Mwananchi wa chini
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 227
- 597
Wakristo wengi au watu wengi tumekuwa tunaiga mambo mengi bila kutafuta kujua nikifanyacho ni nampendeza Mungu au ndio fashion tu za kila Siku kuiga??
Wengi watasema mbona wanandoa wanavaa Pete lkn je wajua kwann wanavaa na maana yake ni nini??
Wengi watajibu ni kuwa muaminifu au kwamba tayari umesha kuwa milki ya MTU mwingine so ajaye kwako tena akiiona aruke asikuguse kwakuwa umekuwa booked already
Jaman pete sio msingi Wa imani kwa wanaopenda au wanaotamani kumuona Mungu, na Pete sio kizuizi cha MTU kuwa mwaminifu maana wengi wao wanazo na wanazivua wakitaka kuvunja huo uaminifu wakimaliza wanazivaa na wavalishaji wanaendelea kuamini kweli mwenzi wake bado ni mwaminifu.
Na kipindi cha sasa wengi wakiwa nazo ndio wanatafutwa sana na wasiovaa either mwanaume akionekana kaoa amevaa ile Pete wanawake sasa ndio hawaogopi kabisaaa na wanawake walioolewa wakionekana na hizo Pete wanaume Wa sasa ndio shangwe hawawaogopi wanaona hawa ndio wanaofaa kuutimiza machafu yao.
Nisielezee sana Ila nakupa hii hapa usome na ujue unachokivaa kinampendeza Mungu au ndio vazi mojawapo LA shetani
Kumekuwa na maswali mengi juu ya chanzo hasa cha pete hiyo inayotumiwa katika harakati za ndoa’.
Wale walio na matazamo hasi juu ya matumizi ya pete, wamekuwa na sababu mbalimbali za kutetea msimamo huo hasa ni ile sababu kuwa “pete inafanya wazo la upendo kuwa la kinadharia” na ushahidi wa nje kuliko kuwa na chimbuko halisi la upendo wa ndani ya moyo. Lakini katika makala hii tutaona kwa kina juu ya historia halisi pete.
Pete ya ndoa ilianzishwa na watu wa Farao” Firauni” nchini Misri.
Historia inaonyesha kuwa karne ya 14, BC (kabla ya kristo), katika nchi hiyo ya Misri iliyo kaskazini mwa Afrika, watu wanchi hiyo chini ya mfalme wao Farao’ walianzisha utamaduni wa kuwekeana viapo vya uaminifu katika mahusiano yao ya kimapenzi na ndoa kwa kutumia pete.
Wananchi walilazimika kwenda kwenye ukingo wa Mto Nile ambapo huko walifanya matambiko ya kipagani na kuwekeana viapo vya uaminifu. Sherehe hiyo iliambatana na kuvalishana pete yenye umbo la duara baina ya mke na mume kwenye vidole vyao vya mkono wa kushoto.
Lengo, Maana yake’
Kwa kufanya hivyo wapagani wa Misri waliamini kuwa wameweka kiapo na ahadi ya kuto salitiana ambapo pia ilifuatiwa na kumvalisha mwanamke mkufu wa fedha na dhahabu au chuma kiunoni.
Umbo la duara la pete liliundwa hivyo kuashiria kuwa kifungo hicho cha ndoa ni cha milele kwa maisha yote.
Umbo la duara la pete na upagani’
Umbo hilo la duara la pete liliashiria imani kuwa viapo hivyo vilishuhudiwa na miungu miwili ya wamisri yaani mungu Jua’ na Mwezi ambao alama zake zilikuwa ni umbo hilo la duara la pete.
Pia uwazi huo wa pete “duara ya kati” ilimaanisha kuwa ndiyo mlango wa kuingilia katika maisha ya ndoa” na yakuwa ndoa hiyo na familia ijayo vinalindwa na miungu hiyo Jua’ na Mwezi daima.
Eneo la kuvaa pete na chimbuko lake’
Uamuzi wa kuvaa pete kwenye “kidole” kinachoitwa cha “Pete” ulifanyika kutokana na ushauri wa watalamu wa Sanyansi ya maumbile ya mwanadamu.
Wataalamu hao waliamini kuwa mshipa mkuu wa damu unaogawa damu mwilini toka moyoni (vein) unaunganika moja kwa moja na kidole hicho, hivyo pamoja na elimu ya kinajimu iliyotawala wakati huo bado ilishauriwa kuwa pete hiyo ivaliwe katika kidole hicho.
