Hivi kitimoto iliwakosea nini waislamu?!

Hivi kitimoto iliwakosea nini waislamu?!

Waislam hawaruhusiwi Kula Nguruwe; ILA ikitokea mazingira kuwa hakuna chakula kiasi kuwa akiacha kula ATAKUFA; ameambiwa ale CHOCHOTE kinachopatikana katika mazingira aliyoko kwa kiasi kunusuru uhai...na akinusurika na hiyo hali atubu na kuomba msamaha.
Mara kadhaa unasikia waliofukiwa kwenye migodi wamekula mende, Vyura nk nk ili kunusuru uhai (Sio kwamba wanapenda kula mende au Vyura; ila wangeacha wangekufa)
Kwa ufupi ruhusa imetolewa mkuu au mbona unazunguka 🤣🤣
 
Chuki dhidi ya huyu mnyama ni kubwa sana, sijui huyu mnyama aliwakosea nini kikubwa waislamu. Nahitaji kujifunza umahsusi wa dhambi ya kitimoto ni upi kulinganisha na dhambi zingine.

Muislamu atamvumilia mtu mlevi, mzinzi, muongo lakini hawezi kuvumilia kusikia kuhusu kitimoto.

Nimekuja lodge hapa, nimemuuliza muhudumu bar zipo wapi nikapate moja mbili-kanionyesha bila mgogoro wowote. Namuuliza wapi nitapata kitimoto amebadilika sura, anasema hayo mambo yeye hawezi kuzungumzia.

Jamani dhambi ya ulevi sio issue, lakini ya kitimoto ndio kali zaidi?!
Kwani Yesu " mwana wa Mungu na Mungu aliye hai" alifakamia nguruwe 🐷 hata mara moja?🥱
 
Kitimoto tukiweka ushabiki wa dini pemben si muslims si Christians bado ni haramu.
Biblia imekataza ulaji wa nguruwe bila kupepesa macho kuna vifungu zaidi ya 30 biblia imekataza nguruwe.
Labda kwenye pombe sidhani hata vifungu 5 vipo ambavyo vimekataza pombe, unakuta mtu anakula mdudu halafu anakataa pombe akidai biblia imekataza
Mashallah kitimoto ni kitamu sana
 
Lakini pia ndugu zetu waislamu waliambiwa ikiwa watakua kwenye tabu kubwa na pasipo chakula..basi wale kidogo...ikumbukwe haikuandikwa kidogo kiasi gani...hivo kidogo unaamua mwenyewe..iwe kilo..nusu ..kilo mbili..niwewe tu utakavyoitafsiri hiyo kidogo😁😁😁

Mkuu, mbona wengine hata bila kuwa kwenye shida nawaona wanagonga ile kitu na kushushia 🍺 🍷 🥂 bila wasi yoyote
 
Waislam hawaruhusiwi Kula Nguruwe; ILA ikitokea mazingira kuwa hakuna chakula kiasi kuwa akiacha kula ATAKUFA; ameambiwa ale CHOCHOTE kinachopatikana katika mazingira aliyoko kwa kiasi kunusuru uhai...na akinusurika na hiyo hali atubu na kuomba msamaha.
Mara kadhaa unasikia waliofukiwa kwenye migodi wamekula mende, Vyura nk nk ili kunusuru uhai (Sio kwamba wanapenda kula mende au Vyura; ila wangeacha wangekufa)
Wewe vp ? Sindiyo ruhusa hiyo ? Mfano mwanaume na mwanamke wame zuiwa kuingiliana kingono hadi wawe mke na mume...hiyo ni ruhusa tayari
 
Tatizo la waislam wengi wanakariri QURAN kwa kiarabu bila kuelewa lolote lile!!!,ata wale watoto wanaoshindanishwa kusoma QURAN wamekariri tu{they know nothing bro},,,okay,,,,sio nguruwe tu aliyekatazwa,ata sungura,bata na samaki kama kambale wote wametakatatwa,,wao wamekomaa na kiti moto,,,ila kwa sasa wameanza kuamka,,,,,wengi wao WANAGEGEDA kiti moto balaa!!!

Ni wanachama wazuri tu. Ndiyo maana kipindi cha mfungo wa Ramadhani demand inashuka sana
 
Mkuu, mbona wengine hata bila kuwa kwenye shida nawaona wanagonga ile kitu na kushushia 🍺 🍷 🥂 bila wasi yoyote
NI kweli..wanakatazana ili isiadimike..kila mtu akila si tutauziwa kilo moja tsh 50000??
 
WAMEKIMBIA .
Mke wa Mungu ni (NENO LAKE) na watoto wa Mungu ni wote wazaliwao katika kulitii Neno la Mungu ...Yesu akasema "nenda zako shetani imeandikwa mtu hato ishi kwa mkate bali kwa kila neno litokalo kinywani mwa Mungu" hivyo wote wanao zaliwa kwa kulicha neno la Mungu ndiyo watoto wa Mungu ...Mungu akasema mimi leo nimekuzaa ...kuhusu Yesu siyo mtoto wa Mungu wala mtoto pekee wa Mungu, maana imeandikwa 👉Neno akafanyika mwili ,akaonekana 👉👉"kama" mwana pekee wa Mungu...
......hivyo maandiko yanasema Yesu siyo mwana wa mungu wala mwana pekee wa Mungu bali alionekana kama mwana pekee wa Mungu...maana yake siyo ...sasa Yesu ni Nani ? Yesu anawauliza waisrael mbona mnaniita mwana wa Daudi ? Ikiwa Daudi mwenyewe aliniita ni Bwana wake? Nimekuwaje mwanawe ? Swali je Bwana wa daudi ambaye daudi alimwita Bwana mbinguni ni nani ? Jibu ni Mungu mkuu ...hivyo hapa Yesu alijifunua kuwa yeye ndiye BWANA WA DAUDI BWANA WA MUSA BWANA WA IBRAHIM BWANA WA YAKOBO(ISRAEL) BWANA WA MITUME NA MANABII WOTE Jagina FaizaFoxy Malaria 2 adriz Covax ustadhijuma
Andiko linalosema "Mimi leo nimekuzaa" linapatikana katika Biblia

1. Zaburi 2:7
"Nitatangaza amri ya Bwana; Aliniambia, ‘Wewe ni Mwanangu, Mimi leo nimekuzaa.’"



Jagina FaizaFoxy Malaria 2 adriz Covax ustadhijuma[/USER
 
Kitimoto tukiweka ushabiki wa dini pemben si muslims si Christians bado ni haramu.
Biblia imekataza ulaji wa nguruwe bila kupepesa macho kuna vifungu zaidi ya 30 biblia imekataza nguruwe.
Labda kwenye pombe sidhani hata vifungu 5 vipo ambavyo vimekataza pombe, unakuta mtu anakula mdudu halafu anakataa pombe akidai biblia imekataza
Weka hivyo vifungu hapa upate elimu ya dini Acha kusoma biblia ukaitafasiri kama ulivo
 
Sasa kama haramu kwanini aliumbwa, japo mimi nguruwe na bloiler siwashabikii sn.
anyway my thoughts.
Mbona hujulizi kwanini mamba aliumbwa au nyoka au pengine buibui nk na wapo kwenye kundi linalo ua watu wengi tu....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom