its called power...he's rich, he's got all the money in the world bt what he doesnt have is POWER and that's what he's after..IKULU that's what he's after and he would do all it takes to get there...its called AMBITION, DREAM plus he knows no one can really make a difference in terms of improving the lives of wabongo like he can especially within CCM.
...Anataka Kulipa Madeni.
Time will tell. Lakini nina uhakika 2015, Watanganyika HATUDANGANYIKI tena. Anayefikiri Watanganyika wa 2010 ndio watakuwa wale wale wa 2015, basi atakuwa amejidanganya sana.
Lowassa anautaka tu urais kwa sababu anataka kuwa rais.
Suala la kulisaidia taifa si kipaumbele cha Lowassa.
Lowassa anataka urais inatosha.................
Kwa kua ana vigezo vya kuiongoza nchi katika haki na kweli.Vile vile ni chaguo la Mungu kama alivyotabiriwa na Mtumishi wa mungu TB JUSHUA wa emmanuel Tv.
Tuacheni majungu na siasa za majungu na kuwa kama waganga wa kienyenye wapi na lini lowassa kasema atagombea urais? Tunapiga lamri tu kama waganga wa kienyeje.
Na wahariri wa kibongo nao ndo wameona ndo stori ya kuuzia magazeti.Tusiwe watu wa kuhisi na kubuni vitu na naona Lowasa anawaumiza sana vichwa CDM, ni kweli nyota yake kwa sasa kwa jamii inapaa kwa speed mbayaa.
its called power...he's rich, he's got all the money in the world bt what he doesnt have is POWER and that's what he's after..IKULU that's what he's after and he would do all it takes to get there...its called AMBITION, DREAM plus he knows no one can really make a difference in terms of improving the lives of wabongo like he can especially within CCM.
Q MAN: Uko sawa Watanganyika HATUDANGANYIKI tena lakini, kama "system" (mfumo) ya CCM ipo kila walitakalo CCM litafanikiwa tu tupende tusipende. Kwani Watanganyika tuna mikakati gani ya kukabiliana na kuhakikisha uonevu wa mfumo wa CCM unavunjwavunjwa? Hata ubabe unaotendeka kama vile kushambulia mikutano ya baadhi ya vyama vya upinzani na kuua si ishara tosha ijnsi mfumo CCM unavyowanyanyasa Watanganyika ilhali haki za msingi zikipuuzwa NA KUDANGANYIKA KILA UCHAO? Tufanyeje ili TUSIDANGANYIKE zaidi na tufike ukomo wa hii hali?Time will tell. Lakini nina uhakika 2015, Watanganyika HATUDANGANYIKI tena. Anayefikiri Watanganyika wa 2010 ndio watakuwa wale wale wa 2015, basi atakuwa amejidanganya sana.
Heshima Mbele
Ni muda sijaanzisha Mada hapa ila kuna jambao ambalo limekuwa likinitatiza kwa muda sasa ila naamini nyie mnaweza kuwa mnajua?
Hivi kwanini Lowassa anautaka Urais? akichaguliwa atalisaidiaje Taifa? Je, Pesa hizi anazotumia kuweka watu wake kwenye Chama tawala atazirudishaje?
Nimeanza kuogopa sana na kama watanzania wakikubali kuzugwa tena 2015 na kuchagua viongozi ambao wana mvuto wa sura, mvuto wa kutawala bila kuangalia rekodi yao ya nyuma taifa litaenda kubaya sana.
Taifa linaoelekea kupata Gesi na Mafuta linahitaji viongozi makini ambao wataweza kulivusha taifa, kutuondoa kwenye lindi la umasikini na kujenga utawala bora.
Good question,Where does he get the money to bribe the electorate to a achieve his dream?
CCM is simply dirty! Even Membe is going to perpetuate Kiwete legacy which is dependency on foreign aid and allowing these western countries to plunder our resources
Kwa Tume ya Uchaguzi ipi? Kwa Katiba ipi?Time will tell. Lakini nina uhakika 2015, Watanganyika HATUDANGANYIKI tena. Anayefikiri Watanganyika wa 2010 ndio watakuwa wale wale wa 2015, basi atakuwa amejidanganya sana.
Heshima Mbele
Ni muda sijaanzisha Mada hapa ila kuna jambao ambalo limekuwa likinitatiza kwa muda sasa ila naamini nyie mnaweza kuwa mnajua?
Hivi kwanini Lowassa anautaka Urais? akichaguliwa atalisaidiaje Taifa? Je, Pesa hizi anazotumia kuweka watu wake kwenye Chama tawala atazirudishaje?
Nimeanza kuogopa sana na kama watanzania wakikubali kuzugwa tena 2015 na kuchagua viongozi ambao wana mvuto wa sura, mvuto wa kutawala bila kuangalia rekodi yao ya nyuma taifa litaenda kubaya sana.
Taifa linaoelekea kupata Gesi na Mafuta linahitaji viongozi makini ambao wataweza kulivusha taifa, kutuondoa kwenye lindi la umasikini na kujenga utawala bora.