Kuenea kwa tendo hilo la uvaaji pete
Utamaduni huu wa kuvaa pete ulianza kuenea duniani baada mfalme Alexander, kuvamia nchi ya Misri, ambapo mambo yalovutia utawala huo ni pete ya ndoa.
Baadae Wagiriki walichukua utamaduni huo na kuubadilisha kidogo huku wakiwa na hofu ya kuwaudhi miungu hao Jua na Mwezi.
Miongoni mwa mambo yalofanywa kuhamasisha matumizi ya pete hiyo ni tendo la kuibadilisha jina na kuiita pete hiyo jina la kigiriki “evena amoris” yaani mshipa wa penzi” na kuruhusu itengenezwe kwa matirio tofauti kama pembe za ndovu, mifupa ya miguu, ngozi za wanyama nk.
SWALI:
Leo hii watoto wa Mungu wamechukua ibada hiyo’ na kuiweka katika maisha yao??????
“Unapovaa pete’ fanya ukijua kuwa haina chimbuko utakatifu’
KWA UFUPI:
Pete ya harusi haina maagizo au utakatifu wa Kibiblia. Inapata asili yake katika kipagani, ambayo ni kinyume na Mungu.
Pete ya harusi ni amri ya ulimwengu. Mungu anasema hatutakii maagizo ya dunia.
Pete ya harusi inaashiria ishara ya uongo ya muungano usio na mwisho, wa milele. Mungu anasema kwamba muungano wa ndoa ni kwa muda tu ni mpaka kifo kitutenganishe
Pete ya harusi ina kinga kidogo na ya kudumu chini ya mtihani.
Kuvaa kwa pete ya harusi ni hatua ya kwanza kwa watu wengi katika kuvaa aina zote za mapambo mengine ya Biblia yaliyokatazwa.
Pete ya harusi si sehemu muhimu ya kanuni za Biblia.
Baadhi watalalamika, "Lakini yangu au" Kanisa langu limeongeza mazoezi haya kwa miaka. Kwa kweli, karibu sana uondoke katika kudanganywa huko utapotea vua mapete hayo iwe Pete kidoleni,puani,masikioni n.k uliyonayo mfuate Yesu.
Wengi watasema mbona wanandoa wanavaa Pete lkn je wajua kwann wanavaa na maana yake ni nini??
Wengi watajibu ni kuwa muaminifu au kwamba tayari umesha kuwa milki ya MTU mwingine so ajaye kwako tena akiiona aruke asikuguse kwakuwa umekuwa booked already
Jaman pete sio msingi Wa imani kwa wanaopenda au wanaotamani kumuona Mungu, na Pete sio kizuizi cha MTU kuwa mwaminifu maana wengi wao wanazo na wanazivua wakitaka kuvunja huo uaminifu wakimaliza wanazivaa na wavalishaji wanaendelea kuamini kweli mwenzi wake bado ni mwaminifu.
Na kipindi cha sasa wengi wakiwa nazo ndio wanatafutwa sana na wasiovaa either mwanaume akionekana kaoa amevaa ile Pete wanawake sasa ndio hawaogopi kabisaaa na wanawake walioolewa wakionekana na hizo Pete wanaume Wa sasa ndio shangwe hawawaogopi wanaona hawa ndio wanaofaa kuutimiza machafu yao.
Nisielezee sana Ila nakupa hii hapa usome na ujue unachokivaa kinampendeza Mungu au ndio vazi mojawapo LA shetani
Kumekuwa na maswali mengi juu ya chanzo hasa cha pete hiyo inayotumiwa katika harakati za ndoa’.
Wale walio na matazamo hasi juu ya matumizi ya pete, wamekuwa na sababu mbalimbali za kutetea msimamo huo hasa ni ile sababu kuwa “pete inafanya wazo la upendo kuwa la kinadharia” na ushahidi wa nje kuliko kuwa na chimbuko halisi la upendo wa ndani ya moyo. Lakini katika makala hii tutaona kwa kina juu ya historia halisi pete.
Pete ya ndoa ilianzishwa na watu wa Farao” Firauni” nchini Misri.
Historia inaonyesha kuwa karne ya 14, BC (kabla ya kristo), katika nchi hiyo ya Misri iliyo kaskazini mwa Afrika, watu wanchi hiyo chini ya mfalme wao Farao’ walianzisha utamaduni wa kuwekeana viapo vya uaminifu katika mahusiano yao ya kimapenzi na ndoa kwa kutumia pete.
Wananchi walilazimika kwenda kwenye ukingo wa Mto Nile ambapo huko walifanya matambiko ya kipagani na kuwekeana viapo vya uaminifu. Sherehe hiyo iliambatana na kuvalishana pete yenye umbo la duara baina ya mke na mume kwenye vidole vyao vya mkono wa kushoto.
Lengo, Maana yake’
Kwa kufanya hivyo wapagani wa Misri waliamini kuwa wameweka kiapo na ahadi ya kuto salitiana ambapo pia ilifuatiwa na kumvalisha mwanamke mkufu wa fedha na dhahabu au chuma kiunoni.
Umbo la duara la pete liliundwa hivyo kuashiria kuwa kifungo hicho cha ndoa ni cha milele kwa maisha yote.
Umbo la duara la pete na upagani’
Umbo hilo la duara la pete liliashiria imani kuwa viapo hivyo vilishuhudiwa na miungu miwili ya wamisri yaani mungu Jua’ na Mwezi ambao alama zake zilikuwa ni umbo hilo la duara la pete.
Pia uwazi huo wa pete “duara ya kati” ilimaanisha kuwa ndiyo mlango wa kuingilia katika maisha ya ndoa” na yakuwa ndoa hiyo na familia ijayo vinalindwa na miungu hiyo Jua’ na Mwezi daima.
Eneo la kuvaa pete na chimbuko lake’
Uamuzi wa kuvaa pete kwenye “kidole” kinachoitwa cha “Pete” ulifanyika kutokana na ushauri wa watalamu wa Sanyansi ya maumbile ya mwanadamu.
Wataalamu hao waliamini kuwa mshipa mkuu wa damu unaogawa damu mwilini toka moyoni (vein) unaunganika moja kwa moja na kidole hicho, hivyo pamoja na elimu ya kinajimu iliyotawala wakati huo bado ilishauriwa kuwa pete hiyo ivaliwe katika kidole hicho.
Kuenea kwa tendo hilo la uvaaji pete
Utamaduni huu wa kuvaa pete ulianza kuenea duniani baada mfalme Alexander, kuvamia nchi ya Misri, ambapo mambo yalovutia utawala huo ni pete ya ndoa.
Baadae Wagiriki walichukua utamaduni huo na kuubadilisha kidogo huku wakiwa na hofu ya kuwaudhi miungu hao Jua na Mwezi.
Miongoni mwa mambo yalofanywa kuhamasisha matumizi ya pete hiyo ni tendo la kuibadilisha jina na kuiita pete hiyo jina la kigiriki “evena amoris” yaani mshipa wa penzi” na kuruhusu itengenezwe kwa matirio tofauti kama pembe za ndovu, mifupa ya miguu, ngozi za wanyama nk.
SWALI:
Leo hii watoto wa Mungu wamechukua ibada hiyo’ na kuiweka katika maisha yao??????
“Unapovaa pete’ fanya ukijua kuwa haina chimbuko utakatifu’
KWA UFUPI:
Pete ya harusi haina maagizo au utakatifu wa Kibiblia. Inapata asili yake katika kipagani, ambayo ni kinyume na Mungu.
Pete ya harusi ni amri ya ulimwengu. Mungu anasema hatutakii maagizo ya dunia.
Pete ya harusi inaashiria ishara ya uongo ya muungano usio na mwisho, wa milele. Mungu anasema kwamba muungano wa ndoa ni kwa muda tu ni mpaka kifo kitutenganishe
Pete ya harusi ina kinga kidogo na ya kudumu chini ya mtihani.
Kuvaa kwa pete ya harusi ni hatua ya kwanza kwa watu wengi katika kuvaa aina zote za mapambo mengine ya Biblia yaliyokatazwa.
Pete ya harusi si sehemu muhimu ya kanuni za Biblia.
Baadhi watalalamika, "Lakini yangu au" Kanisa langu limeongeza mazoezi haya kwa miaka. Kwa kweli, karibu sana uondoke katika kudanganywa huko utapotea vua mapete hayo iwe Pete kidoleni,puani,masikioni n.k uliyonayo mfuate Yesu.