Mkusa
JF-Expert Member
- Dec 14, 2010
- 549
- 209
Lowasa ana nguvu sana ndani ya CCM, Linapokuja suala la Kitaifa, Lowasa ni Mwepesi Mno mbele ya CDM, Lakin huyu Bwana bado tu anataka kutumia udhaifu na Ukwasi wake ndani ya CCM agombee Urais, kwa Lugha Nyepesi, Lowasa anajuaisa akisimama kabisa akisimama 2015 basi CDM watashinda kirahis zaid, akini bado anakomaa tu.
My Take:
Lowasa ametumwa na Mungu kufanikisha Kifo cha CCM
My Take:
Lowasa ametumwa na Mungu kufanikisha Kifo cha CCM