Hivi ndoa ni suluhisho la wapendanao??

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,956
22,150
Labda tusaidiane wapendwa kuna mabinti wengi hvi sasa wanafikiri wanaapoolewa wanafikiri wanapendwa zaidi kuliko wote waliowapitia...kuna mawazo tofauti na haya ila ningependa kuwajulisha madada zetu mapenzi ya kweli kwa hivi sasa sio hayako kwenye ndoa...

Usikimbilie ndoa ukihisi mapenzi yataongezeka la hasha omba mungu akupe mwenzako na awe kusudio la mungu..wengine wakiolewa hata kanisani wanaona mizigo na hiili sipendi likukute..jaribu kuchunguza sana nini maana ya ndoa na kwa nini watu wanaoana na je nini maana ya shida na raha za ndoa na utakapopata ufahamu utaweza ona je kwa hili unaweza kuhimili shida za ndoa ama raha za ndoa ama vyote kwa pamoja...

Angalizo kama unaona unaweza upande mmoja tu usikimbilie ndoa angalia tena uamuzi wako..watu wengi wanakutana na shida za ndoa bila kujua walikiri kwenye kanisa tutakuwa woote kwenye shida na raha...mbaya zaidi mnapotengana lazima mjue kifo ndicho kitakachowatenganisha na hili mmekiri kwa midomo yenu so mnapoachana muwe makni sana midomo yenu itawarudia mkiwa hapa hapa dunian

pengine uko kijana unaitaji msaada wa kumpata alietoka kwa bwana ni vyem ukaangalia mambo mbalimbali yakiwemo je unauwezo wa kumhimili mwenzio
1)tendo la ndoa

hapa namaanisha kwenye tendo la ndoa..watu wengi wamearibu ndoa zao kwa kutokuwa makini kwenye swala la ndoa..wengine wanaolewa ama kuoa wakifikiri ndoa just kukaa ndan na kupeana wine mnalala ama kuzunguka dar kwenye ma bar mkijiburudisha la hasha ndoa ni kushugulika na si kwa mume tu bali kwa mke na wote.....lazima ujue ukiwa kwenye ndoa hili jambo waweza ona alina maana laakini madhara yake ni makubwa kuliko kifo cha osama
ukiwa kama mwanandoa mtarajiwa uwe ukijua mkeo ama mumeo akiwa anaitaji tendo la ndoa ni lazima mshibishane..na kama unamnyima ujifikirie je akitoka anakoenda atakuwa salama..nasema hivi kwa kumaanisha sipendi uingie kwenye ndoa ya maneno bali ya vitendo na unachokutana nacho unakuwa umekijua na soln yake.....

2)uchumi

pengine wajiuliza kivipi..la hasha mnapoamua kuoana lazia mjue jkwamba mmefika wakati wakujua jinsi ya kuanza kujitegemea..sipendi kuona watoto wanaozaliwa kwenye viuon vya mababu zetu kama kabila moja kaskazini la hasha kama umeamua kuoa jitahdii ujiangalie je waweza kuhimili maisha ya kwako na mkeo...na kwambia hivi nikimaanisha kwa kuwa ndoa nyingi hasa mabinti wa sasa wako kifedha zaidi..watakudanganya ufungr nao ndoa ukishanasa utajuwa hii ni moto ama baridi....na ole ukakutana na uvuguvugu utajuta..so lazima uwe na kauwezo cha kutunza familia..achana na maisha ya kutegemea wazazi wako mpaka kwenye ndoa zenu..hii hali imefanya mabinti wengi kutembea nje ya ndoa na kufikiri soln ya hela iko uko la hasha utakuja na magonjwa na kuishiwa kuchekwa mitaani

3)uvumilivu

lazima ujue kabla amjaamua kuoana ujue kuna neno hapojuu hilo ukilielewa vizuri yawezekana ukawa unaishi kama uko mbinguni aiijalishi majaribu gan yatakukuta..lakini omba mungu akupe uvumilivu hasa kwenye maisha ya ndoa..ni vizuri ukajua msichana mlichukua ametoka kwa babake na mamako ambao awakuzaliwa tumbo moja na babako wala mamako..so ujue kila mtu kalelewa maisha tofauti ni wanaitaj wakati kuweza kumatch maisha yenu..so jifunzeni kuwa wavumilivu mtafaidi maisha yenu na mungu awasaidie....

