGAMOTO haziepukiki maana mnakutana watu wawili wenye misingi tofauti ya maisha hivyo busara yahitajika na ustahamilivu wa kuishi pamoja.
Ndoa zina changamoto mkuu tena changamoto zingine huwenda zikakuharibia mfumo wa maisha kiujumla.
KIZURI HAKIKOSI KASORO.
Utofauti wa mahusiano ya kawaida ya kimapenzi na mahusiano ya ndoa nitaja kuelezea kama utakubali mkuu.
 
Kufunga ndoa ni kumpata mwenza wako wa maisha ambaye mtachangiana vuguvugu zote za maisha kwa pamoja.
Kusudi la ndoa nijuavyo mimi na nilizoziona ni 3 kama sio 4,na hizo hizo ndio faida pia.
1)Kupata mwenza wa uhakika ambaye atakua chini yako ama milki yako atakayekupatia utulivu wa kimwili/kihisia na kiakili.
2)Mwenza wa kushirikiana naye kimaisha katika nyanja za kijamii,kiuchumi na kihisia.
3)Kuendeleza ukoo ama chimbuko lako ama kumpata mrithi au utambulisho wako kirasmi.
Unapokua na mke/mume walau kuna garantii ama uhakika kuwa una mtu wako,tofauti ukiwa na demu au bwana uhakika ni mdogo maana hakuna urasmi wowote,pia huwezi kumpata kila muda utakao wewe.
Mke/mume kujitoa kwako ni KUKUBWA kuliko demu/bwana.
Ukiwa na mume/mke jua una mfuasi ambaye yuko tayari ama radhi kusimama na wewe kwa lolote ama popote.

Hayo yanayotokea ni kwa sababu mtu hakumpata aliyemstahili ama anayemstahili,ila amini ndugu ukimpata anayestahili mtadumu sana.
Japo CHANGAMOTO haziepukiki maana mnakutana watu wawili wenye misingi tofauti ya maisha hivyo busara yahitajika na ustahamilivu wa kuishi pamoja.
Ndoa zina changamoto mkuu tena changamoto zingine huwenda zikakuharibia mfumo wa maisha kiujumla.
KIZURI HAKIKOSI KASORO.
Utofauti wa mahusiano ya kawaida ya kimapenzi na mahusiano ya ndoa nitaja kuelezea kama utakubali mkuu.
Umeelezea vizuri sana mkuu.
 
Habari za jumapili wanajamii forums
Kwa muda sasa nimekuwa nikijiuliza hivi lengo kubwa la kufunga ndoa ni nini.Kinachonipelekea kujiuliza hayo maswali ni kutokana na kutoona tofauti kati ya waliofunga ndoa na wasiofunga ndoa.Ukiangalia kiundani wanandoa wengi wanachepuka balaa ni wazinzi wa kutupwa kama wale tu wasifunga ndoa.Kile kiapo cha mpaka kifo kitutenganishe kwa sasa kimekuwa ni uongo maana watu wakidumu kwa miaka zaidi ya 3 aisee ni kumshukuru MUNGU.
Wengi sio wavumilivu kwenye hizo ndoa,uongo mwingi sana yaani mimi binafsi sijaona faida hasa ya kufunga ndoa,labda maarifa yangu ni madogo NAOMBENI MNISAIDIE FAIDA HASA ZA KUFUNGA NDOA AMBAO HAWAFUNGA WANAZIKOSA
Ahsanteni
Faida moja wapo, wewe kama dume,una ukwasi wa kutosha, na una ka Mke kazuuuri, kama Elizabeth Michael, ukifa bila ndoa, Mke hapati kitu! Sheria haimtambui kabisa, hawezi kudai chochote, na, kama una watoto wanaweza kumtosa pia, vile vile, fikiria Una goma lako kama Zari, na ma pesa yote Yale, hamjafunga ndoa, mnachuma Mali za, ktosha, wewe kama baba wa, nyumbani,mkizinguana unaondoka na boksa zako tu, huna chako,
Tuje kibongo bongo, Kuna taasisi za kimataifa, ukiajiliwa, bima ya afya wanatoa kwa watoto, na Mke, lakini kwa Mke lazima uonyeshe cheti cha ndoa! Sasa fikiria unakufa, kuna mafao kibao inabidi apate mjane kwa vile alikuwa mkeo,lakini kwa vile hqkuna cheti, anaula wa chuya
 
Habari za jumapili wanajamii forums

Kwa muda sasa nimekuwa nikijiuliza hivi lengo kubwa la kufunga ndoa ni nini.Kinachonipelekea kujiuliza hayo maswali ni kutokana na kutoona tofauti kati ya waliofunga ndoa na wasiofunga ndoa.Ukiangalia kiundani wanandoa wengi wanachepuka balaa ni wazinzi wa kutupwa kama wale tu wasifunga ndoa.

Kile kiapo cha mpaka kifo kitutenganishe kwa sasa kimekuwa ni uongo maana watu wakidumu kwa miaka zaidi ya 3 aisee ni kumshukuru MUNGU.

Wengi sio wavumilivu kwenye hizo ndoa,uongo mwingi sana yaani mimi binafsi sijaona faida hasa ya kufunga ndoa,labda maarifa yangu ni madogo NAOMBENI MNISAIDIE FAIDA HASA ZA KUFUNGA NDOA AMBAO HAWAFUNGA WANAZIKOSA
Ahsanteni
Comments reserved
 
Hizi ndoa za kuviziana hizi. Kuna jirani yangu nasikia katangulizwa na.mkewe, alikula chakula tumbo likaanza kumuuma, akaanza kutokwa mapovu, ndio habari ikaisha hiyo. Hizi mali ni shida
 
Ujenzi wa taifa huanzia kwenye familia. Familia ni baba, mama, watoto. Ili kupata jamii iliyo bora ni vyema watoto wakalelewa na wazazi wote wawili. Kukaa pamoja lazima kuwe na makubaliano kisheria. Sheria hiyo ni ndoa. Taasisi ya ndoa ni ya heshima sana kwenye ujenzi wa taifa bora.

Ndoa uleta uhalali wa kuishi na mtoto wa mtu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom