Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,134
- 159,017
Doooh!! Hizi ndoa za siku hiziMda tuu ila hataki kuweka wazi Hilo lakini walishapigana chini ...
Doooh!! Hizi ndoa za siku hiziMda tuu ila hataki kuweka wazi Hilo lakini walishapigana chini ...
Hata ya Hela hiyo ya dinner mwamba hana anataka Aite mtoto chap ghero ..amalize mchongo huko huko
Uite watu ili iweje, kwani yeye anaoelewa na watu au wewe? We ita tu nduguzo wa karibu na ndugu zake yeye, basi!Hello wakuu.
Nina mpango wa kumvisha pete mtarajiwa wangu. Swali langu ni je, lazima kualika watu au naweza kumuita ghetto tu nikamvalisha na mchezo ukaisha?
Sio lazima, unapopeleka mahali yako, unatumia nafasi hiyoHello wakuu.
Nina mpango wa kumvisha pete mtarajiwa wangu. Swali langu ni je, lazima kualika watu au naweza kumuita ghetto tu nikamvalisha na mchezo ukaisha?
Mapema sana 😂😂😂 demu unakaa nae miaka 7 kwenye mahusiano freshi unapanga kumuoa mnaoana miezi 6 mingi kashachoka ndoa anasepa! Only in TizeDHivi AY washaachana na mkewe!!!!
Kumbe ndio maana wanafanyaga hivi aisee! Hahaha point taken muhuni lazma nisafirie nyota ile siku 😅😅😅Kama unataka sherehe na kukwepa gharama za hiyo sherehe kijanja, nenda katoe mahali, siku hiyo hiyo ya mahari valisha pete. Familia yake watakuwa wameshaandaa mlo na mapochopocho kwa kila mtu atakaekuwapo.
Hata mimi nilifanya hivyi..yanini kuingia gharama zizio na mpango.Kumbe ndio maana wanafanyaga hivi aisee! Hahaha point taken muhuni lazma nisafirie nyota ile siku
Mchawi suti na moka tuHata mimi nilifanya hivyi..yanini kuingia gharama zizio na mpango.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Aaaah kwani yule dada ni mtz?Mapema sana demu unakaa nae miaka 7 kwenye mahusiano freshi unapanga kumuoa mnaoana miezi 6 mingi kashachoka ndoa anasepa! Only in TizeD
Aaaaah we jambazi kumbe hujaoa tuKumbe ndio maana wanafanyaga hivi aisee! Hahaha point taken muhuni lazma nisafirie nyota ile siku
Unadhani kuoa ni kama kusugua meno asubuhi 😂 bi mkubwa! Nitaoa tu lakini msihofuAaaaah we jambazi kumbe hujaoa tu
Anapigwa moto kwanza then anavalishwa pete.Hello wakuu.
Nina mpango wa kumvisha pete mtarajiwa wangu. Swali langu ni je, lazima kualika watu au naweza kumuita ghetto tu nikamvalisha na mchezo ukaisha?
Unadhani kuoa ni kama kusugua meno asubuhi bi mkubwa! Nitaoa tu lakini msihofu
Utakapojua hujui ni pale utakapoambiwa hayo mapochopocho na shughuli yote ni juu ya mfuko wako. 😀😀😀Kumbe ndio maana wanafanyaga hivi aisee! Hahaha point taken muhuni lazma nisafirie nyota ile siku 😅😅😅
KudadadekiUtakapojua hujui ni pale utakapoambiwa hayo mapochopocho na shughuli yote ni juu ya mfuko wako. 😀😀😀