4))upendo wa agape

hili swala muhimu zaidi yote..lazima mjue mkiwa kwenye ndoa msijaribu kuact upendo wenu jamani nawaasa hili kwenye ndoa ni upendo wa kweli tu ndio utakaowasimamisha nje ya hapo ndan ya miezi mitatu kama ujaribu kuact akika lazima mmoja achape lapa..simaanishi kwenu watarajiwa la hasha ila muwe makini..tumeona familia nyingi zinaoana baada ya miezi sita mitatu mmoja hata kuaga aagi na kubadili namba nakuishi tandika kabisa ama mbagala asionekane alipo..ni vigumu kujua ila kuna mambo mengi wanandoa mnakuwa mmefichana ..so hili litawezwa tu kama mmoja ataweza kuwa chini wakakti mwenza akiwa juu..zaidi ya hapo lazima mfanyike comedy na hili limefanya makanisa mengi hivi sasa yanatumika kama sehemu ya kufanyia movie kwenye ndoa za watu na si kufunga ndoa kama zamani watu wajuavyo....kuna mtu alifunga ndoa ofisini kwetu nawapa mfano tu alikaa na mkewe mwezi wa kwanza wa pili akamwambia nataka 1,2,3,4,5,6 tuandike mr na mrs jamaa akasema wala aina shida ila mbona mapema alipoaribu jamaa akamwambia na mimi 7,8,9,10,11 tuandike mr n mrs wee wee yule binti kwanza alichofanya nikumwonyesha alikuwa anakunywa na uwezi amini wamekaa kwenye maurafiki zaidi ya miaka 3 wa nne akaingia king ..ikala kwakwe..yule mwanamke akadai hizo mali za urithi baba na mamake walikufa wakwachia na kakake..jamaa akasema imefika wakati umetoka kwa kakako uko kwako chukua chako tuandikishe..yule binti alikuwa mlevi mbwa ..jamaa ilimchukua masaa 48 kujipa visa ya kuondoka nyumba ile akaacha kila kitu ..ni masikitiko makubwa ingawa alimpenda kweli uku binti alikuwa na lengo lake lilipotimia ..akusita kumwonyesha moto wake..sitaki ikukute wewe...

Mwisho nawatakia tena ndoa njema zenye kusudi la mungu msikubali kuoa ama kuolewa kwakuwa mumeo ana pesa ama mkeo kafumuka basi huyu nitatesea watu weeeeeeeeeeeeeeeeee watakutesa zaidi pale kinondoni cementry



kila la kheri!!!!!
 
Watu siku hizi wanaoa kwasababu unafaa kua mama....we unalea mwenzako anakula raha n kipenzi chake.Kwenye ulimwengu wa leo watu wanasukumwa na ubinafsi zaidi kuingia kwenye ndoa....na sio mapenzi!
 
Watu siku hizi wanaoa kwasababu unafaa kua mama....we unalea mwenzako anakula raha n kipenzi chake.Kwenye ulimwengu wa leo watu wanasukumwa na ubinafsi zaidi kuingia kwenye ndoa....na sio mapenzi!

kweli dear
kuna siku nilipost men wanaoa wanawake wanaowafaa kuwa mama i.e raise da watoto the way baba like most (uzuri/ubaya/unini hawajali)
wanabaki kuendeleza miraha na wa njee charokee
hv you ever dink kwa nini wanaoolewa hawawazidi uzuri waliobakia?
 
Watu siku hizi wanaoa kwasababu unafaa kua mama....we unalea mwenzako anakula raha n kipenzi chake.Kwenye ulimwengu wa leo watu wanasukumwa na ubinafsi zaidi kuingia kwenye ndoa....na sio mapenzi!

hapo mie ndio nachokaga kabisa, mtu kaoa jana , leo yupo na hawara wanaburudika, ndio mana wengine tunatanguliza ubabe....ndo cku hizi ni urembo wa kujivalia mapete tu.
 
Wale ambao huona wapendana ni wachache ambao huenda sambamba na mambo yoote yahusuyo ndoa... Majukumu yanaongezeka, nafasi ya ninyi kujipumzisha adimu, watoto wanakuja katika ulimwengu wenu na mengine meengi ambayo wachache wenye bahati haiwadhuru.. Penzi linabaki pale pale wakiwa siku zote bega kwa bega.... But majority kila kitu kina fade na mnabaki hapo kama companions ambao inabidi mshee majukumu...
 
kweli dear
kuna siku nilipost men wanaoa wanawake wanaowafaa kuwa mama i.e raise da watoto the way baba like most (uzuri/ubaya/unini hawajali)
wanabaki kuendeleza miraha na wa njee charokee
hv you ever dink kwa nini wanaoolewa hawawazidi uzuri waliobakia?
Ahhaahah kwasababu wanataka watakaotulia nyumbani wakati wao wanatanga tanga!Ila hata wanawake hali ni hiyo hiyo....wanakubali kuolewa kwa pesa alafu mapenzi yao wanashea na wengine!
 
hapo mie ndio nachokaga kabisa, mtu kaoa jana , leo yupo na hawara wanaburudika, ndio mana wengine tunatanguliza ubabe....ndo cku hizi ni urembo wa kujivalia mapete tu.
Ni maajabu kweli....ni sawa na wale wanaooa mwezi baada ya mke kufa!
 
You know what, ukitaka upendo udumu, usichuje, mbaki BF/GF!! lakini hadi lini? Mkioana tu na kuingia kwenye challenges za ndoa, na wote hamko tayri kukabiliana nazo, mtakimbilia kwa mahawara! examples are endless...
 
Watu siku hizi wanaoa kwasababu unafaa kua mama....we unalea mwenzako anakula raha n kipenzi chake.Kwenye ulimwengu wa leo watu wanasukumwa na ubinafsi zaidi kuingia kwenye ndoa....na sio mapenzi!
Na ukiwa na :mimba::mimba:hapo ndio habari nyingine
 
Labda tusaidiane wapendwa kuna mabinti wengi hvi sasa wanafikiri wanaapoolewa wanafikiri wanapendwa zaidi kuliko wote waliowapitia...kuna mawazo tofauti na haya ila ningependa kuwajulisha madada zetu mapenzi ya kweli kwa hivi sasa sio hayako kwenye ndoa...

Usikimbilie ndoa ukihisi mapenzi yataongezeka la hasha omba mungu akupe mwenzako na awe kusudio la mungu..wengine wakiolewa hata kanisani wanaona mizigo na hiili sipendi likukute..jaribu kuchunguza sana nini maana ya ndoa na kwa nini watu wanaoana na je nini maana ya shida na raha za ndoa na utakapopata ufahamu utaweza ona je kwa hili unaweza kuhimili shida za ndoa ama raha za ndoa ama vyote kwa pamoja...

Angalizo kama unaona unaweza upande mmoja tu usikimbilie ndoa angalia tena uamuzi wako..watu wengi wanakutana na shida za ndoa bila kujua walikiri kwenye kanisa tutakuwa woote kwenye shida na raha...mbaya zaidi mnapotengana lazima mjue kifo ndicho kitakachowatenganisha na hili mmekiri kwa midomo yenu so mnapoachana muwe makni sana midomo yenu itawarudia mkiwa hapa hapa dunian

pengine uko kijana unaitaji msaada wa kumpata alietoka kwa bwana ni vyem ukaangalia mambo mbalimbali yakiwemo je unauwezo wa kumhimili mwenzio
1)tendo la ndoa

hapa namaanisha kwenye tendo la ndoa..watu wengi wamearibu ndoa zao kwa kutokuwa makini kwenye swala la ndoa..wengine wanaolewa ama kuoa wakifikiri ndoa just kukaa ndan na kupeana wine mnalala ama kuzunguka dar kwenye ma bar mkijiburudisha la hasha ndoa ni kushugulika na si kwa mume tu bali kwa mke na wote.....lazima ujue ukiwa kwenye ndoa hili jambo waweza ona alina maana laakini madhara yake ni makubwa kuliko kifo cha osama
ukiwa kama mwanandoa mtarajiwa uwe ukijua mkeo ama mumeo akiwa anaitaji tendo la ndoa ni lazima mshibishane..na kama unamnyima ujifikirie je akitoka anakoenda atakuwa salama..nasema hivi kwa kumaanisha sipendi uingie kwenye ndoa ya maneno bali ya vitendo na unachokutana nacho unakuwa umekijua na soln yake.....

2)uchumi

pengine wajiuliza kivipi..la hasha mnapoamua kuoana lazia mjue jkwamba mmefika wakati wakujua jinsi ya kuanza kujitegemea..sipendi kuona watoto wanaozaliwa kwenye viuon vya mababu zetu kama kabila moja kaskazini la hasha kama umeamua kuoa jitahdii ujiangalie je waweza kuhimili maisha ya kwako na mkeo...na kwambia hivi nikimaanisha kwa kuwa ndoa nyingi hasa mabinti wa sasa wako kifedha zaidi..watakudanganya ufungr nao ndoa ukishanasa utajuwa hii ni moto ama baridi....na ole ukakutana na uvuguvugu utajuta..so lazima uwe na kauwezo cha kutunza familia..achana na maisha ya kutegemea wazazi wako mpaka kwenye ndoa zenu..hii hali imefanya mabinti wengi kutembea nje ya ndoa na kufikiri soln ya hela iko uko la hasha utakuja na magonjwa na kuishiwa kuchekwa mitaani

3)uvumilivu

lazima ujue kabla amjaamua kuoana ujue kuna neno hapojuu hilo ukilielewa vizuri yawezekana ukawa unaishi kama uko mbinguni aiijalishi majaribu gan yatakukuta..lakini omba mungu akupe uvumilivu hasa kwenye maisha ya ndoa..ni vizuri ukajua msichana mlichukua ametoka kwa babake na mamako ambao awakuzaliwa tumbo moja na babako wala mamako..so ujue kila mtu kalelewa maisha tofauti ni wanaitaj wakati kuweza kumatch maisha yenu..so jifunzeni kuwa wavumilivu mtafaidi maisha yenu na mungu awasaidie....

4))upendo wa agape

hili swala muhimu zaidi yote..lazima mjue mkiwa kwenye ndoa msijaribu kuact upendo wenu jamani nawaasa hili kwenye ndoa ni upendo wa kweli tu ndio utakaowasimamisha nje ya hapo ndan ya miezi mitatu kama ujaribu kuact akika lazima mmoja achape lapa..simaanishi kwenu watarajiwa la hasha ila muwe makini..tumeona familia nyingi zinaoana baada ya miezi sita mitatu mmoja hata kuaga aagi na kubadili namba nakuishi tandika kabisa ama mbagala asionekane alipo..ni vigumu kujua ila kuna mambo mengi wanandoa mnakuwa mmefichana ..so hili litawezwa tu kama mmoja ataweza kuwa chini wakakti mwenza akiwa juu..zaidi ya hapo lazima mfanyike comedy na hili limefanya makanisa mengi hivi sasa yanatumika kama sehemu ya kufanyia movie kwenye ndoa za watu na si kufunga ndoa kama zamani watu wajuavyo....kuna mtu alifunga ndoa ofisini kwetu nawapa mfano tu alikaa na mkewe mwezi wa kwanza wa pili akamwambia nataka 1,2,3,4,5,6 tuandike mr na mrs jamaa akasema wala aina shida ila mbona mapema alipoaribu jamaa akamwambia na mimi 7,8,9,10,11 tuandike mr n mrs wee wee yule binti kwanza alichofanya nikumwonyesha alikuwa anakunywa na uwezi amini wamekaa kwenye maurafiki zaidi ya miaka 3 wa nne akaingia king ..ikala kwakwe..yule mwanamke akadai hizo mali za urithi baba na mamake walikufa wakwachia na kakake..jamaa akasema imefika wakati umetoka kwa kakako uko kwako chukua chako tuandikishe..yule binti alikuwa mlevi mbwa ..jamaa ilimchukua masaa 48 kujipa visa ya kuondoka nyumba ile akaacha kila kitu ..ni masikitiko makubwa ingawa alimpenda kweli uku binti alikuwa na lengo lake lilipotimia ..akusita kumwonyesha moto wake..sitaki ikukute wewe...

Mwisho nawatakia tena ndoa njema zenye kusudi la mungu msikubali kuoa ama kuolewa kwakuwa mumeo ana pesa ama mkeo kafumuka basi huyu nitatesea watu weeeeeeeeeeeeeeeeee watakutesa zaidi pale kinondoni cementry



kila la kheri!!!!!
Sikioni kitufe cha thanks sijui kwanini, naomba nikuambie thanks and i like it
Masuala ya ndoa kwa kweli ni ya kuwa nayo makini, si kuingia kwa ajili ya kitu fulani jamani. Upendo wa kweli ndio utakaosababisha uvumulivu, msamaha na zaidi kumtumaini Mungu siku zote. Kuna dada aliolewa baada ya wikii moja akaanza kumhesabia mume wake vitu alivyopewa zawadi kwenye send-off kuwa ni vyake mwanaume havimhusu!! jamani hapo kweli kuna ndoa? Baada ya mwa mwaka mmoja wakaachana na watu walivyokuwa wanamuuliza yule binti akawa anawaambia yeye alitaka kuondoa mkosi wa kutoolewa kwani mabinti wa umri wake walikuwa wanaolewa yeye bado, so alitaka sifa eti na yeye alishaolewaga! what for? kwa kweli ambao mnafikiria kuingia kwenye ndoa kuweni makini na fanyeni uchaguzi ulio sahihi wa mwenza wako kwa msaada wa Mungu.
 
Huwa naona baadhi ya watu huwa wanajiiba sana wanaenda kumaliza haja zao kwa wale wapenzi wao wa zamani pindi mama mwenye nyumba anapokuwa ana :mimba::mimba::mimba:
Hhahahhah si anakua ametimiza majukumu yake ya kuijaza dunia....mwanamke nae anakua amefanikisha kilichompeleka pale!
 
Kuoa/kuolewa kwa siku hizi ni show game
wengine wanaoa kutaka watoto, wanaolewa kuondoa mkosi
wengine umri wa kuoa/kuoelewa unakwisha bora yeyote
kuoa/kuolewa kwa sababu fulani kaolewa/kaoa
ndoa za siku hizi vurugu mechi

 
Back
Top Bottom