Binafsi ishanipita hiyo ila ntakomaa na machalii wangu wasome vitabu.Hukukuzwa hivyo. Sababu nzuri na ina mashiko...
Binafsi ishanipita hiyo ila ntakomaa na machalii wangu wasome vitabu.Hukukuzwa hivyo. Sababu nzuri na ina mashiko...
Napenda kusoma vitabu vya riwaya tu, yan napenda haswa. Ila viwe kwa kiswahili MF. Damu na machozi, Rais anampenda mke wangu, mfadhili, Vuta nkuvute, Takadini and the like....
- Sawa, mimi ni msomaji na mnunuzi
Mbona unakata tamaa mdau! Usomaji wa vitabu hauna umri. Kujifunza ni mchakato usio na mwisho.Binafsi ishanipita hiyo ila ntakomaa na machalii wangu wasome vitabu
Knowledge mkuu. Knowledge is power.Pongezi kwako mdau.
Unaweza kushea na sisi nini kinakumotisha kununua na kusoma vitabu?
Knowledge mkuu. Knowledge is power
Daah vitabu pekee niliwahi kusoma ni james Hadley hand me the fig leaf job na cha gamba kikosi cha kisasi baasi nina soft copy nying ila daah sisomi aiseee
Kimsingi sijakuzwa kusoma vitabu yanahitajika maamuzi ya makusudi
Labda nianze na vyenye page <50 halafu niwe napanda taratibuMbona unakata tamaa mdau! Usomaji wa vitabu hauna umri. Kujifunza ni mchakato usio na mwisho...
Hukukuzwa hivyo kivipi? Kama umepitia ahule basi umekuzwa kusoma vitabu. Shule zinahimiza kusoma vitabu na hasa kuanzia awamu ya mkapa mpak Magufuli, vitabu vya kiada na ziada ni vingi hivyo kutlkusoma ni tabia uliojijengea na si kukuzwa.Pamoja na mapungufu ya elimu yetu serikali inajitahidi kuleta vitabu vya kiada, labda vya ziada.Binafsi sikukuzwa hivyo ndio maana nashindwa kusoma, ila kununua nanunua kimtindo, huku nilipo boss wangu anasoma sana vitabu, amenishawishi nisome nikamwambia anilipe kwa kila kitabu ntakachosoma akaniona hamnazo
Mzee unahisi wote tuliposoma hivyo vitabu vilikuwa vinafika? Hata ikitokea vimefika ni vitabu vinne kwa wanafunzi zaidi ya mia mbili, kweli elimu yangu iliisha kupindi cha utawala wa marehemu mkapa.Hukukuzwa hivyo kivipi? Kama umepitia ahule basi umekuzwa kusoma vitabu. Shule zinahimiza kusoma vitabu na hasa kuanzia awamu ya mkapa mpak Magufuli, vitabu vya kiada na ziada ni vingi hivyo kutlkusoma ni tabia uliojijengea na si kukuzwa.Pamoja na mapungufu ya elimu yetu serikali inajitahidi kuleta vitabu vya kiada, labda vya ziada...
Nipe.mimi icho kitabu mkuuNapenda kusoma vitabu vya riwaya tu, yan napenda haswa. Ila viwe kwa kiswahili MF. Damu na machozi, Rais anampenda mke wangu, mfadhili, Vuta nkuvute, Takadini and the like...